Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TEC: Bunge lisikashifu mapendekezo ya Serikali tatu

>Tume ya Haki na Amani ya Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), imetoa tamko ikitaka Bunge Maalumu la Katiba kuepuka kukashifu mapendekezo ya muundo wa Serikali tatu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mzimu wa serikali tatu bado walitesa Bunge la Katiba

 Mfumo wa muundo wa Muungano wa serikali tatu uliopendekezwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba umeendelea kuwa mzigo kwa Bunge la Katiba kutokana kuwapo kwa msigano mkubwa miongoni mwa wajumbe, licha ya wengi wao kuwa makada wa CCM.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali tatu ‘matakwa ya wananchi’, Warioba aliambia Bunge la #Katiba [VIDEO]

Kati ya wananchi 38,000 waliotoa maoni yao kuhusu Muungano, 19,000 walizungumzia suala la muundo.

 

11 years ago

Dewji Blog

TEC yatoa tamko kuhusu Bunge Maalumu la Katiba

6

Rais wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC), Tarcisius Ngalalekumtwa.

Na Mwandishi wetu

Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania limetoa tamko la kuwataka wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba(BMK) kuwatendea haki watanzania kwa kujadili maoni ya katiba yaliyowasilishwa na tume iliyoundwa ya kukusanya maoni na kuacha kuacha ubinafsi uwe wa mtu mmoja au wa vikundi kwa ajili ya kuunda katiba bora kwa watanzania.

Akizungumza na Waandishi wa habari ofisini kwake Rais wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge la #Katiba: 'Wachache' wakomalia serikali tatu, 'Wengi' walia na mbili [VIDEO]

Serikali ya Muungano iliyopendekezwa na Rasimu ya Pili ya Katiba yaweza kujiendesha kwa kutafuta vyanzo mbalimbali vya mapato.

 

11 years ago

Habarileo

Mapendekezo posho Bunge yatua kwa JK

Mwenyekiti wa Muda wa Bunge Maalumu la Katiba, Pandu Ameir KifichoKAMATI iliyoteuliwa kushughulikia nyongeza ya posho kwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, imewasilisha mapendekezo kwa Rais Jakaya Kikwete, ikisubiri maelekezo ya kuongezwa au la.

 

10 years ago

BBCSwahili

Bunge launga mkono mapendekezo Ugiriki

Bunge la Ugiriki limeunga mkono mapendekezo ya hivi punde ya serikali yenye lengo la kumaliza tatizo la deni la nchi hiyo

 

11 years ago

Mwananchi

Mapendekezo ya Kamati za Bunge Maalumu yatakayovunja Muungano

Wapenzi wasomaji, wiki iliyopita makala hii ya uchambuzi kuhusu Mapendekezo ya Kamati za Bunge Maalumu haikutoka kutokana na sababu za kiufundi.

 

11 years ago

Mwananchi

Mapendekezo ya Kamati za Bunge Maalumu yanayodhoofisha Muungano — 2

>Makala haya ni mwendelezo wa makala yaliyoanza wiki iliyopita. Madhumuni ya makala hizi ni kupitia kamati zote za Bunge Maalumu kiuchambuzi ili kubaini mapendekezo ambayo yanadhoofisha Muungano. Aidha, uchambuzi huu utawawezesha wadau wote katika mchakato wa kuandika Katiba Mpya ya Tanzania ikiwamo wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kuwa na utambuzi wa kina kuhusu Rasimu ya Katiba Mpya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani