Serikali yadaiwa kugawa eneo kwa wawekezaji
Wamiliki wa viwanja 235 katika Kijiji cha Kichangani, eneo la viwanda, wamegoma kuondoka katika eneo hilo walilopewa wawekezaji kwa madai kuwa awali, Serikali iliwahamisha Mwambani kupisha ujenzi wa kituo kikubwa cha reli na kuwagawia viwanja hivyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLUBOVU WA BARABARA ENEO LA VIWANDA VYA KUSAGA NA KUKAMUA MAFUTA ENEO LA SIDO MBEYA NI KERO KWA WAFANYA BIASHARA ENEO HILO
10 years ago
StarTV28 Dec
Serikali kuweka vivutio vingi kwa wawekezaji.
Na Grace Semfuko,
Dar es Salaam.
Serikali imesema ipo haja ya kuangalia uwezekano wa kuweka vivutio vingi kwa wawekezaji ili waweze kuingia kwa wingi kuwekeza kwenye sekta za bandari na utalii nchini.
Hatua hiyo itasaidia kuboresha miundombinu ya uwekezaji kwenye sekta hizo ikiwa ni pamoja na kuongeza ajia na pato la Taifa.
Jebel Alli Free Zone ni bandari kubwa nchini Dubai ambayo inahudumia mizigo inayoingia na kutoka nchini humo, wanaoendesha Bandari hii ni wawekezaji ambao...
10 years ago
Dewji Blog18 Mar
Kikosi cha KVZ hakijavamia eneo la wawekezaji
Na Miza Kona na Maryam Kidiko-Maelezo Zanzibar
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema Kikosi cha Valantia Zanzibar (KVZ) hakijavamia eneo la Mwekezaji wa Kiwanda cha Sukari Mahonda.
Hayo yamesemwa leo huko Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Chukwani Wilaya ya Magharibi Unguja na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara Maalum Mhe. Haji Omar Kheri (pichani) wakati akijibu suala la Mwakilishi wa Jimbo la Muyuni Mhe. Jaku...
10 years ago
MichuziWAWEKEZAJI KUTOKA CHINA WAVUTIWA NA ENEO LA VIWANDA WILAYANI KISARAWE MKOANI PWANI
10 years ago
GPLWAWEKEZAJI KUTOKA CHINA WAVUTIWA NA ENEO LA VIWANDA WILAYANI KISARAWE MKOANI PWANI
11 years ago
MichuziSerikali ya Comoro yakabidhi eneo kwa Ubalozi Tanzania nchini humo
Hafla ya makabidhiano hayo imefanyika Wizara ya Mambo ya Nje ya Comoro ambapo Mhe. Waziri El-Anrif amemkabidhi Mhe. Chabaka F. Kilumanga, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Comoro, funguo za majengo matatu yaliyopo katika eneo hilo....
10 years ago
Habarileo20 Dec
Serikali yadaiwa Sh bil 15 ankara za maji
WAZIRI wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe, amesema mamlaka za maji na mashirika yanayotoa huduma za maji nchini, yanaidai Serikali zaidi ya Sh bilioni 15 na wadaiwa wakubwa ni vyombo vya ulinzi na usalama.
9 years ago
StarTV07 Nov
Serikali yadaiwa kuyatelekeza majengo yake
Serikali imedaiwa kuyatelekeza majengo ya iliyokuwa kambi na Hospitali ya Ukoma kwa nchi za Jumuiya ya Afrika ya Mashariki yaliyopo katika kijiji cha Bugoma kata ya Kisondela wilayani Rungwe mkoani Mbeya. Kutelekezwa kwa majengo hayo kwa miaka mingi iliyopita kumetokana na kupungua kwa kiasi kikubwa kwa maambukizi ya ugonjwa wa ukoma unaosababisha ulemavu ambao waathirika wake ndio waliokuwa wakiishi katika kambi hiyo. Majengo hayo ambayo yanaonekana ni imara na yanaweza kutumika kwa...
11 years ago
Mwananchi26 May
Serikali yadaiwa kupoteza Dola 581