Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kilaini backs CA suspension

The Auxiliary Bishop for Bukoba Catholic Diocese, Method Kilaini, has criticised the ongoing Constituent Assembly sessions, saying the meetings are meaningless since they will not bring about the anticipated new Katiba.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

TheCitizen

Kilaini responds to Slaa’s charges

Bishop Kilaini says Slaa’s utterings uncalled for

 

10 years ago

TheCitizen

TEC ‘powerless’ on Kilaini, Nzigilwa

>Only the Pope can determine the fate of two senior Catholic clergymen said to have received part of the Sh306 billion withdrawn from the Tegeta escrow account,  according to Tanzania Episcopal Conference (TEC) vice president Severin Niwemugizi.

 

11 years ago

Habarileo

Kilaini: 'Wanaotafuna’ sadaka wafungwe

ASKOFU Msaidizi wa Jimbo Katoliki la Bukoba, Method Kilaini amesema baadhi ya waumini na viongozi wa makanisa wanaoiba fedha za miradi, sadaka na mali nyingine za kanisa, wachukuliwe hatua za kisheria kama wezi wengine. Kauli hiyo ya Kilaini ameitoa huku kukiwa na malalamiko kutoka kwa waumini wa madhehebu ya Kikristo nchini ya kuwepo kwa baadhi ya viongozi na wasimamizi wa miradi kuchakachua fedha zinazochangwa ama na waumini au wafadhili kwa maendeleo ya kanisa.

 

10 years ago

Mwananchi

Kilaini: Bunge la Katiba liachwe limalizike

Askofu Msaidizi wa Kanisa Katoliki Jimbo la Bukoba, Methodius Kilaini amesema Bunge Maalumu la Katiba linaloendelea halina maana yoyote hivyo liachwe limalize muda wake.

 

10 years ago

Mwananchi

Askofu Kilaini, Nzigirwa wazungumzia tuhuma

Askofu Msaidizi wa Jimbo la Bukoba, Methodius Kilaini amekiri kupokea Sh80.5 milioni kutoka kwa Mkurugenzi wa VIP Engeering, James Rugemalira akisema si mara yake kwa kwanza kupokea fedha kutoka kwa mfanyabiashara huyo kwa kuwa mara nyingi huwa anachangia kwa uwazi miradi ya jamii.

 

11 years ago

Tanzania Daima

RC amtumia Kilaini kumnasua meya Bukoba

MKUU wa Mkoa (RC) wa Kagera, Kanali mstaafu Fabian Massawe, amekimbilia kwa Askofu Msaidizi wa Jimbo Katoliki la Bukoba, Methodius Kilaini, Sheikh wa Wilaya, Haruna Kichwabuta na wazee maarufu ili...

 

11 years ago

Michuzi

Askofu Kilaini alibariki Tamasha la Pasaka


UTAMADUNI huu ulioanza wa waamini licha ya kusali, pia wakaenda kusherehekea sikukuu hizi za kiroho ni mgeni na mzuri kwa kuwa unawajenga watu kiroho, na kuwaepushia uwezekano wa kutumbukia katika matatizo kwa kwenda katika maeneo mbalimbali ya sterehe; Amesema Askofu Method Kilaini.
Mhashamu Kilaini ambaye ni Askofu Msaidizi wa Jimbo Katoliki la Bukoba, ameyasema hayo alipozungumza na Gazeti hili kuhusu Tamasha la Pasaka linalotarajiwa kufanyika katika jiji la Dar es Salaam, Aprili 20...

 

10 years ago

BBC

Suspension in SA 'renditions' case

A top South African policeman is suspended over allegations that he was involved in the illegal rendition of Zimbabweans.

 

10 years ago

BBC

Seven-game suspension for Mohsni

Ex-Rangers player Bilel Mohsni has three games added to an existing four-match ban following his part in a post-match brawl.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani