UHURU KENYATA: WALIOISHAMBULIA KENYA SI AL SHABAAB
![](http://api.ning.com:80/files/p5H7N8Ot6oP4TxtGZ3WJ9XI3fLq96lHxpy1V6X2ia0X4E*S3SM4yPMqgVnoH64--WI7MJyvDWFgrAlnRiznm-h0MwA-exyEl/UhuruKenyatta.png?width=650)
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta. RAIS wa Kenya, Uhuru Kenyatta amesema mashambullio yaliyotokea katika mji wa Mpeketoni, Pwani ya Kenya hayakufanywa na kundi la wapiganaji wa Al Shabaab bali ni watu wanaoihujumu Kenya. Rais Kenyatta ameyasema hao muda mfupi uliopita wakati akilihutubia taifa la Kenya baada ya mashambulio mawili yaliyotokea Mpeketoni juzi na jana. Rais amewataja pia wanasiasa na baadhi ya maofisa kuhusika katika...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/--yg8ggibPlI/VBsGkgzLPKI/AAAAAAABZgc/ECW2NAXNiOU/s72-c/uhuru%2B2.jpg)
MWANAMUZIKI MAARUFU WA MAREKANI AKONI AMTEMBELEA RAIS WA KENYA UHURU KENYATA
![](http://2.bp.blogspot.com/--yg8ggibPlI/VBsGkgzLPKI/AAAAAAABZgc/ECW2NAXNiOU/s640/uhuru%2B2.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima12 Oct
Nini Hatima ya Uhuru Kenyata?
SEPTEMBA 19 mwaka huu Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita (ICC) iliamuru Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta, afike katika mahakama hiyo Oktoba 8 mwaka huu Amri hiyo ilitolewa kwa madai serikali yake...
10 years ago
Habarileo05 Dec
ICC yafuta kesi dhidi ya Rais Uhuru Kenyata
MAHAKAMA ya kimataifa ya ICC imetupilia mbali kesi ya jinai inayomkabili Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta.
11 years ago
MichuziUHURU KENYATA AFANYA ZIARA YA SIKU MBILI JIJINI ARUSHA,ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI
11 years ago
BBCSwahili12 Feb
70 wahusishwa na Al Shabaab Kenya
10 years ago
BBCSwahili14 Jun
Al shabaab 13 wameuawa Kenya
10 years ago
BBCSwahili23 Nov
Kenya yauwa al-Shabaab 100
10 years ago
BBCSwahili08 Jun
Al Shabaab wazua mjadala Kenya