Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kikwete ataka kivuko kitunzwe

WANANCHI mkoani Mtwara wanaotumia kivuko cha Mv Mafanikio wametakiwa kukitunza kivuko hicho ili kiweze kutumika kwa muda mrefu huku wakikumbushwa kuwa mafanikio wanayoyaona ni juhudi za serikali ya awamu ya nne.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Tanzania

Kikwete azindua kivuko Mtwara

RAIS Jakaya Kikwete, amezindua kivuko cha MV. Mafanikio, kilichonunuliwa kwa gharama ya Sh. bilioni 3.3.

Kivuko hicho kinachomaliza kero ya muda mrefu ya wananchi wa Mtwara mjini na Kata ya Msanga Mkuu, kimenunuliwa kwa fedha za serikali na kina uwezo wa kubeba tani 50.

Akizindua kivuko hicho jana mjini hapa, Rais Kikwete alisema uzinduzi huo ni tunda la utendaji bora wa Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli.

“Tuliahidi na ahadi imetimia. Haya ni matunda mazuri ya utendaji mahiri...

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS KIKWETE AZINDUZA KIVUKO CHA MV MAFANIKO NA KUZINDUA MRADI WA NYUMBA ZA NHC MKOANI MTWARA LEO


 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa,Ndugu Nehemia Mchechu akizungumza jambo na Rais  Dkt Jakaya Kikwete mara baada ya kuweka jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa nyumba 30za makazi zinazojengwa  na NHC Shangani mkoani Mtwara zenye thamani ya shilingi bilioni 4.4,Kulia ni Waziri wa Ujenzi na Mgombea Urais mteule wa chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli wakiondoka eneo la tukio mapema leo mchana
 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa,Ndugu Nehemia Mchechu akizungumza...

 

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AZINDUA KIVUKO CHA MV MAFANIKO NA KUWEKA JIWE LA MSINGI WA NYUMBA ZA MAKAZI NHC MKOANI MTWARA LEO

 Rais Jakaya Kikwete akiweka jiwe la msingi  katika mradi wa ujenzi wa nyumba 30 za makazi zinazojengwa  na NHC Shangani mkoani Mtwara zenye thamani ya shilingi bilioni 4.4,kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa,Ndugu Nehemia Mchechu pamoja na Waziri wa Ujenzi na Mgombea Urais mteule wa chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli akishuhudia tukio hilo. Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa,Ndugu Nehemia Mchechu akizungumza jambo na Rais  Dkt Jakaya Kikwete mara baada ya...

 

11 years ago

Michuzi

MAGUFULI AKAGUA UJENZI WA KIVUKO CHA MSANGAMKUU (MV. MTWARA), DARAJA LA KIGAMBONI PAMOJA NA UKARABATI WA KIVUKO CHA MV. KIGAMBONI

Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli leo amefanya ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Daraja la Kigamboni ambalo ujenzi wake utakamilka ifikapo Juni mwaka 2015.
Awali, Dkt.Magufuli alianza kwa kukagua ujenzi wa kivuko kipya cha Msanga Mkuu maeneo ya Kurasini, kivuko hiki kinajengwa na mkandarasi mzalendo na kitakamilika ndani ya kipindi cha miezi miwili.
Aidha, Waziri wa Ujenzi amefanya ukaguzi wa ukarabati wa matengenezo makubwa ya kivuko cha MV.Kigamboni huko Kigamboni, ukarabati...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kikwete ataka medali Jumuiya ya Madola

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, amewataka wachezaji wa michezo mbalimbali wanaokwenda leo kushiriki mashindano ya Jumuiya ya Madola, kutambua heshima ya ushiriki wao na nchi pia....

 

10 years ago

Mtanzania

Mrema ataka Kikwete aongezewe muda

Augustine Mrema

Mbunge wa Vunjo (TLP), Augustine Mrema

NA MAREGESI PAUL, DODOMA

MBUNGE wa Vunjo ambaye pia ni Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Augustine Mrema (TLP), amesema kuna haja Rais Jakaya Kikwete aongezewe muda wa kuongoza nchi.

Alisema kama Rais Kikwete ataongezewa muda, atapata muda wa kukamilisha mchakato wa Katiba ambao ndiye aliyeuanzisha.

Mmoja wa wajumbe waliohudhuria kikao kati ya Rais Kikwete na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) kilichofanyika mwanzoni mwa wiki Ikulu ndogo ya Kilimani...

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete ataka jeshi dogo, la kisasa

SERIKALI iko katika mkakati madhubuti wa kuliboresha Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ili kuwa na jeshi dogo lenye maslahi bora, silaha za kisasa zinazokwenda na wakati na kuwa na vyombo vya usafiri vya barabarani, angani na majini.

 

9 years ago

Habarileo

Kikwete ataka NIMR itafiti magonjwa yasiyoambukiza

RAIS Jakaya Kikwete ameiagiza Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), kujikita zaidi kutafiti magonjwa yasiyoambukiza kwa sababu watu wengi wanaugua magonjwa hayo kwa sasa.

 

11 years ago

Mwananchi

Kikwete ataka kilimo kutumia teknolojia mpya

Rais Jakaya Kikwete amesema ili kuhakikisha sekta ya kilimo inapiga hatua lazima ugunduzi wa teknolojia mpya zinazogunduliwa zitumike kwa vitendo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani