Kiba, Diamond mtonyo uko hapa
Wanadai hawajagombana, lakini kama utawasikiliza kwa makini wanapozungumzia tetesi kwamba wana tofauti, utagundua kitu kati yao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog25 Jun
Kufuatia taarifa za uvumi wa kifo cha Waziri wa Elimu Shukuru Kawambwa, ukweli uko hapa!
Taarifa hii imetoka kwenye akaunti ya facebook ya Mbunge wa Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete na inasomeka kama ifuatavyo….Ndg Watanzania,WanaBagamoyo na wapenda maendeleo, kwa niaba ya CCM-Bagamoyo na Ofisi ya Mbunge-Jimbo la Bagamoyo napenda kuleta kwenu Masikitiko yetu kwa niaba ya Chama na Familia ya Mheshimiwa Mbunge Shukuru Jumanne Kawambwa kutokana na Usumbufu ambao umesababishwa na habari zinazoenezwa Mitandaoni kwamba Mheshimiwa Kawambwa amekumbwa na Umauti akiwa njiani anaelekea...
10 years ago
Vijimambo23 Mar
HAPA HUDDAH HAPA ZARI BILA DIAMOND HUKO KENYA KULIKONI
![](http://i2.wp.com/sammisago.com/wp-content/uploads/2015/03/zari-6.jpg?resize=543%2C368)
![](http://i1.wp.com/sammisago.com/wp-content/uploads/2015/03/zari-00.jpg?resize=541%2C514)
![](http://i1.wp.com/sammisago.com/wp-content/uploads/2015/03/zari-0.jpg?resize=540%2C547)
![](http://i0.wp.com/sammisago.com/wp-content/uploads/2015/03/h-21.jpg?resize=387%2C545)
![](http://i2.wp.com/sammisago.com/wp-content/uploads/2015/03/h-4.jpg?resize=436%2C672)
![](http://i1.wp.com/sammisago.com/wp-content/uploads/2015/03/zari-1.jpg?resize=437%2C523)
![](http://i2.wp.com/sammisago.com/wp-content/uploads/2015/03/h-3.jpg?resize=558%2C648)
![](http://i2.wp.com/sammisago.com/wp-content/uploads/2015/03/zari-3.jpg?resize=552%2C549)
![](http://i1.wp.com/sammisago.com/wp-content/uploads/2015/03/zari-4.jpg?resize=547%2C545)
11 years ago
Tanzania Daima27 Jan
Baby Madaha: Diamond wa hapa hapa
MWANADADA anayetamba kimataifa kupitia kazi zake, Baby Joseph ‘Baby Madaha’, amedai mkali wa muziki wa kizazi kipya nchini, Nassib Abdul ‘Diamond Platinum’ hamuwezi kwa lolote kwani yeye yupo kimataifa zaidi....
10 years ago
CloudsFM30 Jun
10 years ago
Dewji Blog22 Dec
Ali Kiba azindua Video yake mpya “MWANA” kua wa kwanza kuiona hapa
Akiwa ana nyimbo za “Mwana” na “Kimasomaso” zikiongoza katika vituo mbali mbali Africa, Alikiba aachia video ya “Mwana” iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu jana ,Ijumaa tarehe 19 Decemba 2014 kwa mamilioni ya mashabiki Africa na duniani. “Mwana” ni nyimbo ya kwanza baada ya kufunga mkataba wake na kampuni ya Rockstar4000 Management na Rockstar Publishing.
Rekodi ya “Mwana” ni nyimbo ya kwanza kutoka kwenye albamu ya tatu ya Alikiba baada ya kutokuwa katika muziki kwa muda wa miaka mitatu....