Kikwete ataka kivuko kitunzwe
WANANCHI mkoani Mtwara wanaotumia kivuko cha Mv Mafanikio wametakiwa kukitunza kivuko hicho ili kiweze kutumika kwa muda mrefu huku wakikumbushwa kuwa mafanikio wanayoyaona ni juhudi za serikali ya awamu ya nne.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Tanzania10 Aug
Kikwete azindua kivuko Mtwara
RAIS Jakaya Kikwete, amezindua kivuko cha MV. Mafanikio, kilichonunuliwa kwa gharama ya Sh. bilioni 3.3.
Kivuko hicho kinachomaliza kero ya muda mrefu ya wananchi wa Mtwara mjini na Kata ya Msanga Mkuu, kimenunuliwa kwa fedha za serikali na kina uwezo wa kubeba tani 50.
Akizindua kivuko hicho jana mjini hapa, Rais Kikwete alisema uzinduzi huo ni tunda la utendaji bora wa Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli.
“Tuliahidi na ahadi imetimia. Haya ni matunda mazuri ya utendaji mahiri...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-i7FgNhzEKLI/VcdCUON5_lI/AAAAAAAC9gI/su5QHLya8fo/s72-c/_MG_4455.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUZA KIVUKO CHA MV MAFANIKO NA KUZINDUA MRADI WA NYUMBA ZA NHC MKOANI MTWARA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-i7FgNhzEKLI/VcdCUON5_lI/AAAAAAAC9gI/su5QHLya8fo/s640/_MG_4455.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-UB0CWUvfB3w/VcdCU8rjRNI/AAAAAAAC9gA/QHJXiLVZqwg/s640/_MG_4500.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-GFHOM6OmXlk/VcdCVQS3PQI/AAAAAAAC9f4/i0uoVlAShlQ/s640/_MG_4504.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1XDUUh63qqQ/VcdCT3f2DOI/AAAAAAAC9fo/FBVxLhmydYI/s72-c/_MG_4441.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUA KIVUKO CHA MV MAFANIKO NA KUWEKA JIWE LA MSINGI WA NYUMBA ZA MAKAZI NHC MKOANI MTWARA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-1XDUUh63qqQ/VcdCT3f2DOI/AAAAAAAC9fo/FBVxLhmydYI/s640/_MG_4441.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-i7FgNhzEKLI/VcdCUON5_lI/AAAAAAAC9gI/su5QHLya8fo/s640/_MG_4455.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-GFHOM6OmXlk/VcdCVQS3PQI/AAAAAAAC9f4/i0uoVlAShlQ/s640/_MG_4504.jpg)
11 years ago
MichuziMAGUFULI AKAGUA UJENZI WA KIVUKO CHA MSANGAMKUU (MV. MTWARA), DARAJA LA KIGAMBONI PAMOJA NA UKARABATI WA KIVUKO CHA MV. KIGAMBONI
Awali, Dkt.Magufuli alianza kwa kukagua ujenzi wa kivuko kipya cha Msanga Mkuu maeneo ya Kurasini, kivuko hiki kinajengwa na mkandarasi mzalendo na kitakamilika ndani ya kipindi cha miezi miwili.
Aidha, Waziri wa Ujenzi amefanya ukaguzi wa ukarabati wa matengenezo makubwa ya kivuko cha MV.Kigamboni huko Kigamboni, ukarabati...
11 years ago
Tanzania Daima16 Jul
Kikwete ataka medali Jumuiya ya Madola
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, amewataka wachezaji wa michezo mbalimbali wanaokwenda leo kushiriki mashindano ya Jumuiya ya Madola, kutambua heshima ya ushiriki wao na nchi pia....
10 years ago
Mtanzania11 Sep
Mrema ataka Kikwete aongezewe muda
![Augustine Mrema](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Augustine-Mrema.jpg)
Mbunge wa Vunjo (TLP), Augustine Mrema
NA MAREGESI PAUL, DODOMA
MBUNGE wa Vunjo ambaye pia ni Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Augustine Mrema (TLP), amesema kuna haja Rais Jakaya Kikwete aongezewe muda wa kuongoza nchi.
Alisema kama Rais Kikwete ataongezewa muda, atapata muda wa kukamilisha mchakato wa Katiba ambao ndiye aliyeuanzisha.
Mmoja wa wajumbe waliohudhuria kikao kati ya Rais Kikwete na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) kilichofanyika mwanzoni mwa wiki Ikulu ndogo ya Kilimani...
10 years ago
Habarileo06 Sep
Kikwete ataka jeshi dogo, la kisasa
SERIKALI iko katika mkakati madhubuti wa kuliboresha Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ili kuwa na jeshi dogo lenye maslahi bora, silaha za kisasa zinazokwenda na wakati na kuwa na vyombo vya usafiri vya barabarani, angani na majini.
9 years ago
Habarileo14 Oct
Kikwete ataka NIMR itafiti magonjwa yasiyoambukiza
RAIS Jakaya Kikwete ameiagiza Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), kujikita zaidi kutafiti magonjwa yasiyoambukiza kwa sababu watu wengi wanaugua magonjwa hayo kwa sasa.
11 years ago
Mwananchi29 Jan
Kikwete ataka kilimo kutumia teknolojia mpya