Kikwete akabidhiwa magari 50 ya wagonjwa
RAIS Jakaya Kikwete amekabidhiwa jumla ya magari ya kubebea wagonjwa 50 kutoka kwa kampuni ya vito ya Decent Dia Jewel (DMCC), yenye thamani ya Dola za Marekani 300,000 kwa ajili ya kusambazwa maeneo mbalimbali nchini.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog10 May
Waziri Nyalandu akabidhiwa magari ya kusaidia kampeni ya kutokomeza Majangili wa mauaji ya Tembo
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nayalandu, akipokea funguo ya moja kati ya magari matatu aina ya Land Cruiser, yenye thamani ya Sh. milioni 350, kutoka kwa Mwenyekiti wa Taasisi ya Uhifadhi Wanyamapori Tanzania, Eric Pasanisi, wakati wa hafla ya makabidhiano hayo iliyofanyika leo kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro wakati wa Kongamano la Kampeni ya kudhibiti Ujangili na kukomesha mauaji dhidi ya Tembo. Kongamano hilo lililofunguliwa na Makamu wa Rais Dkt Bilal, jana limemalizika leo...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-AocQDxST_xQ/VMBUJgcbT6I/AAAAAAAARoQ/L8z4sAcRg6E/s72-c/10933724_345578208967134_2984157386036978574_n.jpg)
Freeman Mbowe atoa magari ya wagonjwa Hai
![](http://1.bp.blogspot.com/-AocQDxST_xQ/VMBUJgcbT6I/AAAAAAAARoQ/L8z4sAcRg6E/s640/10933724_345578208967134_2984157386036978574_n.jpg)
Kutolewa kwa ambulance hiyo itakuwa ni ukombozi mkubwa kwa wakazi wa HAI jimbo ambalo limetawaliwa na mito na mabonde mbalimbali ambapo litatumika kuwawaisha wagonjwa hospitali za teule ya Machame na ile ya Wilaya.
Kufuatia kutolewa kwa ambulance hiyo...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-evwpp3qaA_c/Ve7QGJ4hoBI/AAAAAAAH3Vw/I3dlwhMQSuw/s72-c/Mizengo-Pinda18.jpg)
WAZIRI MKUU AKABIDHI MAGARI YA KUBEBA WAGONJWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-evwpp3qaA_c/Ve7QGJ4hoBI/AAAAAAAH3Vw/I3dlwhMQSuw/s320/Mizengo-Pinda18.jpg)
Waziri Mkuu amekabidhi magari hayo ikiwa ni utekelezaji wa ahadi yake aliyoitoa Septemba 2013 alipofanya ziara ya kikazi ya mkoa wa Arusha na kubaini adha ya usafiri iliyokuwa ikiwapata wakazi wa kata za Wasso na Enduleni zilizoko...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xMCtlOLhuRdzxyNr*RnaIc-LAKGV-RNQPIGV*1RWyjgE68I*pD3sNYcT5vLjxl*ay68cGxQEaXxIqdJbBF0E-nB89Nc2GAHM/1.jpg)
SPIKA WA BUNGE APOKEA MAGARI MAWILI YA KUBEBEA WAGONJWA
9 years ago
VijimamboUNICEF YAKABIDHI MAGARI KUMI( 10) YA KUBEBEA WAGONJWA MKOANI MBEYA
9 years ago
MichuziWAZIRI MKUU AKABIDHI MSAADA WA MAGARI YA WAGONJWA KWA HOSPITALI ZA WASSO NA ENDULENI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OeakFjEOlkE/Xql_jawsJJI/AAAAAAALokw/eZKlsUrMR-cTvrzUb4A12A24yJklMrXHACLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_0497-1AA-768x512.jpg)
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AKABIDHI MAGARI 10 YA KUBEBEA WAGONJWA KWA WABUNGE
![](https://1.bp.blogspot.com/-OeakFjEOlkE/Xql_jawsJJI/AAAAAAALokw/eZKlsUrMR-cTvrzUb4A12A24yJklMrXHACLcBGAsYHQ/s640/PMO_0497-1AA-768x512.jpg)
9 years ago
StarTV20 Aug
Rais Kikwete akabidhiwa shahada ya kwanza ya heshima ya uwajibikaji
Chuo cha Sayansi na Teknolojia cha Nelson Mandela kimemkabidhi Rais Jakaya Mrisho Kikwete shahada ya kwanza ya heshima aliyotunukiwa na chuo hicho disemba 18 mwaka jana, kutokana na juhudi yake ya kuchochea maendeleo ya sayansi na teknolojia nchini.
Shahada hiyo ni sehemu ya chuo hicho katika kuonyesha heshima na uthamini wa juhudi za rais Kikwete kwenye tasnia ya teknolojia, ambayo kwa mujibu wa Rais mwenyewe, nchi haiwezi kuendelea bila kuwa na maendeleo ya teknolojia.
Rais Kikwete...
10 years ago
Dewji Blog21 Feb
Rais Kikwete akabidhiwa rasmi Uenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki
Tanzania inaunga mkono kwa dhati Ushirikiano wa Kikanda na muumini mkubwa wa Umoja wa Africa na Ushirikiano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).
Rais Jakaya Mrisho Kikwete amesema hayo jijini Nairobi mara baada ya kukabidhiwa uenyekiti wa EAC na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ambaye amekua mwenyekiti wa Jumuiya hiyo kwa kipindi cha mwaka mmoja uliopita.
“Tunaamini kwamba Jumuiya ya Afrika Mashariki iliyogawanyika, haitaweza kuchukua nafasi yake kamili na heshima katika familia ya Mataifa...