Kilimanjaro Marathon yanukia
Wakimbiaji mashuhuri kutoka Kenya, Uganda na kwingine barani Afrika, Ulaya, America na Asia wanategemewa kuchuana katika mbio za kimataifa za Kili Marathon Kaskazini mwa Tanzani.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
TheCitizen14 Dec
Gapco ventures again in Kilimanjaro Marathon
Preparations for the prestigious Kilimanjaro Marathon 2016 are in full swing as local and foreign runners are gearing up for the event to be held under the wings of Mount Kilimanjaro, the highest free-standing mountain.
5 years ago
CCM BlogKILIMANJARO MARATHON YAWAONYA WADANGANYIFU
Waandaaji wa mbio za Kilimanjaro Premium Lager Marathon 2020 wametoa onyo kalikwa washiriki wanaopanga kutumia njia za udanganyifu kushiriki mbio hizo kwa lengo la kujipatia medali na zawadi nyingine.
Taarifa...
10 years ago
TheCitizen19 Feb
Chikawe to flag off Kilimanjaro Marathon
Minister for Home Affairs Mathias Chikawe will flag off the 13th edition of the Kilimanjaro Marathon expected to take place in Moshi on March 1.
10 years ago
BBCSwahili26 Feb
Kilimanjaro Marathon Tanzania kumekucha
Wanariadha kutoka za Kenya na Uganda wanategemewa kuwasili Moshi Kaskazini mwa Tanzania kushiriki mbio za Kili Marathon.
10 years ago
Vijimambo
SHINE A LIGHT KILIMANJARO MARATHON 2015




Shine A Light :This is a group founded by KCMC (Kilimanjaro Christian Medical College)students in June 2010 aimed at helping children who are less fortunate achieve their dreams, have a chance at life and a...
11 years ago
MichuziNSSF ILIVYOSHIRIKI KILIMANJARO MARATHON 2014
11 years ago
Tanzania Daima17 Feb
Kilimanjaro Marathon yatangaza njia mpya
WAANDAAJI wa Kilimanjaro Marathon wametangaza njia mpya zitakazotumika mwaka huu, ikiwa ni hatua nyingine muhimu katika mafanikio ya mbio hizo ambazo zinaingia mwaka wa 12 tangu kuanzishwa. Njia hizo mpya...
11 years ago
MichuziWAKENYA WAENDELEA KUTESA KILIMANJARO MARATHON
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii, Moshi.
MWANARIADHA wa Kitanzania, Jackline Sakilu jana aliibuka shujaa katika mashindano ya mbio ndefu za kimataifa za Kilimanjaro Premium Lager Marathon 2014, baada ya kuibuka mshindi katika mashindano ya kilomita 21, (nusu marathon), kwa upande wa wanawake.
Katika mbio hizo zilizofanyika mjini Moshi,Sakilu ambaye ni afisa wa jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ) amefanikiwa kuvunja rekodi iliyowekwa na mshindi wa kwanza wa mwaka jana ,Sara Ramadhan ya...
10 years ago
BBCSwahili16 Feb
Njia za Kilimanjaro Marathon Tanzania zapimwa
Shirikisho la Riadha duniani na Chama Cha kimataifa cha mbio ndefu na fupi wamepima na kupitisha njia kwa mbio za Kilimanjaro Marathon.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania