Kenyata: Tuungane kukomesha ujangili
RAIS wa Kenya, Uhuru Kenyatta, amezitaka nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, kuungana kukabiliana na ujangili wa wanyamapori unaotishia sekta ya utalii. Kenyata amezitaka nchi hizo kutumia rasilimali zilizopo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi10 Dec
Ufisadi sasa ni janga, tuungane kuuangamiza kukomesha
10 years ago
Habarileo09 Nov
Azimio kukomesha ujangili lapitishwa
JUMUIYA ya Kimataifa imepitisha Azimio la Arusha, lenye lengo la kukabiliana na ujangili na kuendeleza wanyama.
10 years ago
Michuzi.jpg)
Vita ya ujangili yaungwa mkono,Kikosi cha kupambana na Ujangili chapata zana za kisasa
Miongoni mwa misaada iliyotolewa ni magari matano aina ya Land Cruser yenye thamani ya Sh 750 milioni,bunduki za kivita 50 aina ya Ak 47 na risasi 10,000 na Magazini 20 ambazo thamani haikutajwa kwa kwasababu za kiusalama.
Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu baada ya...
11 years ago
Tanzania Daima12 Oct
Nini Hatima ya Uhuru Kenyata?
SEPTEMBA 19 mwaka huu Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita (ICC) iliamuru Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta, afike katika mahakama hiyo Oktoba 8 mwaka huu Amri hiyo ilitolewa kwa madai serikali yake...
11 years ago
Tanzania Daima09 Sep
Tuungane kudhibiti ajali za barabarani
TUMEKUWA tukiandika maoni kuitaka serikali kuchukua hatua kukomesha ajali za barabarani na tutaendelea kufanya hivyo hadi hapo tutakapoona hatua madhubuti zimechukuliwa kukabiliana na wimbi la ajali, ambazo kila mara zimepoteza...
11 years ago
Mwananchi08 Mar
‘Tuungane kupinga ukatili wa kijinsia’
10 years ago
Mtanzania23 Mar
Kikwete, Kenyata wamaliza mgogoro
NAIROBI, KENYA
RAIS wa Kenya, Uhuru Kenyatta na Rais Jakaya Kikwete wamekubaliana magari ya Tanzania yaruhusiwe kuingia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyata na safari za ndege za Shrika la Ndege la Kenya (Kenya Airways) ziruhusiwe ziendelee na safari zake kama kawaida nchini Tanzania.
Katibu Mkuu wa Mambo ya Nje wa Kenya, Amina Mohammed, alisema uamuzi huo ulifikiwa jana katika mkutano kati ya Rais Jakaya Kikwete na Uhuru Kenyatta mjini Windhoek Namibia, katika sherehe za maadhimisho...
11 years ago
Mwananchi21 Sep
Tuungane kwa pamoja kupambana na ukeketaji
11 years ago
GPL
UHURU KENYATA: WALIOISHAMBULIA KENYA SI AL SHABAAB