Njia Kilimanjaro Marathon 2015 zatangazwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-aWyJKPi6nYs/VOHESDxtMzI/AAAAAAAHD8g/cG4kTHko7Ao/s72-c/killiLogoNew.jpg)
Mbio za Kilimanjaro Marathon 2015 zitafanyika kwenye njia ile ile iliyotumika mwaka jana baada ya kupimwa na kuidhinishwa na shirikisho la riadha duniani. Njia hiyo ni mzunguko na imelenga kuwafanya wanariadha wakimie kwa raha na usalama zaidi bila tatizo la msongamano barabarani.
Akizungumzia njia hiyo Mkurugenzi wa Kilimanjaro Marathon, John Bayo amesema “Ni njia nzuri sana. Mbio za Full marathon zitaanzia uwanja wa Ushirika na kwenda kilomita kumi njia ya kuelekea Dar es salaam na kurudia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili16 Feb
Njia za Kilimanjaro Marathon Tanzania zapimwa
11 years ago
Tanzania Daima17 Feb
Kilimanjaro Marathon yatangaza njia mpya
WAANDAAJI wa Kilimanjaro Marathon wametangaza njia mpya zitakazotumika mwaka huu, ikiwa ni hatua nyingine muhimu katika mafanikio ya mbio hizo ambazo zinaingia mwaka wa 12 tangu kuanzishwa. Njia hizo mpya...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-IOngjL2G5Jc/VQG2iR8Mc_I/AAAAAAADb3s/sJqglWEfNvM/s72-c/ras2.jpg)
SHINE A LIGHT KILIMANJARO MARATHON 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-IOngjL2G5Jc/VQG2iR8Mc_I/AAAAAAADb3s/sJqglWEfNvM/s1600/ras2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-a-f6cS4iOtM/VQG2ieISvUI/AAAAAAADb3o/uJkKIAbzJBo/s1600/ras4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-x0hx6l_b8aQ/VQG2j6kZAxI/AAAAAAADb34/Xl4dnFZWCO4/s1600/ras6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Gd36C1yvc2U/VQG2gooXqcI/AAAAAAADb3g/QhGx6l0JiLE/s1600/ras.jpg)
Shine A Light :This is a group founded by KCMC (Kilimanjaro Christian Medical College)students in June 2010 aimed at helping children who are less fortunate achieve their dreams, have a chance at life and a...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vKs9D-EVnKQ/VNtJv3rkdhI/AAAAAAAHDEo/PQdBL_XUxUI/s72-c/killiLogoNew.jpg)
Kilimanjaro Marathon 2015 kufanyika Machi 1,mjini Moshi
![](http://1.bp.blogspot.com/-vKs9D-EVnKQ/VNtJv3rkdhI/AAAAAAAHDEo/PQdBL_XUxUI/s1600/killiLogoNew.jpg)
Mkurugenzi wa Mbio hizo John Bayo jana katika taarifa yake kwa vyombo vya habari aliwataja baadhi ya wanariadha nyota kutoka Tanzania kuwa ni Andrew Sambu, Daudi Joseph, Mashaka Masumbuko, watachuana na wanariadha wengine kutoka nchini na kutoka nje ya nchi katika mbio za Kilimanjaro Premium Lager...
10 years ago
Dewji Blog06 Mar
Askari Fabiola apongezwa kwa kutwaa medali Kilimanjaro Marathon 2015
Mshindi wa Kilimanjaro marathon 2015 WP 4615 CPL Fabiola William wa jeshi la polisi mkoa wa Singida (katikati) akipunga mkono akiwa kwenye msafara uliompokea ukielekea ofisini kwa kamanda wa polisi mkoa wa Singida. WP Fabiola amezaliwa kata ya Ilongero jimbo la Singida kaskazini kata ambayo pia Inspekta Jenerali wa Jeshi la polisi nchini, Ernest Mangu ndiko alikozaliwa.
Na Nathaniel Limu, Singida
JESHI la polisi mkoa wa Singida,limeahidi kuendelea kuwahimiza na kuwahamasisha askari wake...
9 years ago
BBCSwahili28 Oct
Mwanariadha aliyetumia njia ya mkato Marathon
10 years ago
BBCSwahili24 Feb
Kilimanjaro Marathon yanukia
10 years ago
TheCitizen19 Feb
Chikawe to flag off Kilimanjaro Marathon
5 years ago
CCM BlogKILIMANJARO MARATHON YAWAONYA WADANGANYIFU
Waandaaji wa mbio za Kilimanjaro Premium Lager Marathon 2020 wametoa onyo kalikwa washiriki wanaopanga kutumia njia za udanganyifu kushiriki mbio hizo kwa lengo la kujipatia medali na zawadi nyingine.
Taarifa...