Kesi ya kukutwa na sare za polisi yaahirishwa
 Kesi inayomkabili James Hassani (45),anayekabiliwa na mashtaka ya kujifanya askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani na kukutwa na sare za jeshi hilo imeahirishwa hadi Machi 26 mwaka huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima03 Jan
Mbaroni kwa kukutwa na bunduki, sare za polisi
JESHI la Polisi Mkoa wa Tanga linawashikilia watu watano kwa tuhuma za kukutwa na bunduki aina ya Shotgun na sare za Jeshi la Polisi ambazo zilitumika katika matukio ya uhalifu...
10 years ago
Mwananchi27 Apr
Kiongozi Red Briged atuhumiwa kukutwa na sare za JWTZ, panga
10 years ago
Habarileo03 Jul
Kesi ya Gwajima yaahirishwa
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jana imeshindwa kumsomea maelezo ya awali Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima na wenzake wanaokabiliwa na kesi ya kutumia lugha ya matusi na kushindwa kuhifadhi silaha.
11 years ago
Tanzania Daima05 Aug
Kesi ya ghorofa yaahirishwa
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, jana imeahirisha kesi ya mauaji ya watu 27 kutokana na kuporomoka jengo la ghorofa 16, inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya...
9 years ago
CHADEMA Blog
Kesi ya Kubenea, Makonda yaahirishwa
11 years ago
Habarileo03 Sep
Kesi ya Kazembe na wenzake yaahirishwa
KESI ya mauaji inayomkabili Ofisa Usalama wa Taifa, Mohammed Kazembe na wenzake watatu katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeahirishwa hadi Septemba 16 mwaka huu.
11 years ago
GPL
KESI YA MSOFE NA MWENZAKE YAAHIRISHWA
10 years ago
GPL
KESI YA CHID BENZ YAAHIRISHWA
10 years ago
Habarileo06 Mar
Kesi ya kuteka mwanafunzi yaahirishwa
KESI ya kumteka mwanafunzi wa darasa la pili, inayomkabili Mkulima Juma Hamis (41) katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeahirishwa hadi Machi 18 mwaka huu itakapoendelea kusikilizwa.