KICHANGA CHATUPWA, MAMA YAKE ATIWA NGUVUNI
![](http://api.ning.com:80/files/oszb1oYwZCmEJwxnBKlR*0BfaD7gRxPhc7jf4OUkP365rJWf7lCbPIWbaeIIi3ANz46dUc4KBtmXfIO01fTTU7jzgSJUopgW/3kichanga3.jpg)
Mama anayedaiwa kutupa kichanga akiwa na mwanae wa kwanza. Difenda la polisi likiwa eneo la tukio kuchukua mtuhumiwa na mwili wa kichanga.…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Flg-lHiuL4ejn9MGm8I5whikJEGVcYXfMt95L7m03YHjfsdOCVPK2vLuijI97sI3cv*3b9OkLtosN*qbixMUIrrIRzExxyD-/DSC_0051.jpg?width=650)
KICHANGA CHATUPWA BUNJU DAR
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yL5hZx3OnBiHsdRDXI13r1XyN6fpwgBQeWASJea14sg72vbifH1m*o6WRdC49rtQ7xwBJ2UGYRJw1S8vNeLw4fd/1MTOTOATUPWA1.jpg?width=650)
MASKINI! KICHANGA CHATUPWA ENEO LA MTO NG'OMBE MWANANYAMALA, DAR
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
Kichanga chafanyiwa unyama na mama yake
WAKATI tukio la kusikitisha la kifo cha ‘Mtoto wa Boksi’ likiendelea kutanda kwenye vichwa vya Watanzania, mwanamke mwingine, Fadhila Bakari, mkazi wa Keko Machungwa, Mtaa wa Championi, amefanya unyama wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LXZYmTRupZ*MKmUrZHeHMv54I8Do7xBtPsAIDU0hCKRQIDGr6OsQYuDL6vZdaAgXctDeFRd1IOIkle9mnz21iw6vZvWgPaxA/KICHANGA1.jpg?width=650)
KICHANGA AUAWA, ATIWA KWENYE MFUKO WA RAMBO
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kgTogVO-CgI/U4bMyuvpKDI/AAAAAAAFmBQ/PyqPzr9Rc5o/s72-c/POLISI+LOGO+-+Copy.jpg)
MSICHANA WA KAZI ATIWA MBARONI KWA KUTUPA KICHANGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-kgTogVO-CgI/U4bMyuvpKDI/AAAAAAAFmBQ/PyqPzr9Rc5o/s1600/POLISI+LOGO+-+Copy.jpg)
MSICHANA Theresia Matai (19) ambaye ni mfanyakazi wa ndani mkazi wa Kwa Mathias wilayani Kibaha mkoani Pwani anashaikiliwa na Jeshi la polisi mkoani humo kwa tuhuma za kumtupa mtoto wake aliyejifungua.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa Polisi mkoani Pwani Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Ulrich Matei alisema kuwa tukio hilo lilitokea Mei 27 mwaka huu majira ya saa 3 usiku.
Kamanda Matei alisema kuwa tukio hilo lilitokea eneo la Mwembe...
10 years ago
Michuzi27 May
Mama wa Mitindo Asia Idarous Khamisin afiwa na Mama yake mkubwa Zanzibar
![IMG_3895](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/IMG_3895.jpg)
MBUNIFU mkongwe wa mavazi, Mama wa mitindo nchini, Asia Idarous Khamsin amepata pigo kufuatia kufiwa na Mama yake mkubwa, Aliyefahamika kwa jina la Fatma Juma, Msiba uliotokea Kisiwa Ndui, Unguja.
Kwa mujibu wa taarifa za msiba huo ambao hata hivyo tayari mazishi yake yamefanyika siku ya Jumatatu ya Mei 25, Kisiwa Ndui, na leo Jumatano ya Mei 27 wanatarajia kufanya kisomo maalum.
Ratiba ya Kisomo:Leo Jumatano ya Mei 27, saa 10, Alasiri wanatarajia kufanya kisomo maalum kwa wanawake wote...
10 years ago
Dewji Blog27 May
Mama wa Mitindo Asia Idarous Khamsin afiwa na Mama yake mkubwa Zanzibar
Na Mwandishi Wetu
MBUNIFU mkongwe wa mavazi, Mama wa mitindo nchini, Asia Idarous Khamsin amepata pigo kufuatia kufiwa na Mama yake mkubwa, Aliyefahamika kwa jina la Fatma Juma, Msiba uliotokea Kisiwa Ndui, Unguja.
Kwa mujibu wa taarifa za msiba huo ambao hata hivyo tayari mazishi yake yamefanyika siku ya Jumatatu ya Mei 25, Kisiwa Ndui, na leo Jumatano ya Mei 27 wanatarajia kufanya kisomo maalum.
Ratiba ya Kisomo:
Leo Jumatano ya Mei 27, saa 10, Alasiri wanatarajia kufanya kisomo...
9 years ago
Bongo513 Oct
Aslay adai asilimia 60 ya mafanikio yake yametokana na marehemu mama yake
10 years ago
Bongo Movies02 Jan
Lulu Amzawadia Nyumba Mama Yake Kwenye Siku Yake ya Kuzaliwa
Mrembo na mwigizaji wa filamu, Elizabeth Michael, ‘Lulu’siku ya jana alimfanyia sherehe mama yake mzazi kwa kufikisha miaka 45 ya kuzaliwa ilyofanyika kwenye hoteli ya Great Wall, Masaki ambapo mastaa kadhaa wa hapa bongo walihudhuria sherehe hiyo ambapo inadaiwa kuwa mbali kuandaa sherehe hizo mwanadada Lulu alimzawadia jumba mama yake ambayo inasemekana ipo Kimara hapa jijini Dar.
Hii ni kwa mijibu wa mwigizaji Flora Mvungi “H mama”ambae ni moja kati ya mastaa kadhaa waliohudhuria...