Gapco ventures again in Kilimanjaro Marathon
Preparations for the prestigious Kilimanjaro Marathon 2016 are in full swing as local and foreign runners are gearing up for the event to be held under the wings of Mount Kilimanjaro, the highest free-standing mountain.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-kslRG8v2fVY/VkzgGtF3XnI/AAAAAAABpQA/I7vcMYVaC0g/s72-c/IMG_2071.jpg)
GAPCO KUDHAMINI KILIMANJARO MARATHON KILOMITA 10 KWA WALEMAVU 2016
GAPCO, kampuni ya mafuta inayoongoza Tanzania, imetangaza udhamini wake wa mbio za Kilimanjaro Marathon 2016 za kilomita 10 kwa walemavu. Akitangaza udhamini huo jana wakati wa uzinduzi wa mashindano hayo ya Kilimanjaro Marathon, Meneja Masoko wa GAPCO Tanzania, Caroline Kakwezi alisema GAPCO inaona fahari kudhamini mbio hizo za kilomita 10 kwa walemavu. “Tumeshuhudia mbio hizi za Kilimanjaro Marathon zikikua tangu tuanze kudhamini mwaka 2011 na pia kufurahia faida wanayopata washiriki na...
10 years ago
BBCSwahili24 Feb
Kilimanjaro Marathon yanukia
Wakimbiaji mashuhuri kutoka Kenya, Uganda na kwingine barani Afrika, Ulaya, America na Asia wanategemewa kuchuana katika mbio za kimataifa za Kili Marathon Kaskazini mwa Tanzani.
10 years ago
BBCSwahili26 Feb
Kilimanjaro Marathon Tanzania kumekucha
Wanariadha kutoka za Kenya na Uganda wanategemewa kuwasili Moshi Kaskazini mwa Tanzania kushiriki mbio za Kili Marathon.
10 years ago
TheCitizen19 Feb
Chikawe to flag off Kilimanjaro Marathon
Minister for Home Affairs Mathias Chikawe will flag off the 13th edition of the Kilimanjaro Marathon expected to take place in Moshi on March 1.
5 years ago
CCM BlogKILIMANJARO MARATHON YAWAONYA WADANGANYIFU
Waandaaji wa mbio za Kilimanjaro Premium Lager Marathon 2020 wametoa onyo kalikwa washiriki wanaopanga kutumia njia za udanganyifu kushiriki mbio hizo kwa lengo la kujipatia medali na zawadi nyingine.
Taarifa...
10 years ago
BBCSwahili16 Feb
Njia za Kilimanjaro Marathon Tanzania zapimwa
Shirikisho la Riadha duniani na Chama Cha kimataifa cha mbio ndefu na fupi wamepima na kupitisha njia kwa mbio za Kilimanjaro Marathon.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-aWyJKPi6nYs/VOHESDxtMzI/AAAAAAAHD8g/cG4kTHko7Ao/s72-c/killiLogoNew.jpg)
Njia Kilimanjaro Marathon 2015 zatangazwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-aWyJKPi6nYs/VOHESDxtMzI/AAAAAAAHD8g/cG4kTHko7Ao/s1600/killiLogoNew.jpg)
Akizungumzia njia hiyo Mkurugenzi wa Kilimanjaro Marathon, John Bayo amesema “Ni njia nzuri sana. Mbio za Full marathon zitaanzia uwanja wa Ushirika na kwenda kilomita kumi njia ya kuelekea Dar es salaam na kurudia...
10 years ago
AllAfrica.Com02 Feb
Kilimanjaro Marathon Preparations Gather Pace
AllAfrica.com
Moshi — PREPARATIONS for the Kilimanjaro Marathon scheduled to take place in Moshi on 1st March, this year, has gathered pace and the Kilimanjaro region authorities have pledged their support to the event due to its importance for the region's sports ...
10 years ago
BBCSwahili01 Feb
Kilimanjaro Marathon yavutia watalii Tanzania
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama amesema michuano ya kimataifa ya Kilimanjaro Marathon inasaidia kunyanyua uchumi wa mkoa huo uliopo Kaskazini mwa Tanzania
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania