Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kikwete atoa agizo zito Morogoro


SERIKALI imewaagiza viongozi wa wilaya ya Mvomero na mkoa wa Morogoro kukaa pamoja kujadili tatizo la wanafunzi wanaojiunga kidato cha kwanza kushindwa kumaliza kidato cha nne kwa idadi ile ile.
Agizo hilo lilitolewa na Rais Jakaya Kikwete wakati  akiwahutubia  wananchi wa kata ya Kibati, wilayani Mvomero akiwa katika ziara ya kikazi wilayani humo.
Rais Kikwete alisema amelazimika kutoa agizo hilo baada ya kupata taarifa kuwa  wanafunzi 3,060 kati  ya 5,255 walioanza kidato cha kwanza mwaka...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Muhongo atoa agizo zito

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ameiagiza Mamlaka ya Bodi ya Bonde la Mto Rufiji (Rubada), kuwafungia maji wakulima wenye mashamba makubwa ya umwagiliaji wilayani Mbarali, Mkoa wa Mbeya ili yaelekezwe kwenye mabwawa ya umeme.

 

9 years ago

Habarileo

Samatta atoa neno zito Stars

BAADA ya kufanikiwa kufunga bao moja katika ushindi wa mabao 2-0 ilioupata Stars ikiwa nyumbani dhidi ya Malawi, Mbwana Samata amesema, kama wachezaji wa Stars wangekuwa makini basi wangeweza kufunga mabao mengi zaidi kwenye mchezo huo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mbunge wa Morogoro mjini Mh Abood atoa milion 11 kutatua kero ya maji Mkundi Morogoro

20141231_144819

 Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood Akizindua Tawi la CCM la Wajasiriamali Bodaboda na Mama lishe lililopo Mgulu wa Ndege Kata Ya Mkundi Manispaa ya Morogoro.Mara Baada ya Kuzindua Tawi Hilo Mh Abood Aliongea na Wanachama wa Tawi Hilo Kisha Kuwaelekeza Kujiunga Kwenye Vikundi vya Wajasiriamali Yeye Atakuwa Tayari kuwawezesha Mitaji ya Kufanya Shuguli za Kujiletea Maendeleo.  Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood Akiwa Meza Kuu Sambamba na Katibu wa CCM Kata Ya...

 

10 years ago

Michuzi

MBUNGE WA MOROGORO MJINI,ABOOD ATOA MILION 11 KUTATUA KERO YA MAJI MKUNDI MOROGORO

 Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood Akizindua Tawi la CCM la Wajasiriamali Bodaboda na Mama lishe lililopo Mgulu wa Ndege Kata Ya Mkundi Manispaa ya Morogoro.Mara Baada ya Kuzindua Tawi Hilo Mh Abood Aliongea na Wanachama wa Tawi Hilo Kisha Kuwaelekeza Kujiunga Kwenye Vikundi vya Wajasiriamali Yeye Atakuwa Tayari kuwawezesha Mitaji ya Kufanya Shuguli za Kujiletea Maendeleo.
 Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood Akiwa Meza Kuu Sambamba na Katibu wa CCM Kata Ya...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Pinda atoa agizo kubadili wafugaji

Na Happiness Mtweve, Dodoma
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, ameagiza watendaji kuhakikisha wanabadili fikra za wafugaji ili kuwawezesha kuendesha ufugaji wa kisasa na wa kibiashara, badala ya kuendelea na ule uliozoeleka, ambao hauna tija kubwa katika kukabiliana na umasikini.

Alitoa agizo hilo jana wakati akizindua mashindano ya Maonyesho ya Mifugo, ambayo kitaifa yanafanyika Dodoma katika viwanja vya Maonyesho ya Nanenane vilivyopo Nzuguni mjini hapa.
Pinda alisema ni lazima wizara ibadili fikra...

 

5 years ago

Michuzi

MAJALIWA ATOA AGIZO KWA MAMENEJA WA TANROADS NCHINI



 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akitoa maelekezo kwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Nchini (TANROADS), Mhandisi Patrick Mfugale, wakati akikagua ujenzi wa barabara ya mchepuo na kalvati jipya la zege katika barabara kuu ya Dodoma – Morogoro eneo la Kiyegeya, ambapo mawasiliano katika barabara hiyo yamerejea.Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, pamoja...

 

5 years ago

Bongo5

Waziri Mkuu atoa agizo hili kwa Mifuko ya uwezeshaji

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ametoa agizo kwa mifuko ya uwezeshaji wananchi kiuchumi kuweka wazi majukumu yake kwa wananchi ili wanufaike na mifuko hiyo.


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa

Waziri Majaliwa ametoa kauli hiyo Mjini Dodoma katika viwanja vya Mashujaa, wakati akizungumza na wakazi wa mji huo katika hafla ya uzinduzi wa maonyesho ya mifuko ya uwezeshaji wananchi kiuchumi.

“Sasa tujitambulishe na mifuko hii itumie nafasi hii kutoa maelezo sahihi ya mfuko na kazi zake kwa wananchi kuhusu...

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS WA NIGERIA ATOA AGIZO LA KUACHILIWA HURU WAFUNGWA KWA SABABU YA CORONA

Rais wa Nigeria atoa agizo la kuachiliwa huru wafungwa kwa sababu ya virusi vya Corona Rais Muhamadu Buhari wa Nigeria amemtaka Jaji Mkuu wa nchi hiyo awaachilie huru wafungwa ambao wamekuwa wakisubiri kusikilizwa kesi zao kwa kwa muda wa miezi sita sasa au zaidi, kama moja ya njia ya kukabiliana na ueneaji wa virusi vya Corona katika nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.Rais wa Nigeria amenukuliwa akisema kuwa, asilimia 42 ya wafungwa 74,000 wamekuwa wakisubiri kusikilizwa kesi zao, hivyo amemtaka Ibrahim Tanko Muhammad Jaji Mkuu wa nchi hiyo awaachilie huru wafungwa hao na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani