Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madadi matumaini kibao Stars

Kocha wa muda wa Timu ya Taifa (Taifa Stars) Salum Madadi amesema ana matumaini makubwa kwamba kikosi chake kitaibuka na ushindi katika pambano lao dhidi ya Namibia.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Stars matumaini kibao Algeria

Taifa-Stars-NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

KIKOSI cha timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kimeondoka nchini jana alfajiri kuelekea jijini Algiers huku kikiwa na matumaini ya kufanya vizuri na kuwatoa wapinzani wao Algeria ‘The Desert Foxes’ ugenini.

Stars iliyolazimishwa sare ya mabao 2-2 nyumbani, itarudiana na Algeria kwenye Uwanja wa Stade Mustapha Tchaker jijini Algiers kesho katika mchezo wa raundi ya pili kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2018 nchini Urusi.

Kocha Mkuu wa Stars, Charles...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Stars yarejea, matumaini kibao

MSAFARA wa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, ulirejea juzi jioni ukitokea kupiga kambi nchini Botswana huku Kocha Mart Nooij akiwa na matumaini makubwa ya kuifunga Msumbiji katika mechi...

 

9 years ago

Habarileo

Kili Stars yaondoka na matumaini kibao

WAKATI timu ya Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ iliondoka jana alfajiri kwenda Ethiopia kwa ajili ya michuano ya Kombe la Chalenji inayotarajiwa kuanza kutimua vumbi leo, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Abdallah Kibadeni amejigamba kuwa timu hiyo itafanya vizuri.

 

11 years ago

TheCitizen

Madadi: Stars will beat Namibians

Tanzania national soccer team, Taifa Stars, technical bench caretaker Salum Madadi believes they will upset hosts Namibia despite the absence of some key players.

 

9 years ago

Habarileo

Msuva matumaini kibao

MFUNGAJI bora wa msimu uliopita wa ligi kuu bara, Simon Msuva amesema kuanzia benchi katika mechi tatu zilizopita hakumtii hofu ya kupoteza nafasi yake ya kuitumikia Yanga.

 

9 years ago

Habarileo

Magongo matumaini kibao Afrika

TIMU ya Taifa ya wanawake na wanaume ya mpira wa magongo zinatarajiwa kuondoka kesho kuelekea nchini Afrika Kusini kwa ajili ya michuano ya kuwania kufuzu kucheza Olimpiki mwaka 2016, Brazil.

 

9 years ago

Habarileo

Kocha mpya Coastal matumaini kibao

KOCHA aliyechukua jukumu la kuinoa timu ya Coastal Union ya Tanga, Mbwana Bushiri ameahidi kuiwezesha kufanya vyema kwenye michezo yake iliyobakia ya Ligi Kuu msimu huu.

 

9 years ago

Habarileo

Azam matumaini kibao Ligi Kuu

OFISA Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Azam FC, Saad Kawemba, ameelezea kufurahishwa na mwenendo wa timu yao kwenye Ligi Kuu ya Tanzania Bara msimu huu, huku akimsifia kocha wao Stewart Hall kwa mbinu anazotumia.

 

9 years ago

Habarileo

Pluijm matumaini kibao kwa kiungo Mniger

KOCHA Mkuu wa Yanga Hans van Pluijm amesema ana imani na mchezaji mpya wa Niger Issoufou Garba kuwa atafanya vyema katika kikosi hicho kutokana na uwezo aliouonesha kwenye majaribio.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani