Khadija Kopa na Wana TOT ndani ya majonzi mazito
Khadija Kopa (kulia) akiwa kwenye majonzi makubwa ya kuondokewa na Jabali la muziki wa kwaya nchini na kiongozi wa TOT Kapteni John Komba.
![](http://1.bp.blogspot.com/-_OnH5PPF5Pc/VPMuuae-s8I/AAAAAAAAXT4/ndals8FhGEk/s1600/k1.jpg)
Khadija Kopa (kulia) akiwa kwenye majonzi makubwa ya kuondokewa na Jabali la muziki wa kwaya nchini na kiongozi wa TOT Kapteni John Komba huku Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Nape Nauye akimfariji.
Khadija Kopa (kulia) akilia kwa uchungu na wasanii wenzake wa TOT wakati wa kuhani msiba wa Kapteni John Komba.
![](http://1.bp.blogspot.com/-RUozx0-7VtE/VPMughpdkXI/AAAAAAAAXTs/ZjeA7zzz4wM/s1600/k3.jpg)
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-_OnH5PPF5Pc/VPMuuae-s8I/AAAAAAAAXT4/ndals8FhGEk/s72-c/k1.jpg)
KHADIJA KOPA NDANI YA MAJONZI
![](http://1.bp.blogspot.com/-_OnH5PPF5Pc/VPMuuae-s8I/AAAAAAAAXT4/ndals8FhGEk/s1600/k1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-3CKZ46cKi8g/VPMvXk-a3AI/AAAAAAAAXUE/mA1QwFEsLJM/s1600/K6.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ACye_gQnyQ0/VPMugg62hOI/AAAAAAAAXTo/d3k6-UZNZ3o/s1600/k5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-RUozx0-7VtE/VPMughpdkXI/AAAAAAAAXTs/ZjeA7zzz4wM/s1600/k3.jpg)
Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to Faceboo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ESy03VwS5ZnmpcUBuN0VMRooXy6shsNizxJScB3T-iQ0qup110EuuXysKt1cUcTROHQB1dUTllUJNIihj6Ox3NM-MMRhSRJH/1KOPA.jpg?width=650)
KHADIJA KOPA NDANI YA KILI MUSIC TOUR 2014 LEADERS CLUB
Mwimbaji wa Taarab, Khadija Kopa akiwapagawisha mashabiki waliofurika katika Viwanja vya Leaders usiku huu katika Tamasha la Kili Music Tour 2014 jijini Dar. Mnenguaji wa Khadija Kopa akifanya yake stejini.…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6LjPLZ8wv3cNhlbTsy7JrUTM2lHk7LKEx3fhWQ1eCVjTyT2GAWj7FnsTaVRuDkCnWjUgDBNOL7b8WszlP52NiQWCpjPD97H8/MSIBA.jpg?width=650)
MAJONZI MAZITO IKULU
Stori: Haruni Sanchawa na Makongoro Oging’ MAJONZI mazito yameikumba Ofisi ya Rais, ikulu jijini Dar es Salaam kufuatia kutokea kwa vifo viwili vya watumishi wa ofisi hiyo wiki iliyopita. Picha ya marehemu Rashidi John Chilwangwa (45). Wa kwanza ni Afisa Usalama wa Taifa Mwandamizi, Silvanus Adriano Mzeru (56) aliyeuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana Aprili 29, mwaka huu maeneo ya Uwanja wa Ndege wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rkFK1BYzsGhGG**YGZj*aNYEQ8Npca8Zp50BkoNZTeVJ2HLcLJOKLvKdEoVTDhxjdjoAFwx1mw*YcHFaywJmkdfjRcGqpbiT/Kopa.jpg)
SIMULIZI TAMU YA KHADIJA KOPA-9
ILIPOISHIA..
Mbele yake kasimama mwanaume wa Kipemba, yupo hapo kwa kuwa alikuwa akihitaji kuwa mpenzi wake na mwisho wa siku amuoe. Kwa Khadija, kumkubalia mwanaume kwa wakati huo ilikuwa ngumu kwani bado alikuwa na ndoto za kufika mbali kimuziki.
ENDELEA... Malkia wa mziki wa taarabu, Khadija Omary kopa “Si kwamba ninaogopa, bado kuna mengi ninatakiwa kuyafanya,†nilimwambia.
“Kwani nikikuoa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NRpz*rV1U-vsLnPrdgMjszMOC4-t9Yzaxu33kaafrx3e5PQuisIn6ZowxJU6OZSoazNTObPIGZcYpPsVBGh8VJx18fWy9VF*/kopa.jpg)
SIMULIZI TAMU YA KHADIJA KOPA-4
ILIPOISHIA
Khadija Kopa alizungumzia hali aliyokuwa nayo mara baada ya kutorokwa na mama yake, Hakuwa na hamu ya kula, hakutaka kuongea na mtu yeyote, mapenzi juu ya mama yake yalikuwa makubwa.
ENDELEA... Malkia wa Taarab nchini, Khadija Kopa. Kama kusoma nilisoma sana japokuwa kila siku mawazo juu ya mama yangu…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/knSjhwKOr7v1pONbrT0V7ZkUgRbERiT2pk2y*T*ghNjTJCwOPvH9a8xqLmx9Qn8Kwv4ouYKFRsnuFza1Kpim6N79Ip*Dw-hN/KOPA.jpg)
SIMULIZI TAMU YA KHADIJA KOPA - 8
ILIPOISHIA..
Bado Khadija anaendelea kusimulia historia ya maisha yake. Ametoka mbali, ameishia pale alipojiunga na Bendi ya Culture Music All Club ambayo ilikuwa ikitumbuiza Zanzibar tu.
Hapo ndipo uwezo wake ulipoonekana zaidi na kuwachanganya kabisa watu.
ENDELEA...
Malkia wa mipasho bongo khadija omari kopa. Naendelea kuyakumbuka maisha yangu, kila ninapojiangalia na kuona hapa nilipofika, huwa ninamshukuru sana...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p5H7N8Ot6oOeSEQdEXELyTTSA50zG9vOu7XWpXrIop-YUY5xxIsUQeY1EJYLNWTWcNShXHojeinzwICNXUI1ju20OVKMn1p5/MBOTO.jpg)
MBOTO APAGAWISHWA NA KHADIJA KOPA
Stori: Musa Mateja KOMEDIANI maarufu Bongo, Haji Salum ‘Mboto’ alijikuta akipagawishwa vilivyo na shoo ya Malkia wa Taarab Bongo, Khadija Kopa kiasi cha kushindwa kujizuia na kupanda jukwaani kuungana na wacheza shoo wake. Komedian maarufu Bongo, Haji Salum ‘Mboto’ akiwa jukwaani mara baada ya kupagawishwa vilivyo na shoo ya Malkia wa Taarab Bongo, Khadija Kopa. Tukio hilo lilitokea wikiendi iliyopita...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/o-1NtXzEejI*7TkofW8dnxHnb98PPKj8wVADweECFpwCr*drDnJ7WWuWiYLu1Ni-HoMZb0GyHHRTixuCSMjE-CnpNlyyD0mO/KOPA.jpg)
SIMULIZI TAMU YA KHADIJA KOPA -6
ILIPOSHIA
“Kuna nini? aliniuliza huku akionekana kutokuelewa chochote.
“Nimefaulu mtihaniâ€.“Unasemaje?â€â€œNimefaulu mtihani bibi,†nilimwambia kwa furaha, bibi akaonekana kuwa na furaha zaidi yangu. Sasa nikamsubiria mama naye nilitaka kumpa taarifa hiyo.ENDELEA.. Malkia wa mipasho bongo, Khadija Kopa Nakumbuka siku hiyo nilikuwa na presha kubwa, nilikuwa nikimsubiria mama kwa shauku...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rf021BwezXH1uHcjtGdKUzuSuo8hkVij*pM1LBV*aircmEhz1Tq3fE--bdE8ecltOJBH5fZJaZyDWFTjwz-5MXDhZQaSVvqR/kopa.jpg)
SIMULIZI TAMU YA KHADIJA KOPA - 7
Bado Khadija Kopa anaendelea kusimulia simulizi ya maisha yake. Yupo shuleni, anatamani kuimba, anapofanya hivyo, wanafunzi hasa wa kike wanaonekana kumuonea wivu na hivyo kumfunja moyo, kitu cha ajabu kwake, wavulana ndiyo waliokuwa wakimfariji, alipoambiwa hajui, wao walimwambia anajua kwani hata mbuyu ulianza kama mchicha.ENDELEA NAYOÖ AZIDI KUKERWA
Ngoja niseme ukweli kwamba kwa maneno ambayo alikuwa akiyazungumza siku...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania