Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kiingereza hakikwepeki katika dunia ya leo

Juzi tulichapisha habari iliyomnukuu Kaimu Mkemia Mkuu wa Serikali, Sabanitho Mtega akisema vipodozi vyenye kemikali zenye madhara kwenye mwili wa binadamu vinaendelea kutumiwa na wananchi kutokana na kutofahamu Kiingereza kinachotumiwa kwenye vipodozi hivyo kuelezea matumizi yake

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Breaking News!!No More Che Mundugwao! afariki dunia mchana wa leo katika Hospitali ya Muhimbili

4

Che Mundugwao enzi za uhai wake.

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Katika masikitiko makubwa na majonzi, Tanzania imeweza kumpoteza msanii mahiri  wa muziki wa asili nchini, Chigwele Che Mundugwao  alifariki mchana wa leo.

Kwa mujibu wa taarifa mbalimbali kutoka vyanzo vya habari, vilivyoifikia  chumba cha Habari Modewji blog, zilieleza kuwa, CHE MUNDUGWAO amefariki dunia leo Aprili 16, katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.

Hata hivyo taarifa zaidi zitaendelea  kutolewa hapo baadae..ENDELEA...

 

11 years ago

Dewji Blog

Watu kumi wamefariki dunia na majeruhi saba katika ajali mbaya iliyotokea Mbalizi leo

9

Hivi ndivyo ambavyo Daladala hiyo ilivyojibamiza muda mchache uliopita Eneo hili la ubavuni ndipo eneo ambalo Daladala hiyo iliingia na Kujigonga Gari hilo aina ya Tata likiwa limepaki pembeni Muda mchache baada ya kupata ajali hiyo. 3 Askari wa usalama wa Barabarani akiwa anatazama na kuchunguza zaidi ajali hiyo. Eneo ambalo Daladala hiyo iliyofumuka Viti vikiwa vimeharibika baada ya ajali kutokea. Hivi ndivyo Daladala hiyo iliyokuwa ikitoka Mwanjelwa kuja Mbalizi ilivyo...

 

10 years ago

GPL

MTOTO NICE MWENYE UWEZO WA KUONGEA KIINGEREZA NA KUKOKOTOA HESABU ATINGA GLOBAL PUBLISHERS LEO


Mtoto Nice Valentino akiwa ndani ya ofisi za Global Publishers. MTOTO Nice Valentino mwenye miaka mitatu ambaye ana uwezo wa kipekee wa kuongea kiingereza fasaha kabisa bila kigugumizi pamoja na kukokotoa mahesabu leo ametembelea ofisi za Global Publishers na kufanyiwa mahojiano na Global TV Online. Mbali na kuongea kiingereza fasaha, Nice hajawahi kwenda shule yoyote kujifunza lugha hiyo ya… ...

 

11 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: WATU KUMI WAFARIKI DUNIA NA WENGINE SABA KUJERUHIWA KATIKA AJALI YA GARI JIJINI MBEYA LEO

WATU kumi wakiwemo watoto wawili wamefariki dunia papo hapo na wengine saba wamejeruhiwa vibaya katika ajali iliyohusisha magari mawili.
Ajali hiyo ilitokea jana majira ya saa nne asubuhi ikihusisha gari ndogo ya abiria maarufu daladala lenye namba za usajili T 237 BFB aina Toyota Hiace na gari kubwa aina ya Fuso lenye namba za usajili T 158 CSV.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa ajali hiyo wamesema ajali hiyo ilitokea maeneo ya Mbalizi baada ya Hiace iliyokuwa ikitokea Mbeya mjini kuelekea...

 

10 years ago

Mwananchi

Kiswahili dhidi ya Kiingereza au Kiswahili pamoja na Kiingereza?

Suala la matumizi ya lugha Tanzania limeleta ushindani mzito kati ya Kiswahili na Kiingereza.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kombe la dunia katika Vatican ?

Papa Francis na Papa Benedict kushabikia fainali ya kombe la dunia ?

 

11 years ago

Mwananchi

Jikubali hata katika ya dunia inayokukataa

Kuonyesha uhalisia wako siyo kosa kwani ipo nguvu ya kipekee katika kuonyesha uhalisia wako. Lakini inakuaje kama dunia inayokuzunguka haiependezwi na hali hiyo?

 

10 years ago

Michuzi

11 years ago

Michuzi

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani