SHIRIKISHO LA MUZIKI TANZANIA (TMF) LAUNGA MKONO MABADILIKO YA RASIMU YA KATIBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZdZJVnJIVY0/VDP5Qv3c5qI/AAAAAAAAX4Y/Q2dE2qDeAuk/s72-c/IMG_5939.jpg)
Mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi nchini, Kasimu Mapili (kulia), akiimba wakati Rais wa Shirikisho la Muziki Tanzania (TMF), Addo Novembar (kushoto), alipozungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, wakati akilipongeza Bunge la Katiba kwa kuingiza katika katiba vipengele vitatu vinavyolinda maslahi ya wanamuziki.
Shirikisho la Muziki Tanzania (TMF), limeunga mkono rasimu ya mabadiliko ya katiba kwa kile walichodai kuwa kimegusa maslahi yao hivyo wataipigania kwa nguvu zote...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog08 Oct
Shirikisho la Muziki Tanzania latoa pongezi kwa Bunge Maalum la Katiba kwa kazi nzuri
Rais wa Shirikisho la Muziki Tanzania (TMF), Addo November (katikati) akizungumza na waandishi wa habari, wakati akilipongeza Bunge Maalum la Katiba kwa kuingiza katika vipengele vitatu vinavyolinda maslahi ya wanamuziki. Kulia ni Mwanamuziki Kasim Mapili na Samatta Rajabu.
Na Anitha Jonas –Maelezo.
SHIRIKISHO la Muziki Tanzania limetoa pongezi za dhati kwa Bunge Maalum la Katiba lililokuwa likiongozwa na Mwenyekiti wa Bunge hilo Mhe. Samuel Sitta kwa kuingiza Ibara tatu katika Rasimu ya...
11 years ago
Tanzania Daima09 Jan
Wenye ulemavu bado wanahitaji mabadiliko rasimu ya Katiba mpya
HIVI karibuni Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, aliwakabidhi rasimu ya pili ya Katiba mpya Rais Jakaya Kikwete na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar,...
10 years ago
BBCSwahili11 Jul
Bunge launga mkono mapendekezo Ugiriki
10 years ago
BBCSwahili11 Aug
Bunge la Iraq launga mkono marekebisho
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Wanyarwanda Waunga Mkono Mabadiliko ya Katiba
Rais wa Rwanda, Paul Kagame.
Wanyarwanda wameunga mkono kwa wingi marekebisho ya katiba ambayo yatamruhusu Rais Paul Kagame kuendelea kuongoza, matokeo ya awali ya kura ya maoni ya mabadiliko ya katiba iliyopigwa jana nchini humo yanaonesha hivyo.
Raia akipiga kura.
Kwa mujibu wa taarifa ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini Rwanda inasema, asilimia 98 ya wapiga kura wameunga mkono marekebisho hayo ya katiba ambayo yatamruhusu Rais Paul Kagame kuwania kwa muhula mwingine mwaka 2017, baada yake...
9 years ago
Bongo512 Nov
Shirikisho la muziki Tanzania lampongeza Magufuli
![November](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/November-300x194.jpg)
Shirikisho la muziki nchini limempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Pombe Magufuli kwa kasi ya utendaji aliyoanza nayo tangu aingie madarakani.
Rais wa shirikisho la muziki Tanzania, Addo November Mwasongwe
Katika taarifa yake kwa waandishi wa habari Alhamis hii, rais wa shirikisho hilo, Addo November Mwasongwe amesema Magufuli hajaonesha kuwa rais anayefaa tu bali pia amekuwa mtetezi wa wanyonge.
“Ndugu wanahabari ziara za ghafla za ndugu Magufuli sio za kubezwa, ni za...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/FBWEqR2BrWo/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-YIaD6DiSOkw/VYZgnehdtvI/AAAAAAAHiEM/8pwvH02T4O4/s72-c/blogger-image-2124429571.jpg)
Rais wa Shirikisho la Muziki Tanzania Addo November ajitosa mbio za ubunge Iringa mjini
![](http://3.bp.blogspot.com/-YIaD6DiSOkw/VYZgnehdtvI/AAAAAAAHiEM/8pwvH02T4O4/s640/blogger-image-2124429571.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BbmjUCn2wdo/VDPyklr3OGI/AAAAAAAGohA/xWlw0ItVFTU/s72-c/unnamedq.jpg)
TMF yalipongeza Bunge Maalum la Katiba kwa kuingiza katika Katiba vipengele vitatu vinavyolinda maslahi ya wanamuziki
![](http://3.bp.blogspot.com/-BbmjUCn2wdo/VDPyklr3OGI/AAAAAAAGohA/xWlw0ItVFTU/s1600/unnamedq.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1QnHdZP0ORA/VDPyk49W4_I/AAAAAAAGohE/Qxdq1YztkaA/s1600/unnamedq2.jpg)