Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kibao kilivyomgeukia Soudy Brown kwenye U Heard, leo ni yeye na Ruby.. (+Audio)

Musa Hussein leo kaikamata U Heard, na kibao kimegeuka pia mtu wangu !! Kama ulivyozoea Soudy Brown anavyowabana wengine kuhusu stori za chinichini leo kageuziwa kibao, ishu ni yeye na Ruby. Musa kamcheki Soudy Brown na kuanza kumhoji kuhusu tetesi za jamaa kuwa na uhusiano na Ruby… Soudy kakataa kabisa yani kuhusu hiyo ishu japo […]

The post Kibao kilivyomgeukia Soudy Brown kwenye U Heard, leo ni yeye na Ruby.. (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

Exclusive Audio: Diamond akirap kwenye beat ya ‘Show Me’ (Kid Ink f/ Chris Brown)

Kabla ya kutoka na ‘Kamwambie’ na kisha kufuata na hits nyingi mfululizo, Diamond alikuwa rapper. Na katika kuthibitisha kuwa bado anaweza kuchana, hitmaker huyo ameitumia beat ya wimbo ‘Show Me’ wa Kid Ink f/ Chris Brown kwenye kipindi cha The Hitlist cha Choice FM na kuwaacha watangazaji wa show hiyo mdomo wazi. Msikilize mwenyewe hapo […]

 

11 years ago

Dewji Blog

10 years ago

Michuzi

MSHINDI WA AIRTEL TRACE NALIMI MAYUNGA KUACHIA VIDEO YA KIBAO CHAKE CHA "NICE COUPLE" KWENYE CHANEL YA TRACE LEO.


Mshindi wa shindano la Airtel Trace Music Star Nalimi Mayunga ameachiakibao chake kipya cha " Nice Couple" video itakayorushwa kuanzia leokatika kituo cha DSTV chanel ya Trace Urban 325
MWANZONI mwa mwezi huu, Mshindi huyo wa Airtel Trace Music star alituamjini Johannesburg South Afrika akitokea nchini Tanzania  ili kuanzasafari yake kujiendeleza kimuziki na kufikia ndoto zake mara baada yakuibuka mshindi wa mashindano makubwa yaliyoshirikisha nchi 13 baraniAfrika  yaliyofanyika tarehe 18...

 

11 years ago

Bongo5

Chris Brown adai kuwa Karrueche Tran hakumpiga chini bali yeye ndiye amempiga kibuti, zifahamu sababu

Vyanzo vya karibu na mwimbaji Chris Brown vimeuambia mtandao wa TMZ kuwa Chris ameshangazwa na habari za hivi karibuni kuwa amepigwa chini na mpenzi wake wa On/Off Karrueche Tran, na kudai kuwa yeye (Chris) ndiye aliyempiga kibuti mrembo huyo. Vyanzo hivyo vimesema kuwa Breezy amemuacha Karrueche baada ya kugundua alikuwa anawasiliana na kuwatumia picha wanaume […]

 

9 years ago

MillardAyo

Chris Brown anaisogeza ‘Little More’ single special kwajili ya mwanae Royalty – (Audio)!

Baada ya kuisogeza kwetu Anyway, Chris Brown amerudi tena na nyingine mpya! Wimbo unaitwa ‘Little More (Royalty)’ na ni single special kwajili ya mwanae wa mwaka mmoja na nusu, Royalty. Ndani ya wimbo huu Chris Brown anasikika akiimba maneno haya… “Even though I’m a man girl, you’ra makin’ me feel like a baby/ Oh girl […]

The post Chris Brown anaisogeza ‘Little More’ single special kwajili ya mwanae Royalty – (Audio)! appeared first on...

 

10 years ago

Bongo5

Video: Tazama Interview ya Ruby kwenye The Playlist ya Times FM (hosted by Lil Ommy)

Mtangazaji wa Times FM, Lil Ommy ameachia kipindi chake cha The Playlist alichofanya na msanii wa kike, Ruby kwenye mtandao wa YouTube ili mashabiki waweze kuona na kusikia kilichojiri kwenye show hiyo. Ruby alizungumzia ujio wa album yake, Vanessa Mdee, collabo na Christian Bella na mambo mengine kibao. Kwa taarifa zaidi unaweza kumfollow @LilOmmy kwenye […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani