KESI YA LULU YAWEKWA KIPORO
![](http://api.ning.com:80/files/PhpRQMoFW8YI*3VaGbN5z7E8KvvdZQ1ox2o7KJeQYe09qs1lW53966m7d0bmULDeA-NZ4JmpTJ-1zl2fUIZm2ygQQHettLrw/lulu.jpg?width=650)
Stori: Musa Mateja KESI ya kuua bila kukusudia inayomkabili mtoto mzuri wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ imewekwa kiporo kufuatia kuwepo kwa kesi nyingi za mauaji mahakamani, Risasi Mchanganyiko limetonywa. Mtoto mzuri wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’. Kwa mujibu wa chanzo makini, kuna uwezekano mkubwa wa kesi hiyo kusikilizwa tena Februari mwakani kutokana na mlolongo mkubwa wa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo28 Aug
Mahakama ya Kadhi yawekwa kiporo
SUALA la Mahakama ya Kadhi limeleta mjadala mkali katika majadiliano na wabunge wameamua suala hilo lisiingizwe kwenye Katiba. Mjadala huo mkali uliibuka katika Kamati namba Saba ilipojadili sura ya Nne ya kwenye rasimu hiyo inayozungumzia juu ya uhuru wa imani ya dini ambapo Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Hassan Ngwilizi alisema baada ya mjadala mkali wamekubaliana kutoingizwa kwenye Katiba.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RnVdzGQ*fcLZeIvFAjKM1QyOAZXdWWLJ9aQS6Uw2Pwg8Q-TXfRaa-dTSkWOWQm6Fe8zua2qVOO97BstJspqaXpZFY3doeuS4/lulu.jpg?width=650)
LULU KESI UPYAA
11 years ago
GPLLULU APANDISHWA KIZIMBANI TENA, KESI YAKE YAAHIRISHWA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8XZ9tNduvb3-n4iZYB5fU5S0LXgaktnWrbTRVVMuvb*eVl7JQsG0bR60wD6tdajmA9NUqvCeelm0wr0QGok6dSISYoNu38Ay/lulu.jpg?width=650)
KESI YA KIFO CHA KANUMBA... LULU AANIKA UKWELI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wxWEJX1q6dZFHUoLmNeq3N7Kyoehy96b7Dd1-r5I9uVOPLSQzUMLrcgl*LTkOL-6GQR6oeBtuy94APxz4TplY1c945*HbcgH/lulu.jpg?width=650)
KESI YA KIFO CHA KANUMBA, LULU AKESHA AKIOMBA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aq07GQXjwH1Cy4AkDb-qDuH-W*x*a8yehBvvvToMMgVbWIk7e1S7zlR6sdlw3Se2iP9mNcg9HAz7nPANK6SDjP1C9vMAq7F*/lulu2.jpg)
LULU ATINGA MAHAKAMA KUU DAR KUSIKILIZA KESI YAKE
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-R3Tu3EirCPc/UwJG0vYnNZI/AAAAAAAFNok/-DgiP9kMun0/s72-c/download.jpg)
mwenendo wa kesi ya mauaji ya bila kukusudia ya lulu michael mahakama kuu jijini dar es salaam leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-R3Tu3EirCPc/UwJG0vYnNZI/AAAAAAAFNok/-DgiP9kMun0/s1600/download.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
Tantrade yawekwa kitimoto
KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma (PAC), imeipa saa 48 Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tantrade), kuwasilisha kadi za vyombo vya moto 11 vilivyobadishwa usajili wa...