Kikosi cha KVZ hakijavamia eneo la wawekezaji
Na Miza Kona na Maryam Kidiko-Maelezo Zanzibar
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema Kikosi cha Valantia Zanzibar (KVZ) hakijavamia eneo la Mwekezaji wa Kiwanda cha Sukari Mahonda.
Hayo yamesemwa leo huko Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Chukwani Wilaya ya Magharibi Unguja na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara Maalum Mhe. Haji Omar Kheri (pichani) wakati akijibu suala la Mwakilishi wa Jimbo la Muyuni Mhe. Jaku...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi03 Oct
Serikali yadaiwa kugawa eneo kwa wawekezaji
10 years ago
MichuziWAWEKEZAJI KUTOKA CHINA WAVUTIWA NA ENEO LA VIWANDA WILAYANI KISARAWE MKOANI PWANI
10 years ago
GPLWAWEKEZAJI KUTOKA CHINA WAVUTIWA NA ENEO LA VIWANDA WILAYANI KISARAWE MKOANI PWANI
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/u9VY04Xx24k/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/u9VY04Xx24k/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LYxsiSPD9fE/VfbKuLBVo7I/AAAAAAAH4wU/OOAa7B6lHLU/s72-c/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
Kikosi cha muziki mnene cha EFM 93.7 chatoka sare na mlandizi veteran
![](http://1.bp.blogspot.com/-LYxsiSPD9fE/VfbKuLBVo7I/AAAAAAAH4wU/OOAa7B6lHLU/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-mhVL90WeXQI/VfbKuHKLa9I/AAAAAAAH4wQ/XGeH6DcfudU/s640/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-g5AvLUCCofI/VfbKv9nCJPI/AAAAAAAH4wc/sY5vZBMKH_w/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog10 Aug
5 years ago
Bongo514 Feb
Hiki ndio kikosi cha PFA cha wachezaji 11 bora Uingereza msimu huu
Chama cha wachezaji soka wakulipwa Uingereza (PFA) kimetaja kikosi chake bora cha ligi hiyo kwa msimu huu unaoelekea ukingoni.
Timu ya Chelsea na Tottenham Hotspurs ndizo zimeongoza kutoa wachezaji wengi katika kikosi hicho ambapo kila timu imetoa wachezaji wanne. Wachezaji wa Chelsea walioingia katika kikosi hicho ni pamoja na Gary Cahil, David Luiz, N’golo Kante na Eden Hazard.
Nao waliochaguliwa kutoka Spurs ni Kyle Walker, Danny Rose, Dele Alli na Harry Kane. Wachezaji wengine...