Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bunge la Iraq launga mkono marekebisho

Bunge la Iraq limepiga kura kwa wingi ili kuunga mkono mapendekezo yaliotolewa na waziri mkuu Haider al Abadi ,kwa lengo la kukabiliana na ufisadi pamoja na kupunguza matumizi ya serikali.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Bunge launga mkono mapendekezo Ugiriki

Bunge la Ugiriki limeunga mkono mapendekezo ya hivi punde ya serikali yenye lengo la kumaliza tatizo la deni la nchi hiyo

 

10 years ago

Vijimambo

SHIRIKISHO LA MUZIKI TANZANIA (TMF) LAUNGA MKONO MABADILIKO YA RASIMU YA KATIBA

Mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi nchini, Kasimu Mapili (kulia), akiimba wakati Rais wa Shirikisho la Muziki Tanzania (TMF), Addo Novembar (kushoto), alipozungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, wakati akilipongeza Bunge la Katiba kwa kuingiza katika katiba vipengele vitatu vinavyolinda maslahi ya wanamuziki.
Shirikisho la Muziki Tanzania (TMF), limeunga mkono rasimu ya mabadiliko ya katiba kwa kile walichodai kuwa kimegusa maslahi yao hivyo wataipigania kwa nguvu zote...

 

10 years ago

Habarileo

Mjumbe ataka marekebisho Bunge la Katiba

SIKU chache baada ya Bunge Maalumu la Katiba (BMK) kupokea rasimu ya Katiba mpya iliyopendekezwa, mmoja wa wajumbe wa bunge hilo anayetoka kundi la 201, John Ndumbaro ameibukia mjini hapa na kutaka vipengele kadhaa vifanyiwe marekebisho.

 

10 years ago

Mwananchi

Sheria 33 kufanyiwa marekebisho Bunge lijalo

Serikali inakusudia kupeleka bungeni Muswada wa Marekebisho ya Sheria 33, baada ya kubaini kuwa zina upungufu katika matumizi yake.

 

10 years ago

Dewji Blog

ACT Wazalendo wamtaka JK aitishe bunge maalum la marekebisho kunusuru uchaguzi mkuu

DSC_0629

Kiongozi wa Chama cha Alliance For Change and Transparency (ACT-Wazalendo) Zitto Kabwe, akiwahutubia wakazi wa mji wa Makambako mkoani Njombe jana, wakati wa ziara ya chama hicho inayoendelea mikoa ya nyanda za juu kusini.

Na Mwandishi Wetu

Rais Jakaya Kikwete ametakiwa kuitisha Bunge Maalum haraka iwezekanavyo ili ili liweze kufanya marekesho madogo ya katika ili kuruhusu uchaguzi ufanyike kwa uhuru na haki.

Kauli hiyo imetolewa na CHAMA cha Alliance For Change and Transparency...

 

11 years ago

BBCSwahili

Bunge la Iraq lapata spika mpya

Bunge nchini Iraq limemchagua spika mpya kama hatua ya kwanza ya kumaliza mzozo wa kisiasa

 

10 years ago

BBCSwahili

Bunge la Iraq laidhinisha serikali mpya

Bunge la Iraq limeidhinisha serikali mpya itakayoshirikisha makundi muhimu nchini humo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani