Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Khadija Kopa na Wana TOT ndani ya majonzi mazito

Khadija Kopa (kulia) akiwa kwenye majonzi makubwa ya kuondokewa na Jabali la muziki wa kwaya nchini na kiongozi wa TOT Kapteni John Komba.

Khadija Kopa (kulia) akiwa kwenye majonzi makubwa ya kuondokewa na Jabali la muziki wa kwaya nchini na kiongozi wa TOT Kapteni John Komba huku Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Nape Nauye akimfariji.

k5

Khadija Kopa (kulia) akilia kwa uchungu na wasanii wenzake wa TOT wakati wa kuhani msiba wa Kapteni John Komba.

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

KHADIJA KOPA NDANI YA MAJONZI

 Khadija Kopa akilia kwa uchungu baada ya kukutana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye kwenye msiba wa kiongozi wa TOT na Mbunge wa Mbinga Magharibi Kapteni John Komba. Khadija Kopa (kulia) akiwa kwenye majonzi makubwa ya kuondokewa na Jabali la muziki wa kwaya nchini na kiongozi wa TOT Kapteni John Komba. Khadija Kopa (kulia) akilia kwa uchungu na wasanii wenzake wa TOT wakati wa kuhani msiba wa Kapteni John Komba
Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to Faceboo

 

10 years ago

GPL

KHADIJA KOPA NDANI YA KILI MUSIC TOUR 2014 LEADERS CLUB

Mwimbaji wa Taarab, Khadija Kopa akiwapagawisha mashabiki waliofurika katika Viwanja vya Leaders usiku huu katika Tamasha la Kili Music Tour 2014 jijini Dar. Mnenguaji wa Khadija Kopa akifanya yake stejini.…

 

11 years ago

GPL

MAJONZI MAZITO IKULU

Stori: Haruni Sanchawa na Makongoro Oging’ MAJONZI mazito yameikumba Ofisi ya Rais, ikulu jijini Dar es Salaam kufuatia kutokea kwa vifo viwili vya watumishi wa ofisi hiyo wiki iliyopita. Picha ya marehemu Rashidi John Chilwangwa (45). Wa kwanza ni Afisa Usalama wa Taifa Mwandamizi, Silvanus Adriano Mzeru (56) aliyeuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana Aprili 29, mwaka huu  maeneo ya Uwanja  wa Ndege wa...

 

10 years ago

GPL

SIMULIZI TAMU YA KHADIJA KOPA-9

ILIPOISHIA..
Mbele yake kasimama mwanaume wa Kipemba, yupo hapo kwa kuwa alikuwa akihitaji kuwa mpenzi wake na mwisho wa siku amuoe. Kwa Khadija, kumkubalia mwanaume kwa wakati huo ilikuwa ngumu kwani bado alikuwa na ndoto za kufika mbali kimuziki.
ENDELEA... Malkia wa mziki wa  taarabu, Khadija Omary kopa “Si kwamba ninaogopa, bado kuna mengi ninatakiwa kuyafanya,” nilimwambia.
“Kwani nikikuoa...

 

10 years ago

GPL

SIMULIZI TAMU YA KHADIJA KOPA-4

ILIPOISHIA
Khadija Kopa alizungumzia hali aliyokuwa nayo mara baada ya kutorokwa na mama yake, Hakuwa na hamu ya kula, hakutaka kuongea na mtu yeyote, mapenzi juu ya mama yake yalikuwa makubwa.
ENDELEA... Malkia wa Taarab nchini, Khadija Kopa. Kama kusoma nilisoma sana japokuwa kila siku mawazo juu ya mama yangu…

 

10 years ago

GPL

SIMULIZI TAMU YA KHADIJA KOPA - 8

ILIPOISHIA..
Bado Khadija anaendelea kusimulia historia ya maisha yake. Ametoka mbali, ameishia pale alipojiunga na Bendi ya Culture Music All Club ambayo ilikuwa ikitumbuiza Zanzibar tu.
Hapo ndipo uwezo wake ulipoonekana zaidi na kuwachanganya kabisa watu.
ENDELEA...
Malkia wa mipasho bongo khadija omari kopa. Naendelea kuyakumbuka maisha yangu, kila ninapojiangalia na kuona hapa nilipofika, huwa ninamshukuru sana...

 

11 years ago

GPL

MBOTO APAGAWISHWA NA KHADIJA KOPA

Stori: Musa Mateja KOMEDIANI maarufu Bongo, Haji Salum ‘Mboto’ alijikuta akipagawishwa vilivyo na shoo ya Malkia wa Taarab Bongo, Khadija Kopa kiasi cha kushindwa kujizuia na kupanda jukwaani kuungana na wacheza shoo wake. Komedian maarufu Bongo, Haji Salum ‘Mboto’ akiwa jukwaani mara baada ya kupagawishwa vilivyo na shoo ya Malkia wa Taarab Bongo, Khadija Kopa. Tukio hilo lilitokea wikiendi iliyopita...

 

10 years ago

GPL

SIMULIZI TAMU YA KHADIJA KOPA -6

ILIPOSHIA
“Kuna nini? aliniuliza huku akionekana kutokuelewa chochote.
“Nimefaulu mtihani”.“Unasemaje?”“Nimefaulu mtihani bibi,” nilimwambia kwa furaha, bibi akaonekana kuwa na furaha zaidi yangu. Sasa nikamsubiria mama naye nilitaka kumpa taarifa hiyo.ENDELEA.. Malkia wa mipasho bongo, Khadija Kopa Nakumbuka siku hiyo nilikuwa na presha kubwa, nilikuwa nikimsubiria mama kwa shauku...

 

10 years ago

GPL

SIMULIZI TAMU YA KHADIJA KOPA - 7

Bado Khadija Kopa anaendelea kusimulia simulizi ya maisha yake. Yupo shuleni, anatamani kuimba, anapofanya hivyo, wanafunzi hasa wa kike wanaonekana kumuonea wivu na hivyo kumfunja moyo, kitu cha ajabu kwake, wavulana ndiyo waliokuwa wakimfariji, alipoambiwa hajui, wao walimwambia anajua kwani hata mbuyu ulianza kama mchicha.ENDELEA NAYOÖ AZIDI KUKERWA
Ngoja niseme ukweli kwamba kwa maneno ambayo alikuwa akiyazungumza siku...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani