Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kili Stars yaondoka na matumaini kibao

WAKATI timu ya Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ iliondoka jana alfajiri kwenda Ethiopia kwa ajili ya michuano ya Kombe la Chalenji inayotarajiwa kuanza kutimua vumbi leo, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Abdallah Kibadeni amejigamba kuwa timu hiyo itafanya vizuri.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Madadi matumaini kibao Stars

Kocha wa muda wa Timu ya Taifa (Taifa Stars) Salum Madadi amesema ana matumaini makubwa kwamba kikosi chake kitaibuka na ushindi katika pambano lao dhidi ya Namibia.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Stars yarejea, matumaini kibao

MSAFARA wa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, ulirejea juzi jioni ukitokea kupiga kambi nchini Botswana huku Kocha Mart Nooij akiwa na matumaini makubwa ya kuifunga Msumbiji katika mechi...

 

9 years ago

Mtanzania

Stars matumaini kibao Algeria

Taifa-Stars-NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

KIKOSI cha timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kimeondoka nchini jana alfajiri kuelekea jijini Algiers huku kikiwa na matumaini ya kufanya vizuri na kuwatoa wapinzani wao Algeria ‘The Desert Foxes’ ugenini.

Stars iliyolazimishwa sare ya mabao 2-2 nyumbani, itarudiana na Algeria kwenye Uwanja wa Stade Mustapha Tchaker jijini Algiers kesho katika mchezo wa raundi ya pili kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2018 nchini Urusi.

Kocha Mkuu wa Stars, Charles...

 

9 years ago

Habarileo

Taifa Stars yaondoka bila Samatta, Ulimwengu

Na Zena Chande KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya taifa, Taifa Stars, Charles Mkwasa amesema anaamini kikosi chake kitaimarika zaidi kwa kambi ya siku 10 Afrika Kusini.

 

9 years ago

Habarileo

Msuva matumaini kibao

MFUNGAJI bora wa msimu uliopita wa ligi kuu bara, Simon Msuva amesema kuanzia benchi katika mechi tatu zilizopita hakumtii hofu ya kupoteza nafasi yake ya kuitumikia Yanga.

 

9 years ago

Habarileo

Magongo matumaini kibao Afrika

TIMU ya Taifa ya wanawake na wanaume ya mpira wa magongo zinatarajiwa kuondoka kesho kuelekea nchini Afrika Kusini kwa ajili ya michuano ya kuwania kufuzu kucheza Olimpiki mwaka 2016, Brazil.

 

9 years ago

Habarileo

Kocha mpya Coastal matumaini kibao

KOCHA aliyechukua jukumu la kuinoa timu ya Coastal Union ya Tanga, Mbwana Bushiri ameahidi kuiwezesha kufanya vyema kwenye michezo yake iliyobakia ya Ligi Kuu msimu huu.

 

9 years ago

Habarileo

Azam matumaini kibao Ligi Kuu

OFISA Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Azam FC, Saad Kawemba, ameelezea kufurahishwa na mwenendo wa timu yao kwenye Ligi Kuu ya Tanzania Bara msimu huu, huku akimsifia kocha wao Stewart Hall kwa mbinu anazotumia.

 

11 years ago

GPL

KILI STARS YAONDOLEWA CHALENJI, YAPIGWA NA HARAMBEE STARS 1-0

Kikosi cha Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars'. TIMU ya Taifa ya Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars' imeondolewa kwenye michuano ya Kombe la Chalenji inayoendelea nchini Kenya baada ya kufungwa na timu ya Taifa ya Kenya 'Harambee Stars' bao1-0 katika mechi iliyomalizika hivi punde kwenye Uwanja wa Nyayo uliopo jijini Nairobi!

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani