Kikwete akerwa wananchi kutolipwa fidia stahiki
RAIS Jakaya Kikwete amewataka maofisa wa Serikali kuacha tabia ya kuwakopa wakulima masikini nchini kwa ujanjaujanja kwa kusingizia kuwa hawana fedha ya fidia mali zao ili kupisha ujenzi wa miradi mbalimbali ya Serikali.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 May
JK akerwa polisi kubughudhi wananchi
11 years ago
Tanzania Daima29 May
Mahakama yaamuru wananchi kulipwa fidia
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Arusha, imeiamuru Halmashauri ya Wilaya ya Arusha kuwalipa fidia wananchi 43 wanaoishi kandokando ya barabara ya Mianzini hadi Timolo, ili wapishe upanuzi wa barabara hiyo yenye...
9 years ago
Mtanzania14 Dec
Wananchi 342 Misenyi walilia fidia
Na Mwandishi Wetu, Misenyi
WANAKIJIJI 342 wa vijiji vya Bulembo, Mushasha na Bugolola waliofanyiwa tathimini kwa ajili ya kupisha ujenzi wa Ndege wa Kimataifa wa Omukajunguti wilayani Misenyi mkoani Kagera, wamesema wanakerwa na udanganyifu mkubwa unaofanywa na Serikali juu ya malipo ya fidia kwa miaka sita sasa.
Wanakijiji hao walikutana juzi katika ofisi ya Kata ya Mushisha ili kujadili hatima yao ambapo kwa kauli moja, waliamua kuunda kamati ya watu 16 ili kufuatilia fidia ya malipo...
11 years ago
Mwananchi22 Dec
Malipo ya fidia yawatoa machozi wananchi Dar
11 years ago
Mwananchi06 May
Wananchi waidai Serikali fidia ya Sh10 bilioni
10 years ago
Tanzania Daima14 Nov
Mama Maria Nyerere akerwa na wanasiasa wanaomkejeli Kikwete
FAMILIA ya baba wa Taifa, Hayati mwalimu Julius Nyerere, imetoa pole kwa Rais Jakaya Kikwete, kutokana na kufanyiwa upasuaji wa tezi dume. Taarifa iliyotolewa jana na kusainiwa na mbunge wa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-aTaFecdvwFo/XrY8cRyXQ9I/AAAAAAALphk/TlJusRIOz-QdXkkEQvgMxlFhXR_bhabUwCLcBGAsYHQ/s72-c/3de15645-5431-4ae8-a751-75738d17f5ee.jpg)
WANANCHI DODOMA WAMSHUKURU RAIS MAGUFULI KWA KUPATA FIDIA KUPISHA UJENZI WA SGR
Wananchi jijini Dodoma wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kwa kupata fidia baada ya maeneo yao kuwekwa katika orodha ya maeneo yanayopitiwa na mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR kipande cha Morogoro – Dodoma – Singida katika Kata za Ihumwa, Mkonze na Kikuyu Kusini mkoani Dodoma, hivi karibuni Mei 2020.
Zoezi hilo linahusisha fidia za nyumba na viwanja, jumla ya wananchi 2,604 wanatarajiwa kulipwa fidia yenye thamani ya zaidi ya Shilingi...
9 years ago
Dewji Blog29 Dec
Waziri Mkuu aitaka TPA kupitia upya zoezi la fidia kwa wananchi wa Kigoma
Wananchi wa Kata ya kibirizi mkoani Kigoma wakiwa na mabango yaliyolenga kumpa ujumbe Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuhusu fidia za ujenzi wa bandari. (Picha na Emmanuel Senny).
Wananchi wa Kata ya kibirizi mkoani Kigoma wakiwa na mabango yaliyolenga kumpa ujumbe Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuhusu fidia za ujenzi wa bandari.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, akikagua soko jipya la samaki lililoko kata ya Kibirizi katika Manispaa ya Kigoma Ujiji baada ya...