Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kigoma kumuunga mkono Kafulika

kafulila

Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila.

Na Mwandishi wetu

Wananchi wa Kigoma kusini, wamesema wapo tayari kuunganishwa na kesi ya Mbunge wao David Kafulila, wakisema kuwa sasa kiburi cha serikali ya Chama cha Mapinduzi sasa inabidi kifike mwisho.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti kwenye mikutano ya hadhara iliyofanyika Kazuramimba, Basanza na Uvinza, wananchi hao walioonekana kuwa na hasira, walikataa kuuliza maswali mengi badala yake walikuwa wanaomba kuelekezwa utaratibu ili waweze...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wasanii wa Injili kumuunga mkono Makamba

Wasanii wa nyimbo za Injili nchini wamemtaka Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia, January Makamba kuendelea na nia yake ya kugombea urais wakieleza kuwa wapo tayari kumpigia kampeni.

 

10 years ago

Mwananchi

Chadema Moro kumuunga mkono Abood

Mvutano wa uendelezaji ujenzi wa kituo cha mabasi cha Msamvu mjini hapa, umeingia hatua mpya baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kutangaza maandamano kuunga mkono hatua za Mbunge wa Morogoro Mjini, Aziz Abood kuhoji matumizi ya fedha za mradi huo.

 

10 years ago

Mwananchi

Sau, APPT kumuunga mkono urais Lowassa

Wakati vyama vinne vinavyounda Ukawa, vimempitisha Edward Lowassa kugombea urais, vyama vingine vya Sau na APPT-Maendeleo vimetangaza kumuunga mkono mgombea huyo katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25.

 

9 years ago

StarTV

Wakazi Ruvuma waahidi kumuunga mkono Rais Magufuli

Wakazi wa Mkoa wa Ruvuma wamesema wanaungana na Rais John Magufuli katika kuijenga Nchi kimaendeleo na kiuchumi.

Wakazi hao wamemuomba Rais Magufuli kuzipa kipaumbele changamoto zinazoukabili Mkoa wa Ruvuma kama viwanda, pembejeo za kilimo na kukuza mitaji.

Wananchi hao wamesema katika Vitabu vya Dini vinasema Roho ya Mungu ilitulia katika Maji, na Dalili ya Mvua iliyonyesha wakati anaapishwa Rais Mteule Dr John Pombe Magufuli  ni ishara ya kuonyesha mkono wa Mwenyezi Mungu upo pamoja na...

 

9 years ago

Dewji Blog

Vijana waanzisha Club kumuunga mkono Dkt. Magufuli

PIX1a

Mratibu wa Kampeni upande wa Vijana CCM kwa Mkoa wa Dar es Salaam na Vyuo Vikuu Bw. Daniel Zenda akizungumza na Zaidi ya Vijana 500 kutoka Jimbo la Mbagala wakati wa uzinduzi wa MAGUFULI Club jijini Dar es Salaam jana. MAGUFULI Club imeanzishwa kama jukwaa la kuwakutanisha vijana nchini kote wanaomuunga mkono mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi Dkt. John Pombe Magufuli.

PIX1b

PIX2

Mratibu wa MAGUFULI Club wilaya ya Temeke Bw. Peter Dafi akizungumza na vijana kutoka Jimbo la Mbagala...

 

9 years ago

Michuzi

VIJANA WAANZISHA CLUB KUMUUNGA MKONO DKT. MAGUFULU

 Mratibu wa Kampeni upande wa Vijana CCM kwa Mkoa wa Dar es Salaam na Vyuo Vikuu Bw. Daniel Zenda akizungumza na Zaidi ya Vijana 500 kutoka Jimbo la Mbagala wakati wa uzinduzi wa MAGUFULI Club jijini Dar es Salaam jana. MAGUFULI Club imeanzishwa kama jukwaa la kuwakutanisha vijana nchini kote wanaomuunga mkono mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi Dkt. John Pombe Magufuli. Mratibu wa MAGUFULI Club wilaya ya Temeke Bw. Peter Dafi akizungumza na vijana kutoka Jimbo la Mbagala wakati...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mzee Mghuma: “Watanzania wahimizwa kumuunga mkono Dk. Magufuli”

DSCN5332

Mzee Mughuna Mtatuu Mdimi (64) mkazi wa kijiji cha Ghalunyangu wilaya ya Singida mkoa wa Singida, awahimiza Watanzania kuweka kando tofauti zao za kisiasa na badala yake wamuunge mkono rais Dk.John Pombe Magufuli,katika kutekeleza ahadi alizozitoa wakati wa kampeni za uchaguzi. (Picha na Nathaniel Limu).

Mkulima na mkazi wa kijiji cha Ghalunyangu tarafa ya Mtinko wilaya ya Singida mkoani hapa, Mughuna Mtatuu Mdimi (85), amewasihi Watanzania wote kuweka pembeni itikadi zao za kisiasa,na...

 

5 years ago

Michuzi

OLE SENDEKA AWATAKA WATANZANIA KUMUUNGA MKONO RAIS MAGUFULI




Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Christopher Ole Sendeka, (kulia) akishuhudia mazishi ya mdogo wake Sumleck Ole Sendeka ambaye alikuwa Katibu mwenezi wa CCM Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, yaliyofanyika nyumbani kwao Losokonoi Kata ya Naberera.

Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Christopher Ole Sendeka (kulia) akipokea rambirambi kutoka kwa Katibu wa CCM Mkoani Manyara, Naomi Kapambala kwenye msiba wa mdogo wake Sumleck Ole Sendeka ambaye alikuwa Katibu mwenezi wa CCM wilayani Simanjiro aliyezikwa nyumbani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani