Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TEC yasema ni Katiba ya CCM

Makamu wa Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), Askofu Severin Niwemugizi

Makamu wa Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), Askofu Severin Niwemugizi

NORA DAMIANI, DAR ES SALAAM

MAKAMU wa Rais wa Baraza la Maaskofu wa Katoliki (TEC), Askofu Severin Niwemugizi, amesema licha ya Rasimu ya Katiba inayopendekezwa kupitishwa na wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba jana, kelele za kudai Katiba Mpya hazitaisha kwani mchakato wa upatikanaji wake haukuwa wa maridhiano.

Akizungumza na gazeti hili jana, Askofu Niwemugizi alisema mchakato mzima umeendeshwa kwa mtazamo,...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

TEC: Hatuna upande Katiba mpya

RAIS wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa, amesema kuwa kanisa halina msimamo wa pamoja katika suala la muundo wa Serikali ya Muungano unaopendekezwa kwenye Katiba mpya. Badala...

 

11 years ago

Dewji Blog

TEC yatoa tamko kuhusu Bunge Maalumu la Katiba

6

Rais wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC), Tarcisius Ngalalekumtwa.

Na Mwandishi wetu

Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania limetoa tamko la kuwataka wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba(BMK) kuwatendea haki watanzania kwa kujadili maoni ya katiba yaliyowasilishwa na tume iliyoundwa ya kukusanya maoni na kuacha kuacha ubinafsi uwe wa mtu mmoja au wa vikundi kwa ajili ya kuunda katiba bora kwa watanzania.

Akizungumza na Waandishi wa habari ofisini kwake Rais wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Chadema Mbeya yasema mwisho wa CCM Oktoba

Mwenyekiti wa Chadema mkoani hapa, Joseph Mwachembe maarufu kwa jina la China amesema chama chake hakina ndoto ya kuwapo kwa serikali ya mseto awamu ya tano ya uongozi wa nchi, kwa vile kimejiandaa kushinda kuanzia ngazi ya urais, ubunge hadi udiwani .

 

10 years ago

Habarileo

CCM yasema hoja ya Escrow isitumike kuhadaa wananchi

KASHFA ya utoaji wa fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow, iliyoibukia bungeni Dodoma na wahusika kuamriwa kuwajibika, imeelezwa kuwa si hoja ya msingi tena ya kuwahadaa wananchi katika mikutano ya kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa jijini Arusha.

 

10 years ago

Habarileo

Hatutaunda tena Serikali ya Kitaifa Z’bar, yasema CCM.

Katibu wa Kamati Maalumu ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Itikadi na Uenezi Zanzibar, Waride Bakari JabuCHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimesema hakitaunda tena Serikali ya Umoja wa Kitaifa baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa mwaka huu, kutokana na baadhi ya washiriki wake kuvuruga utaratibu na misingi ya kuanzishwa kwa serikali hiyo.

 

5 years ago

Michuzi

CCM CHATO YASEMA WAZIRI KALEMANI AMEITENDEA HAKI ILANI

Veronica Simba – Chato
Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Chato kimekiri kuridhishwa na utendaji kazi wa Waziri wa Nishati ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo hilo, Dkt Medard Kalemani.
Ameyasema hayo Katibu wa Siasa na Uenezi wa CCM, Wilaya ya Chato, Ramadhani Ndaki na kuongeza kuwa kwa utendaji kazi wake mahiri, Dkt Kalemani ameitendea haki Ilani ya Chama hicho ambacho ndicho kinaongoza nchi.
Kiongozi huyo wa Chama alikuwa akizungumza na waandishi wa habari muda mfupi baada ya Waziri Kalemani...

 

10 years ago

TheCitizen

KATIBA REVIEW: Govt and CCM to share blame on Katiba issue

>What has been in controversy for several months about the referendum date now is clear. At last, what has been anticipated by the majority citizenry has been fulfilled – the referendum has indefinitely been put on hold.  Last year, President Jakaya Kikwete, while on a state visit to China, announced that the referendum day would be on April 30.  It was argued that the President’s mandate in setting a date for the referendum is given vide section 4 of the Referendum Act,...

 

11 years ago

Michuzi

Viongozi wa Siasa Muache Uswahili mtupatie katiba ya watu wote siyo ya CCM,AU CHADEMA,AU CUFU TUNATAKA KATIBA.

Mheshimiwa michuzi tunashukulu sana kwa kazi yako ya kutujulisha yanayoendelea TANZANIA leo naomba unipe nafasi niweke ya moyoni mwangu na maoni yangu kuhusu huu mstakabali wa kupata katiba ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania, mengi yamekuwa yakisemwa sana kuhusu hii katiba au ni muundo ghani wa muungano tunaoutaka,watu wengi na wana siasa wamesahu kwamba muungano huu na katiba hii ya zamani ndio umetufanya tuwe na undungu  na pia tuwe na amani mpaka hapa tulipo watu...

 

10 years ago

TheCitizen

TEC ‘powerless’ on Kilaini, Nzigilwa

>Only the Pope can determine the fate of two senior Catholic clergymen said to have received part of the Sh306 billion withdrawn from the Tegeta escrow account,  according to Tanzania Episcopal Conference (TEC) vice president Severin Niwemugizi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani