TEC ‘powerless’ on Kilaini, Nzigilwa
>Only the Pope can determine the fate of two senior Catholic clergymen said to have received part of the Sh306 billion withdrawn from the Tegeta escrow account, according to Tanzania Episcopal Conference (TEC) vice president Severin Niwemugizi.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo21 Dec
Askofu Nzigilwa ajenga matumaini makubwa kwa Katiba ijayo
ASKOFU Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mhashamu Eusebius Nzigilwa amesema kuwa anaamini changamoto iliyojitokeza katika Rasimu ya Katiba Mpya itakuwa imerekebishwa katika rasimu ijayo na Katiba itakuwa nzuri.
10 years ago
Mtanzania03 Oct
TEC yasema ni Katiba ya CCM
![Makamu wa Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), Askofu Severin Niwemugizi](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Askofu-Severin-Niwemugizi.jpg)
Makamu wa Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), Askofu Severin Niwemugizi
NORA DAMIANI, DAR ES SALAAM
MAKAMU wa Rais wa Baraza la Maaskofu wa Katoliki (TEC), Askofu Severin Niwemugizi, amesema licha ya Rasimu ya Katiba inayopendekezwa kupitishwa na wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba jana, kelele za kudai Katiba Mpya hazitaisha kwani mchakato wa upatikanaji wake haukuwa wa maridhiano.
Akizungumza na gazeti hili jana, Askofu Niwemugizi alisema mchakato mzima umeendeshwa kwa mtazamo,...
11 years ago
Mwananchi10 Jul
‘TEC isihusishwe mchakato wa urais’
5 years ago
STAT Times04 Apr
va-Q-tec's VIPs enter NASA's FRIDGE
11 years ago
Tanzania Daima05 Mar
TEC: Hatuna upande Katiba mpya
RAIS wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa, amesema kuwa kanisa halina msimamo wa pamoja katika suala la muundo wa Serikali ya Muungano unaopendekezwa kwenye Katiba mpya. Badala...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-b35-XWzzg_8/XrwhQUTWGxI/AAAAAAALqIA/F1ZFvW5wQQ4oi_7RnYnjKd-4o72wIjVXACLcBGAsYHQ/s72-c/21e84bf2-92a7-45f9-b914-f5ac3cb2fc71.jpg)
ASKOFU MSAIDIZI EUSEBIUS NZIGILWA ATEULIWA KUWA ASKOFU MPYA JIMBO KATOLIKI LA MPANDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-b35-XWzzg_8/XrwhQUTWGxI/AAAAAAALqIA/F1ZFvW5wQQ4oi_7RnYnjKd-4o72wIjVXACLcBGAsYHQ/s640/21e84bf2-92a7-45f9-b914-f5ac3cb2fc71.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZQYF7RiPQ84/XrwhQahfQzI/AAAAAAALqH8/4vCHwN9pMXANFp7Ro_-PNNdHQKn6aGkPACLcBGAsYHQ/s1600/862d3a58-f452-4b4f-b121-9e9aba445835.jpg)
11 years ago
Mwananchi03 Mar
TEC: Bunge lisikashifu mapendekezo ya Serikali tatu
10 years ago
Habarileo28 Nov
TEC yazungumzia pesa za Escrow kwa maaskofu
BARAZA la Maaskofu wa Kanisa Katoliki (TEC) limezungumzia sakata la maaskofu wa kanisa hilo, Methodius Kilaini na Eusebius Nzigirwa kudaiwa kupewa fedha za akaunti ya Tegeta Escrow na kusema kwa sasa hawawezi kuzungumzia suala hilo kutokana na kuwa linagusa watu binafsi.
11 years ago
Dewji Blog07 Jul
TEC yatoa tamko kuhusu Bunge Maalumu la Katiba
Rais wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC), Tarcisius Ngalalekumtwa.
Na Mwandishi wetu
Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania limetoa tamko la kuwataka wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba(BMK) kuwatendea haki watanzania kwa kujadili maoni ya katiba yaliyowasilishwa na tume iliyoundwa ya kukusanya maoni na kuacha kuacha ubinafsi uwe wa mtu mmoja au wa vikundi kwa ajili ya kuunda katiba bora kwa watanzania.
Akizungumza na Waandishi wa habari ofisini kwake Rais wa...