Kikwete apangua lala salama
Na Bakari Kimwanga, Dodoma
RAIS Jakaya Kikwete amefanya uteuzi wa wakuu wapya wanne wa mikoa, huku akiwahamisha sita na wengine watatu kuwapangia kazi nyingine.
Taarifa ya Ikulu iliyotolewa kwa vyombo vya habari jana na kusainiwa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, wakuu wapya wa mikoa walioteuliwa ni Halima Dendego anayekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Dk. Ibrahim Msengi, Katavi, Amina Masenza, Iringa na John Mongella, Kagera.
Taarifa hiyo ilisema kabla ya uteuzi huo, Halima Dendego...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-stquVIhr004/UzhrEzLZhhI/AAAAAAAFXbI/WeWukTrYvvU/s72-c/1.jpg)
Ridhiwani kikwete aendelea na kampeni za lala salama chalinze
![](http://4.bp.blogspot.com/-stquVIhr004/UzhrEzLZhhI/AAAAAAAFXbI/WeWukTrYvvU/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OVUBFHvvDO8/UzjeCzHFDgI/AAAAAAAFXgs/zZyz-FErrQw/s1600/7.jpg)
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/04/61.jpg)
RIDHIWANI KIKWETE AENDELEA NA LALA SALAMA YA KAMPENI CHALINZE
11 years ago
Mwananchi25 Jan
Mzunguko wa Lala salama
9 years ago
Mzalendo Zanzibar22 Oct
Kura za Lala salama
Kampeni ni ushawishi. Kampeni ni kujikaribisha. Na kampeni ni kukubalika. Ikiwa zimebaki saa chache kufika siku ya siku (day of a day) kuna kila sababu ya kuendelea kufanya kampeni ili uweze kushawishi, kujikaribisha, na kukubalika. Kwa […]
The post Kura za Lala salama appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Mwananchi12 Jun
Bajeti ya lala salama
11 years ago
Habarileo13 Jun
Ni Bajeti ya lala salama
BAJETI Kuu ya Serikali ya Sh trilioni 19.87, imewasilishwa jana bungeni na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum, huku ikiwabana wananchi katika bidhaa na huduma za starehe, na kipaumbele kikubwa kikiwa elimu.
9 years ago
Habarileo18 Oct
Wiki ya kampeni za lala salama
JUMAPILI ijayo Watanzania wote wenye sifa ya kupiga kura, watatumia haki yao hiyo kuchagua viongozi wa Taifa hili katika nafasi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, wabunge, wawakilishi na madiwani nchi nzima.
10 years ago
CloudsFM19 Dec
Lala salama Aisha Madinda
Jeneza likiwa tayari kusubiri mwili wa marehemu Aisha Madinda msibani maeneo ya Kigamboni,jijini Dar.
9 years ago
Mwananchi14 Oct
Mikakati mipya lala salama ya uchaguzi