Kigoma kumuunga mkono Kafulika
Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila.
Na Mwandishi wetu
Wananchi wa Kigoma kusini, wamesema wapo tayari kuunganishwa na kesi ya Mbunge wao David Kafulila, wakisema kuwa sasa kiburi cha serikali ya Chama cha Mapinduzi sasa inabidi kifike mwisho.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti kwenye mikutano ya hadhara iliyofanyika Kazuramimba, Basanza na Uvinza, wananchi hao walioonekana kuwa na hasira, walikataa kuuliza maswali mengi badala yake walikuwa wanaomba kuelekezwa utaratibu ili waweze...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi27 Jul
Wasanii wa Injili kumuunga mkono Makamba
10 years ago
Mwananchi09 Apr
Chadema Moro kumuunga mkono Abood
10 years ago
Mwananchi06 Aug
Sau, APPT kumuunga mkono urais Lowassa
9 years ago
StarTV07 Nov
Wakazi Ruvuma waahidi kumuunga mkono Rais Magufuli
Wakazi wa Mkoa wa Ruvuma wamesema wanaungana na Rais John Magufuli katika kuijenga Nchi kimaendeleo na kiuchumi.
Wakazi hao wamemuomba Rais Magufuli kuzipa kipaumbele changamoto zinazoukabili Mkoa wa Ruvuma kama viwanda, pembejeo za kilimo na kukuza mitaji.
Wananchi hao wamesema katika Vitabu vya Dini vinasema Roho ya Mungu ilitulia katika Maji, na Dalili ya Mvua iliyonyesha wakati anaapishwa Rais Mteule Dr John Pombe Magufuli ni ishara ya kuonyesha mkono wa Mwenyezi Mungu upo pamoja na...
9 years ago
Dewji Blog29 Sep
Vijana waanzisha Club kumuunga mkono Dkt. Magufuli
Mratibu wa Kampeni upande wa Vijana CCM kwa Mkoa wa Dar es Salaam na Vyuo Vikuu Bw. Daniel Zenda akizungumza na Zaidi ya Vijana 500 kutoka Jimbo la Mbagala wakati wa uzinduzi wa MAGUFULI Club jijini Dar es Salaam jana. MAGUFULI Club imeanzishwa kama jukwaa la kuwakutanisha vijana nchini kote wanaomuunga mkono mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi Dkt. John Pombe Magufuli.
Mratibu wa MAGUFULI Club wilaya ya Temeke Bw. Peter Dafi akizungumza na vijana kutoka Jimbo la Mbagala...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XNAUpoqpZ5c/VgoMNmyqFtI/AAAAAAAH7p4/vP_BqjvfdMs/s72-c/PIX1a.jpg)
VIJANA WAANZISHA CLUB KUMUUNGA MKONO DKT. MAGUFULU
![](http://1.bp.blogspot.com/-XNAUpoqpZ5c/VgoMNmyqFtI/AAAAAAAH7p4/vP_BqjvfdMs/s640/PIX1a.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HV5YpfKyULQ/VgoMNhZVR-I/AAAAAAAH7qA/vBm3X7A4u_w/s640/PIX2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog10 Nov
Mzee Mghuma: “Watanzania wahimizwa kumuunga mkono Dk. Magufuli”
Mzee Mughuna Mtatuu Mdimi (64) mkazi wa kijiji cha Ghalunyangu wilaya ya Singida mkoa wa Singida, awahimiza Watanzania kuweka kando tofauti zao za kisiasa na badala yake wamuunge mkono rais Dk.John Pombe Magufuli,katika kutekeleza ahadi alizozitoa wakati wa kampeni za uchaguzi. (Picha na Nathaniel Limu).
Mkulima na mkazi wa kijiji cha Ghalunyangu tarafa ya Mtinko wilaya ya Singida mkoani hapa, Mughuna Mtatuu Mdimi (85), amewasihi Watanzania wote kuweka pembeni itikadi zao za kisiasa,na...
10 years ago
GPL07 Jan
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VfUYYGOb59w/XslT6I53CNI/AAAAAAALrX8/K_wtCXYD3zYJusL_HX_pDYAuBv6ckqH4gCLcBGAsYHQ/s72-c/1-22-768x576.jpg)
OLE SENDEKA AWATAKA WATANZANIA KUMUUNGA MKONO RAIS MAGUFULI
![](https://1.bp.blogspot.com/-VfUYYGOb59w/XslT6I53CNI/AAAAAAALrX8/K_wtCXYD3zYJusL_HX_pDYAuBv6ckqH4gCLcBGAsYHQ/s640/1-22-768x576.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Christopher Ole Sendeka, (kulia) akishuhudia mazishi ya mdogo wake Sumleck Ole Sendeka ambaye alikuwa Katibu mwenezi wa CCM Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, yaliyofanyika nyumbani kwao Losokonoi Kata ya Naberera.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2-14-1024x768.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Christopher Ole Sendeka (kulia) akipokea rambirambi kutoka kwa Katibu wa CCM Mkoani Manyara, Naomi Kapambala kwenye msiba wa mdogo wake Sumleck Ole Sendeka ambaye alikuwa Katibu mwenezi wa CCM wilayani Simanjiro aliyezikwa nyumbani...