Kikwete: NHC wapewe viwanja bure
RAIS Jakaya Kikwete ameziagiza halmashauri zote nchini kutenga maeneo ya ardhi kwa ajili ya kulipatia Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) bila gharama ili liweze kutekeleza mradi wake wa ujenzi wa nyumba bora za bei nafuu.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-UFZdI4XZpT8/U8emlCXyO6I/AAAAAAAF3AQ/AH2Lb5Bo9Eo/s72-c/273489_100002677617754_1887829474_n.jpg)
SHIWATA KUTOA VIWANJA BURE OFA YA MWENGE MKURANGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-UFZdI4XZpT8/U8emlCXyO6I/AAAAAAAF3AQ/AH2Lb5Bo9Eo/s1600/273489_100002677617754_1887829474_n.jpg)
WILAYA ya Mkuranga imepanga kupeleka Mwenge wa uhuru katika kijiji cha wasanii kilichopo MWANZEGA, Mkuranga Julai 22, mwaka huu.
Mwenyekiti wa Mtandao wa Wasanii Tanzania (SHIWATA), Cassim Taalib alisema jana kuwa mwenge utapokelewa kutoka wilaya ya Rufiji katika kijiji cha Kiparang?anda na baadaye utakwenda moja kwa moja katika kijiji cha wasanii na wanamichezo cha Mwanzega ambako utawasili saa 7 mchana.
Alisema kutokana na ujio wa ugeni huo mkubwa SHIWATA imetangaza ofa ya...
10 years ago
Habarileo18 Mar
Lukuvi: NHC ipatiwe viwanja vya kujenga nyumba nafuu
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amezitaka halmashauri kote nchini kutenga maeneo ya viwanja ili Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) liweze kujenga nyumba bora na za gharama nafuu zitakazouzwa kwa wananchi.
5 years ago
MichuziNHC YAPUNGUZA GHARAMA ZA MAUZO YA VIWANJA VYAKE MRADI WA SAFARI CITY ARUSHA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-T2o2g096CnM/U8gAZcw-YdI/AAAAAAAF3I4/Sm--AWS95Ps/s72-c/images.jpg)
mtandao wa wasanii tanzania (Shiwata) kugawa viwanja bure kwa wanachama wake mkuranga
![](http://4.bp.blogspot.com/-T2o2g096CnM/U8gAZcw-YdI/AAAAAAAF3I4/Sm--AWS95Ps/s1600/images.jpg)
WILAYA ya Mkuranga katika mkoa wa Pwani imepanga kupeleka Mwenge wa uhuru katika kijiji cha wasanii kilichopo MWANZEGA, Mkuranga Julai 22, mwaka huu, Mwenyekiti wa Mtandao wa Wasanii Tanzania (SHIWATA), Cassim Taalib amesema
Bw. Taalib kasema kuwa mwenge utapokelewa kutoka wilaya ya Rufiji katikia kijiji cha Kiparang’anda na baadaye utakwenda moja kwa moja katika kijiji cha wasanii na wanamichezo cha Mwanzega ambako utawasili saa 7 mchana.
Alisema kutokana na ujio wa ugeni huo mkubwa SHIWATA...
11 years ago
Tanzania Daima27 Apr
Kikwete hataki Katiba mpya, mnahangaika bure
KIFALSAFA kuna makosa ya fikra huitwa falasi (fallacy) na mengine huitwa sofizim (sophism). Aina ya kwanza huwa ni makosa ambayo au hayajakusudiwa, yametokea kwa bahati mbaya, kwa aina ya pili...
9 years ago
TheCitizen11 Oct
Kikwete commissions NHC’s Sh22bn project for Mtwara
10 years ago
Habarileo29 Aug
Kikwete aagiza Halmashauri zinunue nyumba NHC
HALMASHAURI nchini zimetakiwa kununua nyumba za bei nafuu zinazojengwa na Shirika la Nyumba (NHC) ili kuwapangisha watumishi wake.
10 years ago
Michuzi29 Aug
Rais Kikwete aagiza Halmashauri zinunue nyumba NHC
Kauli hiyo ilitolewa jana na Rais Jakaya Kikwete alipokuwa akifungua mradi wa nyumba nafuu katika eneo la Mnyakongo wilayani Kongwa mkoani Dodoma.
Alisema kumekuwa na tabia ya baadhi ya maeneo watumishi wa halmashauri kukaa mbali na sehemu zao za kazi kwa visingizio vya kukosa makazi.
Alisema sababu hiyo sasa haina msingi katika maeneo ambayo...
10 years ago
GPLKIKWETE AAGIZA HALMASHAURI ZINUNUE NYUMBA NHC