Vodacom yapiga jeki wiki ya usalama barabarani
![](http://4.bp.blogspot.com/-e9ngxiZVO8g/U-pfQ_qLNeI/AAAAAAAF_Bg/5jkhEvqaGn8/s72-c/unnamed%2B(29).jpg)
Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania leo imetoa msaada wa shilingi milioni 40 kwa serikali ya Jamhuri ya Tanzania kwa kupitia Baraza la Taifa la Usalama Barabarani na Jeshi la polisi kikosi cha usalama barabarani katika kufanikisha wiki ya usalama barabarani mwaka huu itakayozinduliwa rasmi siku chache zijazo mkoani Arusha. Hafla ya kukabidhi hundi ya fedha hizo imefanyika leo katika wizara ya Mambo ya Ndani ambapo Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi,Mheshimiwa Mathias...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VEmjh*oDsukpBjfQnpDd07pLB5-49M1UDbZ272JstO-HmP-kkRuG*w5snp4UerHiB8uO8t2eddrbXBYEGWUl0igZ1TIyo9T2/001.WAZIRI.jpg?width=650)
VODACOM YAIPIGA JEKI WIKI YA USALAMA BARABARANI
10 years ago
GPL24 Sep
10 years ago
Michuzi03 Oct
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0ZPboTPx89Y/U-ncC1V_TSI/AAAAAAAF-3o/Hs9JW6mtoRU/s72-c/unnamed%2B(20).jpg)
VODACOM YAMKABIDHI WAZIRI CHIKAWE MAMILIONI YA WIKI YA NENDA KWA USALAMA BARABARANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-0ZPboTPx89Y/U-ncC1V_TSI/AAAAAAAF-3o/Hs9JW6mtoRU/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
11 years ago
Habarileo13 Jan
Vodacom ‘yapiga jeki’ yatima wa Bunju
MWITO umetolewa kwa wadau mbalimbali nchini kuwa tayari kujitolea kusaidia vituo vya watoto yatima, ikiwemo kuondoa uhaba wa madarasa ya kujisomea, ubovu wa vyoo na malazi.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6orj1uudoVA/VMOnw9ArylI/AAAAAAAG_VM/4cxNZahshv4/s72-c/001.POLISI.jpg)
NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI ASHUHUDIA KUSAINIWA KWA MAKUBALIANO YA MWENDELEZO WA KAMPENI ZA USALAMA BARABARANI BAINA YA BARAZA LA TAIFA LA USALAMA,JESHI LA POLISI NA VODACOM TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-6orj1uudoVA/VMOnw9ArylI/AAAAAAAG_VM/4cxNZahshv4/s1600/001.POLISI.jpg)
10 years ago
Mwananchi30 Sep
Tumejifunza nini Wiki ya Usalama Barabarani?
10 years ago
GPLMAADHIMISHO YA WIKI YA USALAMA BARABARANI YAZINDULIWA LEO ILALA
9 years ago
MichuziMFUKO WA PENSENI WA LAPF WASAIDIA WIKI YA USALAMA BARABARANI