Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanariadha aliyetumia njia ya mkato Marathon

Mwanamume mmoja nchini Kenya amegonga vichwa vya habari nchini humo kimataifa na pia kuwa mada kwenye mitandao ya kijamii baada yake kudaiwa kutumia njia ya mkato akitaka kudai ushindi mbio za Marathon.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wachezaji wetu wa njia ya mkato!

Hakuna mtoto wa waziri anayecheza soka, hakuna mtoto wa mwanasheria au mfanyakazi wa benki anayecheza soka. Soka inachezwa na watu wanaotoka kwenye familia ambazo hazina maisha mazuri na hilo ndiyo daraja la kuelekea maisha mazuri.

 

9 years ago

Mwananchi

NANCY : Hakuna njia ya Mkato katika mafanikio

Hakuna njia rahisi kufikia mafanikio Kuelekea uchaguzi mkuu, Tanzania imeshuhudia mabadiliko mbalimbali kisiasa, kijamii na hata kiuchumi. Hadhi ya mwanamke katika nyanja hizo zote, imeonekana wazi kupanda tofauti na ilivyokuwa miaka ya nyuma.

 

10 years ago

Mwananchi

Tuelewe hakuna njia ya mkato katika maisha

Maisha ni safari moja ndefu yenye kila aina ya changamoto ambazo mwanadamu anakabiliana nazo.

 

10 years ago

Bongo5

Unataka kufanikiwa? Hakuna njia ya mkato katika mafanikio

Je huu ni ukweli kwamba hakuna njia ya mkato kuelekea mafanikio? Inawezekana unasema ‘Awali hujui mambo yanayoendelea na utabakia hivyo hivyo’. Kuna kitu nimeendelea kujifunza kwa watu matajiri wanaochipukia kwenye Forbes magazine na kwingineko. Siku chache zilizopita katika Kongamano fulani ambako Mjasiriamali wa Kenya Julian Kyula na Heshan De Silva waliongea kutokana na uzoefu na […]

 

10 years ago

Michuzi

Njia Kilimanjaro Marathon 2015 zatangazwa

Mbio za Kilimanjaro Marathon 2015 zitafanyika kwenye njia ile ile iliyotumika mwaka jana baada ya kupimwa na kuidhinishwa na shirikisho la riadha duniani. Njia hiyo ni mzunguko na imelenga kuwafanya wanariadha wakimie kwa raha na usalama zaidi bila tatizo la msongamano barabarani.
Akizungumzia njia hiyo Mkurugenzi wa Kilimanjaro Marathon, John Bayo amesema “Ni njia nzuri sana. Mbio za Full marathon zitaanzia uwanja wa Ushirika na kwenda kilomita kumi njia ya kuelekea Dar es salaam na kurudia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kilimanjaro Marathon yatangaza njia mpya

WAANDAAJI wa Kilimanjaro Marathon wametangaza njia mpya zitakazotumika mwaka huu, ikiwa ni hatua nyingine muhimu katika mafanikio ya mbio hizo ambazo zinaingia mwaka wa 12 tangu kuanzishwa. Njia hizo mpya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Njia za Kilimanjaro Marathon Tanzania zapimwa

Shirikisho la Riadha duniani na Chama Cha kimataifa cha mbio ndefu na fupi wamepima na kupitisha njia kwa mbio za Kilimanjaro Marathon.

 

9 years ago

BBCSwahili

Aliyetumia utajiri kukwepa jela akamatwa Mexico

Marekani ambaye anadaiwa kukwepa jela baada ya kuua watu wanne alipokuwa akiendesha gari akiwa mlevi amekamatwa nchini Mexico.

 

5 years ago

Michuzi

ISAAC NEWTON; PROFESA ALIYETUMIA VYEMA MUDA WAKATI WA JANGA LA TAUNI KUGUNDUA NADHARIA ZA KISAYANSI


 Leandra Gabriel, Michuzi TV
MWAKA 1665 kulitokea mlipuko wa ugonjwa wa Tauni uliojulikana zaidi kama "Black Death" nchini Uingereza hali iliyopelekea shule, vyuo na huduma mbalimbali za kijamii kuzuiliwa kwa muda kwa lengo la kupunguza kasi ya maambukizi ya Tauni kama inavyofanyika sasa ambapo dunia inakabiliwa na mlipuko wa virusi vya Corona (Covid-19.)
Wakati huo Isaac Newton alikuwa mwanafunzi Chuo Kikuu Cambridge na hakuwa Profesa na alilazimika  kurudi nyumbani kati ya mwaka 1665...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani