Kili Music Tour: AY, FA, Profesa J, Vanessa, Ben Pol, Weusi kushusha burudani Jumamosi hii*
Baada ya kuzunguka kaskazini, kusini, kanda ya ziwa, kanda ya kati na nyanda za juu kusini Jumamosi hii burudani ya Kili Music Tour inamalizikia Leaders Club jijini Dar es Salaam. Wasanii watakaotumbuiza ni pamoja na Christian Bella, Khadija Kopa, Jambo Squad, Ben Pol, Profesa Jay, Rich Mavoko, Vanessa Mdee, Ommy Dimpoz, MwanaFA, Weusi na Mashujaa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ESy03VwS5ZmeQZwWPNcHWUg0I8o7Q2L-PQTpn2BpTvkc6VIUVdeS6*Rs1Ma48LOe6vwL5bKWprNa1tMGRSqNmkUOfi0wX9tX/dimpoznavanessa.jpg?width=650)
DIMPOZ, BEN POL WAFANYA KWELI KILI MUSIC TOUR DAR
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0U8UQjwDEm8OKMZb*1lnyvzNTl6OvDwximn3km0CVO1BXriyVTEviNCd5iTCNB0JhX4DDySm7tU9IctK-vVBAihCR5zIDY53/IMG_6657620x400.jpg?width=650)
WAKAZI WA SONGEA WASHUHUDIA BURUDANI YA KILI MUSIC TOUR
10 years ago
GPL10 Sep
KILI MUSIC TOUR 2014 BURUDANI MWANZO MWISHO
10 years ago
GPLBURUDANI ZA KILI MUSIC TOUR NDANI YA LEADERS CLUB JIJINI DAR USIKU HUU
10 years ago
Bongo526 Nov
Weusi kuzindua video zao 5 mpya kwenye show ya ‘Funga mwaka la Weusi’ Jumamosi hii Dar
9 years ago
Mtanzania10 Dec
Ne-Yo awanyanyua Ali Kiba, Vanessa Mdee, Ben Pol, Fid Q
NA MWANDISHI WETU
MWIMBAJI maarufu duniani wa miondoko ya R&B kutoka Marekani, Ne-Yo, ameacha gumzo kwa wapenzi wa muziki wanaofuatilia onyesho la Coke Studio kutokana na umahiri aliouonyesha katika kolabo alizofanya na wasanii kutoka barani Afrika.
Katika msimu huu, amefanya kolabo na wanamuziki Wangechi (Kenya), Ali Kiba (Tanzania), Maurice Kirya (Uganda), Dama Do Bling (Msumbiji) na Ice Prince (Nigeria).
Kolabo alizofanya na wasanii hao zimeleta burudani ya pekee kwa wapenzi wa muziki wa...
9 years ago
Bongo509 Nov
Kuna chochote tutarajie baada ya Ben Pol kukutana na Patoranking Afrika Kusini? Ben Pol ana majibu…
![Ben SA-1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Ben-SA-1-300x194.jpg)
Safari ya Ben Pol Afrika Kusini imempa nafasi ya kukutana na mastaa wa Afrika ambao kwa namna moja ama nyingine alikuwa na ndoto za kuja kufanya nao kazi hapo baadae.
Ben Pol ambaye ameenda jijini Johannesburg kushoot video ya wimbo aliomshirikisha Avril na Rossie M, ambayo imefanyika jana, pia alipata nafasi ya kukutana na staa wa Nigeria, Patoranking.
Ben Pol na Patoranking
Baada ya kupost picha akiwa na staa huyo kwenye Instagram, mashabiki walianza kupata hisia kuwa huenda kuna...
9 years ago
Mtanzania05 Oct
Ben Pol, Kiba, Vanessa Mdee, Fid Q kuwasha moto Coke Studio Africa
NA MWANDISHI WETU
WASANII nguli wa muziki nchini, Ben Pol, Ali Kiba, Fid Q na Vanessa Mdee, wataungana na wasanii wengine 27 barani Afrika katika msimu wa tatu wa maonyesho ya burudani ya muziki, maarufu kama Coke Studio Africa litakaloanza mapema wiki ijayo.
Onyesho la mwaka huu ni tofauti na yaliyopita kwa kuwa litaendana na mabadiliko yaliyopo katika muziki duniani ‘Kolabo’.
Kolabo ya wasanii 55 itashirikisha wasanii wawili kutoka nchi mbili tofauti kuimba nyimbo mbili za mitindo...
10 years ago
Bongo525 Aug
New Music: Ben Pol — Twaendana