KERO YA NDOA ZA UTOTONI ZAMBIA
Takriban wasichana milioni 14 million kote duniani wanalazimishwa kuolewa wakiwa wadogo Agnes, msichana wa miaka 17 aliozwa miezi mitatu iliyopita kwa mwanamme ambaye hakua anamfahamu hata kidogo. Anavyotusimulia Agnes, “Wazazi wangu walinikalisha na kuniarifu kuwa sikua jukumu lao tena. Walitaka nijitenge nao na kuanza maisha kivyangu.Mambo yalikwenda haraka kinyume na matarajio yangu wakati mwanamme huyo ambaye simfahamu alilipa mahari kwa wazazi wangu.” “Sikua na usemi wowote kwenye...
KwanzaJamii
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili22 Jul
Kero la ndoa za mapema Zambia
10 years ago
Dewji Blog20 Jun
Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971, chanzo cha ongezeko la mimba na ndoa za utotoni nchini
Mratibu wa Utetezi Taifa, SOS Tanzania/Zanzibar, John Batista, akizungumza katika Mdahalo wa Nijali uliolenga ndoa za utotoni na mimba za utotoni kwa kushirikisha Chama cha Waandishi wa Habari za Watoto, (TAJOC) na wengine, uliofanyika leo katika Hoteli Regency jijini Dar es Salaam.
Na Andrew Chale, Modewjiblog.com
Imeelezwa kuwa, kuongezeka kwa ndoa za utotoni inatokana na sheria ya ndoa ya mwaka 1971 kuendelea kutumika wakati hali yake ni mbaya kwa watoto wakike kushindwa kufikia ndoto...
10 years ago
Tanzania Daima02 Oct
Sheria ya ndoa kikwazo kukabili ndoa za utotoni
KUFUATANA na sheria ya ndoa ya mwaka 1971, ndoa ni muungano wa hiari kati ya mwanamme na mwanamke unaokusudiwa kudumu kwa muda wa maisha yao. Sheria ya ndoa inasema kuwa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OM1nQVXWg4E/VYQmjvclSjI/AAAAAAAHhfM/l8eTk9FtXSo/s72-c/1.jpg)
SHERIA YA NDOA YAONGEZA NDOA NA MIMBA ZA UTOTONI
9 years ago
BBCSwahili26 Nov
Mkutano kukomesha ndoa za utotoni
10 years ago
BBCSwahili30 Oct
Ndoa za utotoni janga Tanzania
10 years ago
Habarileo23 Jan
Graca: Tokomezeni ndoa za utotoni
ALIYEKUWA mke wa Rais wa Afrika Kusini, Graca Machel, yuko katika ziara fupi nchini kuhimiza Serikali na wadau kutokomeza tatizo la ndoa za utotoni.
10 years ago
Mwananchi05 Nov
Ndoa za utotoni bado ni janga nchini
10 years ago
Tanzania Daima11 Sep
Jamii iungane kukomesha ndoa za utotoni
UMASIKINI na ukosefu wa elimu juu ya ukatili wa kijinsia miongoni mwa wanajamii ni miomgoni mwa sababu inayochangia watoto wadogo kukumbana na ndoa za utotoni. Pia tatizo hilo linachangiwa na...