KHADIJA KOPA NDANI YA KILI MUSIC TOUR 2014 LEADERS CLUB
![](http://api.ning.com:80/files/ESy03VwS5ZnmpcUBuN0VMRooXy6shsNizxJScB3T-iQ0qup110EuuXysKt1cUcTROHQB1dUTllUJNIihj6Ox3NM-MMRhSRJH/1KOPA.jpg?width=650)
Mwimbaji wa Taarab, Khadija Kopa akiwapagawisha mashabiki waliofurika katika Viwanja vya Leaders usiku huu katika Tamasha la Kili Music Tour 2014 jijini Dar. Mnenguaji wa Khadija Kopa akifanya yake stejini.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLBURUDANI ZA KILI MUSIC TOUR NDANI YA LEADERS CLUB JIJINI DAR USIKU HUU
10 years ago
Tanzania Daima29 Aug
Mzee Yushuph, Kopa kutikisa Kili Music Tour Tanga kesho
MFALME na Malkia wa Taarab, Mzee Yusuph na Khadija Kopa, ni miongoni mwa wasanii wanaotarajiwa kupamba show ya Kili Music Tour inayodhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager itakayofanyika kesho...
11 years ago
Tanzania Daima21 Jun
Kili Music Tour ndani ya Iringa kesho
BAADA ya kutikisa mjini Songea mkoani Ruvuma, tamasha la Kili Music Tour sasa linahamia Mkoa wa Iringa huku mashabiki wakiwa wamepania burudani hiyo. Tayari promosheni mbalimbali zimeanza katika mji wa...
10 years ago
GPL10 Sep
KILI MUSIC TOUR 2014 BURUDANI MWANZO MWISHO
10 years ago
Bongo525 Aug
Picha: Kili Music Tour 2014 yaacha historia Kigoma
10 years ago
Bongo518 Aug
Kili Music Tour 2014: Wasanii wawasha moto Dodoma
10 years ago
Bongo501 Sep
Kili Music Tour 2014: Jinsi wakazi wa Tanga walivyozungusha Kikwetu (Picha)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-_OnH5PPF5Pc/VPMuuae-s8I/AAAAAAAAXT4/ndals8FhGEk/s72-c/k1.jpg)
KHADIJA KOPA NDANI YA MAJONZI
![](http://1.bp.blogspot.com/-_OnH5PPF5Pc/VPMuuae-s8I/AAAAAAAAXT4/ndals8FhGEk/s1600/k1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-3CKZ46cKi8g/VPMvXk-a3AI/AAAAAAAAXUE/mA1QwFEsLJM/s1600/K6.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ACye_gQnyQ0/VPMugg62hOI/AAAAAAAAXTo/d3k6-UZNZ3o/s1600/k5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-RUozx0-7VtE/VPMughpdkXI/AAAAAAAAXTs/ZjeA7zzz4wM/s1600/k3.jpg)
Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to Faceboo
10 years ago
Dewji Blog02 Mar
Khadija Kopa na Wana TOT ndani ya majonzi mazito
![](http://1.bp.blogspot.com/-3CKZ46cKi8g/VPMvXk-a3AI/AAAAAAAAXUE/mA1QwFEsLJM/s1600/K6.jpg)
Khadija Kopa (kulia) akiwa kwenye majonzi makubwa ya kuondokewa na Jabali la muziki wa kwaya nchini na kiongozi wa TOT Kapteni John Komba.
![](http://1.bp.blogspot.com/-_OnH5PPF5Pc/VPMuuae-s8I/AAAAAAAAXT4/ndals8FhGEk/s1600/k1.jpg)
Khadija Kopa (kulia) akiwa kwenye majonzi makubwa ya kuondokewa na Jabali la muziki wa kwaya nchini na kiongozi wa TOT Kapteni John Komba huku Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Nape Nauye akimfariji.
Khadija Kopa (kulia) akilia kwa uchungu na wasanii wenzake wa TOT wakati wa kuhani msiba wa Kapteni John Komba.
![](http://1.bp.blogspot.com/-RUozx0-7VtE/VPMughpdkXI/AAAAAAAAXTs/ZjeA7zzz4wM/s1600/k3.jpg)