Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KHUTBA YA IJUMAA SUBRA -SH MSELLEM BIN ALLY

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

IPPmedia

Abubakar Zubeiry bin Ally elected Chief Sheikh


IPPmedia
Abubakar Zubeiry bin Ally elected Chief Sheikh
IPPmedia
Tanzania�s Mufti (Chief Sheikh) Abubakar Zubeiry bin Ally thanks Bakwata General Assembly members shortly after they had voted him into power in election held in Dodoma yesterday. The Muslim Council of Tanzania (Bakwata) yesterday picked Abubakari ...

 

10 years ago

GPL

SHEIKH ABUBAKARI BIN ALLY ATEULIWA KAIMU MUFTI

Baadhi ya waumini wa dini ya Kiislamu wakiwa nje ya ofisi ya Bakwata baada ya kumalizika uteuzi huo. Mkuu wa Islamic Social Services Development Center, Sheikh Hassan Chizenga, akihojiwa na wanahabari.…

 

10 years ago

IPPmedia

Abubakari bin Ally named acting Chief Sheikh


IPPmedia
Abubakari bin Ally named acting Chief Sheikh
IPPmedia
Newly elected acting Chief Sheikh Abubakar Zubeir Ally addresses press conference in Dar es Salaam yesterday. Ulamaa Council of Tanzania has unanimously elected Abubakari Zuberi bin Ally to act as Chief Sheikh for the next three months, in the wake of ...
Sheikh Abubakar picked interim MuftiDaily News

all 2

 

10 years ago

CloudsFM

Sheikh Abubakar Zubeir Bin Ally achaguliwa kuwa Kaimu Mufti.

Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) limemtangaza Naibu Kadhi Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir Bin Ally kukaimu nafasi ya mufti na sheikh mkuu.
Uteuzi huo unatokana na kifo cha Mufti Issa Shaaban Bin Simba siku saba zilizopita.

Akizungumza jana na waandishi wa habari, katibu mkuu wa Bakwata, Suleiman Lolila alisema uchaguzi wa kumpata kaimu mufti ulifanywa kwa siku saba tangu kufariki kwa Mufti Simba.

Mufti Simba alifariki dunia Juni 15, mwaka huu katika hospitali ya TMJ jijini...

 

9 years ago

Vijimambo

BAKWATA YAMCHAGUA SHEKHE ABOUBAKAR ZUBEIR BIN ALLY KUWA MUFTI WA TANZANIA



Shekhe Mkuu wa Tanzania ambaye pia ni Mufti wa Tanzania, Aboubakar Zubeir Bin Ally amewataka Watanzania kumwomba Mungu ili awapatie kiongozi bora katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Shekhe Zubeir aliyasema hayo jana kwenye mkutano mkuu wa Bakwata uliompitisha kuwa Mufti wa Tanzania kwa kura za wajumbe wote 310 baada ya mtu aliyeingia naye katika ushindani huo kujitoa.
Katika kinyang’anyiro hicho Shekhe Aboubakar alikuwa na wenzake watatu ambao ni Shekhe Khamis Mtupa, Shekhe Hassan Kiburwa...

 

9 years ago

Michuzi

HAFLA YA KUMKARIBISHA RASMI BAKWATA MUFTI MKUU MPYA WA TANZANIA SHEIKH ABUBAKAR ZUBERI BIN ALLY

 Mufti Mkuu mpya wa Tanzania Sheikh Abubakar Zuberi bin Ally  akiongea na mamia ya Waislamu waliojitokeza kumkaribisha rasmi makao makuu ya Baraza Kuu la Waislamu la Tanzania (BAKWATA) Kinondoni Muslim jijini Dar es salaam Ijumaa jioni.  Rais Mstafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi akizungumza wakati wa hafla ya kumkaribisha rasmi Mufti Mkuu mpya wa Tanzania Sheikh Abubakar Zuberi bin Ally   makao makuu ya Baraza Kuu la Waislamu la Tanzania (BAKWATA) Kinondoni Muslim jijini Dar es salaam Ijumaa...

 

10 years ago

Michuzi

Maalim Seif Sharif Hamad aongoza maziko ya sheikh Alawy bin Omar bin Salim Baalawy, Pemba

 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akielekea viwanja vya Ole Kanambe kwa ajili ya kushiriki sala ya aliyekuwa Sheikh maarufu wa Ole marehemu sheikh Alawy bin Omar bin Salim Baalawy, aliyefariki jana usiku. Mamia ya waombolezaji kisiwani Pemba wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa aliyekuwa sheikh maarufu wa Ole Kanambe marehemu sheikh Alawy bin Omar bin Salim Baalawy, aliyefariki jana usiku. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani