Mrema ataka Kikwete aongezewe muda
Mbunge wa Vunjo (TLP), Augustine Mrema
NA MAREGESI PAUL, DODOMA
MBUNGE wa Vunjo ambaye pia ni Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Augustine Mrema (TLP), amesema kuna haja Rais Jakaya Kikwete aongezewe muda wa kuongoza nchi.
Alisema kama Rais Kikwete ataongezewa muda, atapata muda wa kukamilisha mchakato wa Katiba ambao ndiye aliyeuanzisha.
Mmoja wa wajumbe waliohudhuria kikao kati ya Rais Kikwete na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) kilichofanyika mwanzoni mwa wiki Ikulu ndogo ya Kilimani...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ltfAP60l5Q4/XuBaXfBg57I/AAAAAAALtRE/05ElMpXks18cWHTyVZ06AyXk3G8CTQO9wCLcBGAsYHQ/s72-c/kessy24.jpg)
MBUNGE KESSY ASEMA RAIS DK.MAGUFULI, ATAKE ASITAKE LAZIMA AONGEZEWE MUDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ltfAP60l5Q4/XuBaXfBg57I/AAAAAAALtRE/05ElMpXks18cWHTyVZ06AyXk3G8CTQO9wCLcBGAsYHQ/s400/kessy24.jpg)
Na Said Mwishehe,Michuzi TVMBUNGE wa Jimbo la Nkasi Ally Kessy(CCM) ameliambia Bunge kuwa kuna kila sababu ya Rais Dk. John Magufuli aongezewe muda wa kuwa Rais huku akisisitiza kuwa Rais atake au asitake lazima aongeze muda.
Amesema yeye(Kessy) amekuwa akipata tabu sana kwani amekuwa akiulizwa na marafiki zake wa ndani na nje ya nchi kwamba baada ya Magufuli nani anafuata lakini jibu lake analowajibu ni kwamba Rais...
10 years ago
Mwananchi03 May
Mrema ataka JK aendelee na urais
11 years ago
Tanzania Daima28 Apr
Kocha mpya Stars ataka muda
KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Martinus Ignatus ‘Mart Nooij’, ameshindwa kuzungumzia kiwango alichokiona juzi dhidi ya Burundi na kudai kuwa anatakiwa kupewa muda ili afanye...
10 years ago
Mtanzania02 Sep
Mrema amwomba Kikwete amfukuze Mbatia ubunge
![Augustine Mrema](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Augustine-Mrema.jpg)
Mbunge wa Vunjo (TLP), Augustine Mrema
NA MAREGESI PAUL, DODOMA
MBUNGE wa Vunjo, Augustine Mrema (TLP), amemwomba Rais Jakaya Kikwete amnyang’anye ubunge Mbunge wa Kuteuliwa, James Mbatia.
Mrema alitoa ombi hilo juzi mjini hapa, alipokuwa akizungumza katika kikao kilichowakutanisha wanachama wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) na Rais Kikwete kwa ajili ya kutafuta mwafaka wa Bunge Maalumu la Katiba.
Chanzo chetu cha habari kilichokuwa katika kikao hicho kilichofanyika Ikulu ndogo eneo la...
10 years ago
Mwananchi24 Apr
Mrema adai Rais Kikwete kaachwa ‘yatima’ na watendaji wake
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Rais Kikwete aongeza muda ujenzi wa maabara
11 years ago
CloudsFM05 Aug
KIKWETE: SINA MUDA KUJADILI UPUUZI KUHUSU RIDHIWANI
Rais Jakaya Kikwete amepuuza madai kwamba, alishiriki kumwokoa mwanawe, ambaye ni Mbunge wa Chalinze (CCM), Ridhiwani Kikwete, aliyetuhumiwa kukamatwa na dawa za kulevya nje ya nchi.
Amesema kuwa urais ni taasisi kubwa nchini, hivyo yeye akiwa rais hawezi kujiingiza katika ubishani na watu wa mtaani, kama ambavyo baadhi ya watu wanaomsukuma ashiriki katika maneno hayo aliyoyaita kuwa ni ya “mitaani.”
“This is nonsense ni mkusanyiko wa upuuzi. Sina muda wala siwezi kupoteza nguvu yangu...
10 years ago
Habarileo10 Aug
Kikwete ataka kivuko kitunzwe
WANANCHI mkoani Mtwara wanaotumia kivuko cha Mv Mafanikio wametakiwa kukitunza kivuko hicho ili kiweze kutumika kwa muda mrefu huku wakikumbushwa kuwa mafanikio wanayoyaona ni juhudi za serikali ya awamu ya nne.
10 years ago
Vijimambo14 Jan
RAIS KIKWETE AAGANA NA BALOZI WA ALGERIA ALIYEMALIZA MUDA WAKE
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-o2mL_3ufUJ8%2FVLa0MvxcGcI%2FAAAAAAADVgE%2FPTmWYfeECBU%2Fs1600%2Faa2.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-T3Ad-NQc5LY%2FVLa0MfV2FzI%2FAAAAAAADVgA%2FmpY8NRElI8E%2Fs1600%2Faa3.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)