Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bunge launga mkono mapendekezo Ugiriki

Bunge la Ugiriki limeunga mkono mapendekezo ya hivi punde ya serikali yenye lengo la kumaliza tatizo la deni la nchi hiyo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Bunge la Iraq launga mkono marekebisho

Bunge la Iraq limepiga kura kwa wingi ili kuunga mkono mapendekezo yaliotolewa na waziri mkuu Haider al Abadi ,kwa lengo la kukabiliana na ufisadi pamoja na kupunguza matumizi ya serikali.

 

10 years ago

Vijimambo

SHIRIKISHO LA MUZIKI TANZANIA (TMF) LAUNGA MKONO MABADILIKO YA RASIMU YA KATIBA

Mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi nchini, Kasimu Mapili (kulia), akiimba wakati Rais wa Shirikisho la Muziki Tanzania (TMF), Addo Novembar (kushoto), alipozungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, wakati akilipongeza Bunge la Katiba kwa kuingiza katika katiba vipengele vitatu vinavyolinda maslahi ya wanamuziki.
Shirikisho la Muziki Tanzania (TMF), limeunga mkono rasimu ya mabadiliko ya katiba kwa kile walichodai kuwa kimegusa maslahi yao hivyo wataipigania kwa nguvu zote...

 

10 years ago

BBCSwahili

IMF yapokea mapendekezo ya Ugiriki

Umoja wa Ulaya na Shirika la Fedha la Kimataifa IMF limepokea mapendekezo mapya kutoka serikali ya Ugiriki .

 

10 years ago

BBCSwahili

Ugiriki yatoa mapendekezo kujinusuru

Hatimaye Serikali ya Ugiriki imewasilisha mapendekezo yake ya kutafuta ukombozi wa mkopo kutoka kwa wadeni wake .

 

10 years ago

BBCSwahili

Waziri mkuu Ugiriki ataka aungwe mkono

Waziri mkuu wa Ugiriki ameliomba bunge la nchi hiyo kuunga mkono mipango yake ya kunusuru uchumi wa taifa.

 

11 years ago

Habarileo

Mapendekezo posho Bunge yatua kwa JK

Mwenyekiti wa Muda wa Bunge Maalumu la Katiba, Pandu Ameir KifichoKAMATI iliyoteuliwa kushughulikia nyongeza ya posho kwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, imewasilisha mapendekezo kwa Rais Jakaya Kikwete, ikisubiri maelekezo ya kuongezwa au la.

 

11 years ago

Mwananchi

Mapendekezo ya Kamati za Bunge Maalumu yanayodhoofisha Muungano — 2

>Makala haya ni mwendelezo wa makala yaliyoanza wiki iliyopita. Madhumuni ya makala hizi ni kupitia kamati zote za Bunge Maalumu kiuchambuzi ili kubaini mapendekezo ambayo yanadhoofisha Muungano. Aidha, uchambuzi huu utawawezesha wadau wote katika mchakato wa kuandika Katiba Mpya ya Tanzania ikiwamo wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kuwa na utambuzi wa kina kuhusu Rasimu ya Katiba Mpya.

 

11 years ago

Mwananchi

Mapendekezo ya Kamati za Bunge Maalumu yatakayovunja Muungano

Wapenzi wasomaji, wiki iliyopita makala hii ya uchambuzi kuhusu Mapendekezo ya Kamati za Bunge Maalumu haikutoka kutokana na sababu za kiufundi.

 

11 years ago

Mwananchi

TEC: Bunge lisikashifu mapendekezo ya Serikali tatu

>Tume ya Haki na Amani ya Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), imetoa tamko ikitaka Bunge Maalumu la Katiba kuepuka kukashifu mapendekezo ya muundo wa Serikali tatu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani