Kikwete aweka historia Chuo Kikuu Australia
RAIS Jakaya Kikwete ametunukiwa shahada ya heshima ya udaktari wa Sheria na Chuo Kikuu cha Newcastle cha nchini Australia, akiwa mkuu wa kwanza wa nchi kutunukiwa shahada hiyo chuoni hapo.Sherehe za kumtunuku Rais shahada hiyo zilifanyika jana katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Newcastle.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog29 Jul
Rais Kikwete atunukiwa shahada ya heshima ya Chuo Kikuu cha Newcastle, Australia
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akishukuru baada ya kutunukiwa shahada ya heshima ya udaktari wa Sheria (Doctor of Laws honorific causa) na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Newcastle Bwana Paul Jeans chuoni hapo nchini Australia leo tarehe 29.7.2015 katika ukumbi...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://1.bp.blogspot.com/-qs1AajsLNY0/VE5sjroJjkI/AAAAAAAABuU/ekolL1zhhTk/s72-c/220px-Jakaya_Kikwete.jpg)
Kikwete aweka historia China
Na mwandishi wetu
RAIS Jakaya Kikwete amesababisha mageuzi makubwa kwa namna Jamhuri ya Watu wa China inavyowapokea viongozi wageni kutoka nje kwa kuwa kiongozi wa kwanza duniani kupokewa rasmi na pikipiki za polisi.
![](http://1.bp.blogspot.com/-qs1AajsLNY0/VE5sjroJjkI/AAAAAAAABuU/ekolL1zhhTk/s1600/220px-Jakaya_Kikwete.jpg)
Mbali na kupokewa kwa pikipiki, msafara wa Kikwete pia uliongozwa na pikipiki hizo kwa muda wote wa ziara, tofauti na mapokezi ya viongozi wengine katika kipindi cha miaka 10 iliyopita.
Rais Kikwete, ambaye aliwasili China wiki iliyopita kuanza ziara rasmi ya siku sita nchini humo,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/26rh2i2B5MblVFMJKkmKMcmSyeGBNryDrtHQQ9Rq7PZTO5pihwLl5g4CVlagW3qQa9ph5Kt*BkAvvIhEfVL-gnxqeIFSNnMy/IMG20140923WA0003.jpg)
CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA USHIRIKA NA BIASHARA MOSHI (MUCCOBS) CHAWA CHUO KIKUU KAMILI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-giPeU1UMfdo/VDkyqUdscCI/AAAAAAAGpL4/QLYLeHIrSKo/s72-c/pinda%2Bmizengo.jpg)
WAZIRI MKUU AKAGUA CHUO KIKUU DAR NA CHUO KIKUU HURIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-giPeU1UMfdo/VDkyqUdscCI/AAAAAAAGpL4/QLYLeHIrSKo/s1600/pinda%2Bmizengo.jpg)
Ametoa kauli hiyo jana usiku (Ijumaa, Oktoba 10, 2014) wakati akizungumza na wahadhiri, wakufunzi, wanafunzi na wanajumuiya ya Chuo Kikuu Huria (OUT) mara baada ya kuzindua jengo la ghorofa 10 linalojulikana kama Ghorofa la Elimu ya Masafa ya Huria (Open Distance...
9 years ago
Habarileo24 Aug
Chuo Kikuu Dodoma kumuenzi Rais Kikwete
CHUO Kikuu cha Dodoma (UDOM) kinatarajiwa kufanya hafla ya aina yake ya kumuenzi Rais Jakaya Kikwete.
10 years ago
Uhuru NewspaperRAIS JAKAYA KIKWETE AKIWA CHUO KIKUU MZUMBE
10 years ago
Dewji Blog23 Aug
Rais Kikwete aweka historia nyingine: Asafiri kwa treni ya TAZARA kwa mara ya kwanza
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakipanda treni ya TAZARA kuelekea Kisaki Mkoani Morogoro akiwa katika ziara yake ya mkoa huo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Alhamisi, Agosti 21, 2014, ameweka historia nyingine katika ziara yake ya Mkoa wa Morogoro wakati aliposafiri kwa treni ya Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA), ikiwa ni mara yake ya kwanza kutumia usafiri huo katika kipindi chake cha Urais.
Rais Kikwete,...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-hzXg-B2HX1A/U_xC7qekGeI/AAAAAAAGCcM/MKMfNCv9PrE/s72-c/mg13.jpg)
RAIS KIKWETE ATEMBELEA CHUO KIKUU CHA MZUMBE, MOROGORO
![](http://2.bp.blogspot.com/-hzXg-B2HX1A/U_xC7qekGeI/AAAAAAAGCcM/MKMfNCv9PrE/s1600/mg13.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-LXNe70ICexs/U_xB0HD75aI/AAAAAAAGCbs/TsXC_VSlJfM/s1600/mg8.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-007YSGZLLSc/U_xB0R8FhnI/AAAAAAAGCbw/DqLUP56i3dw/s1600/mg9.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/u0Eb4l7A4EU8EI0SBbihfV5pxYSP4o55bjvOBkBqht05TYaWYxcmL10*seRx9XPTsQF48av4dLEgM5HE7U97XzSZb7WIFjCW/mg7.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE ATEMBELEA CHUO KIKUU CHA MZUMBE, MOROGORO