KILI MUSIC TOUR 2014 BURUDANI MWANZO MWISHO
Burudani mbalimbali katika usiku wa Kili Music Tour 2014 kwenye Viwanja vya Leaders jijini Dar es Salaam Septemba 6, 2014.
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
WAKAZI WA SONGEA WASHUHUDIA BURUDANI YA KILI MUSIC TOUR
Wakazi wa Songea wakishuhudia burudani toka kwa wakali wa muziki nchini katika tamasha la Kili Music Tour katika uwanja wa Majimaji Songea.
Diamond Platnumz akithibitisha…
11 years ago
GPL
11 years ago
GPL
TAMASHA LA MATUMAINI 2014 BURUDANI MWANZO MWISHO
HAPATOSHI! Mastaa wanaokimbiza katika anga la muziki wa Bongo Fleva, wanatarajia kuchuana vilivyo kulipamba Tamasha la Usiku wa Matumaini katika Uwanja wa Taifa, Agosti 8, mwaka huu. Diva wa muziki kutoka Nigeria ambaye anatamba na wimbo wa Johnny, Yemi Alade. Akizungumza na Risasi Vibes, mratibu wa tamasha hilo ambalo linafanyika kwa awamu tatu mwaka huu, Luqman Maloto aliianika listi ya mastaa hao huku akiahidi kuwa...
11 years ago
GPL08 Aug
TAMASHA LA MATUMAINI 2014 NI BURUDANI MWANZO MWISHO
Burudani mbalimbali zikiendelea katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014.
11 years ago
GPLBURUDANI ZA KILI MUSIC TOUR NDANI YA LEADERS CLUB JIJINI DAR USIKU HUU
Bendi ya Mapacha Watatu ikifanya mambo ndani ya Viwanja vya Leaders jijini Dar usiku huu katika Tamasha la Kili Music Tour.…
11 years ago
Bongo505 Sep
Kili Music Tour: AY, FA, Profesa J, Vanessa, Ben Pol, Weusi kushusha burudani Jumamosi hii*
Baada ya kuzunguka kaskazini, kusini, kanda ya ziwa, kanda ya kati na nyanda za juu kusini Jumamosi hii burudani ya Kili Music Tour inamalizikia Leaders Club jijini Dar es Salaam. Wasanii watakaotumbuiza ni pamoja na Christian Bella, Khadija Kopa, Jambo Squad, Ben Pol, Profesa Jay, Rich Mavoko, Vanessa Mdee, Ommy Dimpoz, MwanaFA, Weusi na Mashujaa […]
11 years ago
Bongo525 Aug
Picha: Kili Music Tour 2014 yaacha historia Kigoma
Diamond na Wasafi wakitumbuiza Umati wa mashabiki ukiisubiria burudani katika uwanja wa Lake Tanganyika Backstage: Christian Bella, Nikki wa Pili na Amini Backstage: MwanaFA Backstage: Profesa Jay Mfalme wa Taarab nchini Mzee Yusuph ndiye aliufungua usiku wa Kili Music Tour Amini akiwaimbisha mashabiki moja ya nyimbo zake Mwasiti ambaye asili yake ni mkoa wa Kigoma […]
11 years ago
Bongo518 Aug
Kili Music Tour 2014: Wasanii wawasha moto Dodoma
Mwishoni mwa wiki ilikuwa zamu ya wakazi wa makao makuu ya nchi, Dodoma kuishuhudia ziara ya wasanii waliofanya vizuri nchini kwa kipindi cha mwaka 2013/2014 maarufu kama Kilimanjaro Music Tour. Malkia wa mipasho nchini Khadija Kopa aliifungua Kili Music Tour mkoani Dodoma Ziara hiyo iliwakutanisha wasanii takribani 10 ambao walitoa burudani kwa maelfu ya wakazi […]
11 years ago
GPL
KHADIJA KOPA NDANI YA KILI MUSIC TOUR 2014 LEADERS CLUB
Mwimbaji wa Taarab, Khadija Kopa akiwapagawisha mashabiki waliofurika katika Viwanja vya Leaders usiku huu katika Tamasha la Kili Music Tour 2014 jijini Dar. Mnenguaji wa Khadija Kopa akifanya yake stejini.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania