Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KHADIJA KOPA NDANI YA KILI MUSIC TOUR 2014 LEADERS CLUB

Mwimbaji wa Taarab, Khadija Kopa akiwapagawisha mashabiki waliofurika katika Viwanja vya Leaders usiku huu katika Tamasha la Kili Music Tour 2014 jijini Dar. Mnenguaji wa Khadija Kopa akifanya yake stejini.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

BURUDANI ZA KILI MUSIC TOUR NDANI YA LEADERS CLUB JIJINI DAR USIKU HUU

Bendi ya Mapacha Watatu ikifanya mambo ndani ya Viwanja vya Leaders jijini Dar usiku huu katika Tamasha la Kili Music Tour.…

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mzee Yushuph, Kopa kutikisa Kili Music Tour Tanga kesho

MFALME na Malkia wa Taarab, Mzee Yusuph na Khadija Kopa, ni miongoni mwa wasanii wanaotarajiwa kupamba show ya Kili Music Tour inayodhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager itakayofanyika kesho...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kili Music Tour ndani ya Iringa kesho

BAADA ya kutikisa mjini Songea mkoani Ruvuma, tamasha la Kili Music Tour sasa linahamia Mkoa wa Iringa huku mashabiki wakiwa wamepania burudani hiyo. Tayari promosheni mbalimbali zimeanza katika mji wa...

 

10 years ago

GPL

KILI MUSIC TOUR 2014 BURUDANI MWANZO MWISHO

Burudani mbalimbali katika usiku wa Kili Music Tour 2014 kwenye Viwanja vya Leaders jijini Dar es Salaam Septemba 6, 2014.

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Kili Music Tour 2014 yaacha historia Kigoma

Diamond na Wasafi wakitumbuiza Umati wa mashabiki ukiisubiria burudani katika uwanja wa Lake Tanganyika Backstage: Christian Bella, Nikki wa Pili na Amini Backstage: MwanaFA Backstage: Profesa Jay Mfalme wa Taarab nchini Mzee Yusuph ndiye aliufungua usiku wa Kili Music Tour Amini akiwaimbisha mashabiki moja ya nyimbo zake Mwasiti ambaye asili yake ni mkoa wa Kigoma […]

 

10 years ago

Bongo5

Kili Music Tour 2014: Wasanii wawasha moto Dodoma

Mwishoni mwa wiki ilikuwa zamu ya wakazi wa makao makuu ya nchi, Dodoma kuishuhudia ziara ya wasanii waliofanya vizuri nchini kwa kipindi cha mwaka 2013/2014 maarufu kama Kilimanjaro Music Tour. Malkia wa mipasho nchini Khadija Kopa aliifungua Kili Music Tour mkoani Dodoma Ziara hiyo iliwakutanisha wasanii takribani 10 ambao walitoa burudani kwa maelfu ya wakazi […]

 

10 years ago

Bongo5

Kili Music Tour 2014: Jinsi wakazi wa Tanga walivyozungusha Kikwetu (Picha)

Mkoa wa Tanga umefunga matamasha ya Kili Music Tour yaliyokuwa yakizunguka mikoa mbalimbali nchini kwa show iliyojaza umati mkubwa wa mshabiki uwanja wa Mkwakwani. Mtangazaji wa EATV Abdallah Hamis Ambuaa “Dulla” akiendesha shindano kwa kina dada wa Tanga waliojitokeza uwanjani kushuhudia Kili Music Tour Tamasha hilo linalodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager lilipambwa na […]

 

10 years ago

Vijimambo

KHADIJA KOPA NDANI YA MAJONZI

 Khadija Kopa akilia kwa uchungu baada ya kukutana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye kwenye msiba wa kiongozi wa TOT na Mbunge wa Mbinga Magharibi Kapteni John Komba. Khadija Kopa (kulia) akiwa kwenye majonzi makubwa ya kuondokewa na Jabali la muziki wa kwaya nchini na kiongozi wa TOT Kapteni John Komba. Khadija Kopa (kulia) akilia kwa uchungu na wasanii wenzake wa TOT wakati wa kuhani msiba wa Kapteni John Komba
Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to Faceboo

 

10 years ago

Dewji Blog

Khadija Kopa na Wana TOT ndani ya majonzi mazito

Khadija Kopa (kulia) akiwa kwenye majonzi makubwa ya kuondokewa na Jabali la muziki wa kwaya nchini na kiongozi wa TOT Kapteni John Komba.

Khadija Kopa (kulia) akiwa kwenye majonzi makubwa ya kuondokewa na Jabali la muziki wa kwaya nchini na kiongozi wa TOT Kapteni John Komba huku Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Nape Nauye akimfariji.

k5

Khadija Kopa (kulia) akilia kwa uchungu na wasanii wenzake wa TOT wakati wa kuhani msiba wa Kapteni John Komba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani