Kenya yapiga jeki kilimo
Serikali imezindua mradi wa kilimo cha unyunyiziaji maji ekari zaidi ya millioni moja katika kukabiliana na tatizo la upungufu wa chakula
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo09 May
EU yapiga jeki sekta ya kilimo
UMOJA wa Ulaya (EU) umetoa msaada Sh bilioni 135 kwa ajili ya kuboresha sekta ya kilimo nchini pamoja na kupunguza vikwazo vya usafirishaji barabarani.
10 years ago
MichuziAIRTEL YAPIGA JEKI SIKU YA MAZINGIRA
Hayo ameyasema leo jijini Dar es Salaam,Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais-Mazingira,Mhandisi Binith Mahenge wakati akitangaza maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani yatakayofanyika Juni 5 mwaka huu mkoani Tanga.
Mahenge amesema Juni 5 ya kila mwaka iliamuliwa na Umoja wa Mataifa mwaka 1972 kuwa...
11 years ago
Habarileo13 Jan
Vodacom ‘yapiga jeki’ yatima wa Bunju
MWITO umetolewa kwa wadau mbalimbali nchini kuwa tayari kujitolea kusaidia vituo vya watoto yatima, ikiwemo kuondoa uhaba wa madarasa ya kujisomea, ubovu wa vyoo na malazi.
11 years ago
MichuziVodacom yapiga jeki wiki ya usalama barabarani
10 years ago
MichuziBenki ya Exim yapiga jeki mbio za marathon Ngorongoro
9 years ago
MichuziNSSF yapiga jeki Rock City Marathon kwa Sh 15M/-
9 years ago
Dewji Blog23 Nov
UNIDO yapiga jeki viwanda vidogo vya mafuta ya alizeti Dodoma
Meneja Mkuu wa kiwanda cha kuzalisha mafuta ya alizeti cha Glory Farm & Agricultural Products, Justin Nyamoga akitoa maelezo jinsi kiwanda hicho kinavyofanya kazi zake kwa Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez (wa pili kushoto) aliyeambatana na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Awa Dabo (kushoto), Mwakilishi Msaidizi wa Shirika la UNFPA, Dk. Hashina Begum (kulia) pamoja...
5 years ago
MichuziDar es Salaam’s British Legion Tanganyika Club yapiga jeki kiwanda Muhimbili
Akizungumza wakati wa kukabidhi msaada huyo Mwenyekiti wa klabu hiyo Bw. Godfrey Mramba amesema kuwa wameguswa jinsi ambavyo Hospitali ya Taifa Muhimbili iliweza kukabiliana na changamoto kubwa ya upungufu wa mavazi kinga ambayo yalikua hayapatikani kwa...