Mwanariadha aliyetumia njia ya mkato Marathon
Mwanamume mmoja nchini Kenya amegonga vichwa vya habari nchini humo kimataifa na pia kuwa mada kwenye mitandao ya kijamii baada yake kudaiwa kutumia njia ya mkato akitaka kudai ushindi mbio za Marathon.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi06 Oct
Wachezaji wetu wa njia ya mkato!
Hakuna mtoto wa waziri anayecheza soka, hakuna mtoto wa mwanasheria au mfanyakazi wa benki anayecheza soka. Soka inachezwa na watu wanaotoka kwenye familia ambazo hazina maisha mazuri na hilo ndiyo daraja la kuelekea maisha mazuri.
9 years ago
Mwananchi06 Sep
NANCY : Hakuna njia ya Mkato katika mafanikio
Hakuna njia rahisi kufikia mafanikio Kuelekea uchaguzi mkuu, Tanzania imeshuhudia mabadiliko mbalimbali kisiasa, kijamii na hata kiuchumi. Hadhi ya mwanamke katika nyanja hizo zote, imeonekana wazi kupanda tofauti na ilivyokuwa miaka ya nyuma.
10 years ago
Mwananchi23 Sep
Tuelewe hakuna njia ya mkato katika maisha
Maisha ni safari moja ndefu yenye kila aina ya changamoto ambazo mwanadamu anakabiliana nazo.
10 years ago
Bongo512 Sep
Unataka kufanikiwa? Hakuna njia ya mkato katika mafanikio
Je huu ni ukweli kwamba hakuna njia ya mkato kuelekea mafanikio? Inawezekana unasema ‘Awali hujui mambo yanayoendelea na utabakia hivyo hivyo’. Kuna kitu nimeendelea kujifunza kwa watu matajiri wanaochipukia kwenye Forbes magazine na kwingineko. Siku chache zilizopita katika Kongamano fulani ambako Mjasiriamali wa Kenya Julian Kyula na Heshan De Silva waliongea kutokana na uzoefu na […]
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-aWyJKPi6nYs/VOHESDxtMzI/AAAAAAAHD8g/cG4kTHko7Ao/s72-c/killiLogoNew.jpg)
Njia Kilimanjaro Marathon 2015 zatangazwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-aWyJKPi6nYs/VOHESDxtMzI/AAAAAAAHD8g/cG4kTHko7Ao/s1600/killiLogoNew.jpg)
Akizungumzia njia hiyo Mkurugenzi wa Kilimanjaro Marathon, John Bayo amesema “Ni njia nzuri sana. Mbio za Full marathon zitaanzia uwanja wa Ushirika na kwenda kilomita kumi njia ya kuelekea Dar es salaam na kurudia...
11 years ago
Tanzania Daima17 Feb
Kilimanjaro Marathon yatangaza njia mpya
WAANDAAJI wa Kilimanjaro Marathon wametangaza njia mpya zitakazotumika mwaka huu, ikiwa ni hatua nyingine muhimu katika mafanikio ya mbio hizo ambazo zinaingia mwaka wa 12 tangu kuanzishwa. Njia hizo mpya...
10 years ago
BBCSwahili16 Feb
Njia za Kilimanjaro Marathon Tanzania zapimwa
Shirikisho la Riadha duniani na Chama Cha kimataifa cha mbio ndefu na fupi wamepima na kupitisha njia kwa mbio za Kilimanjaro Marathon.
9 years ago
BBCSwahili29 Dec
Aliyetumia utajiri kukwepa jela akamatwa Mexico
Marekani ambaye anadaiwa kukwepa jela baada ya kuua watu wanne alipokuwa akiendesha gari akiwa mlevi amekamatwa nchini Mexico.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Xrh8yI_wRvY/XpAXiykiMeI/AAAAAAALmtU/llzGrJ0VfZolgZgemmYs1BnrwzKsH245QCLcBGAsYHQ/s72-c/Budin-Newton.jpg)
ISAAC NEWTON; PROFESA ALIYETUMIA VYEMA MUDA WAKATI WA JANGA LA TAUNI KUGUNDUA NADHARIA ZA KISAYANSI
Leandra Gabriel, Michuzi TV
MWAKA 1665 kulitokea mlipuko wa ugonjwa wa Tauni uliojulikana zaidi kama "Black Death" nchini Uingereza hali iliyopelekea shule, vyuo na huduma mbalimbali za kijamii kuzuiliwa kwa muda kwa lengo la kupunguza kasi ya maambukizi ya Tauni kama inavyofanyika sasa ambapo dunia inakabiliwa na mlipuko wa virusi vya Corona (Covid-19.)
Wakati huo Isaac Newton alikuwa mwanafunzi Chuo Kikuu Cambridge na hakuwa Profesa na alilazimika kurudi nyumbani kati ya mwaka 1665...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania