Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tuelewe hakuna njia ya mkato katika maisha

Maisha ni safari moja ndefu yenye kila aina ya changamoto ambazo mwanadamu anakabiliana nazo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

NANCY : Hakuna njia ya Mkato katika mafanikio

Hakuna njia rahisi kufikia mafanikio Kuelekea uchaguzi mkuu, Tanzania imeshuhudia mabadiliko mbalimbali kisiasa, kijamii na hata kiuchumi. Hadhi ya mwanamke katika nyanja hizo zote, imeonekana wazi kupanda tofauti na ilivyokuwa miaka ya nyuma.

 

10 years ago

Bongo5

Unataka kufanikiwa? Hakuna njia ya mkato katika mafanikio

Je huu ni ukweli kwamba hakuna njia ya mkato kuelekea mafanikio? Inawezekana unasema ‘Awali hujui mambo yanayoendelea na utabakia hivyo hivyo’. Kuna kitu nimeendelea kujifunza kwa watu matajiri wanaochipukia kwenye Forbes magazine na kwingineko. Siku chache zilizopita katika Kongamano fulani ambako Mjasiriamali wa Kenya Julian Kyula na Heshan De Silva waliongea kutokana na uzoefu na […]

 

10 years ago

Mwananchi

Wachezaji wetu wa njia ya mkato!

Hakuna mtoto wa waziri anayecheza soka, hakuna mtoto wa mwanasheria au mfanyakazi wa benki anayecheza soka. Soka inachezwa na watu wanaotoka kwenye familia ambazo hazina maisha mazuri na hilo ndiyo daraja la kuelekea maisha mazuri.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanariadha aliyetumia njia ya mkato Marathon

Mwanamume mmoja nchini Kenya amegonga vichwa vya habari nchini humo kimataifa na pia kuwa mada kwenye mitandao ya kijamii baada yake kudaiwa kutumia njia ya mkato akitaka kudai ushindi mbio za Marathon.

 

11 years ago

Mwananchi

Askofu awataka vijana kuacha ndoto za maisha ya mkato

>Askofu Msaidizi wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Titus Mdoe amewataka vijana nchini, kuhakikisha wanapata elimu bora itakayowawezesha kufanikisha ndoto zao kwa njia zisizo za mashaka.

 

9 years ago

StarTV

Sheikh mkuu asema hakuna Mtanzania aliyepoteza maisha

Wakati watanzania wakisubiri kwa hamu taarifa za watanzania  waliokwenda kuhiji Saud Sheikh Mkuu wa Tanzania Abubakari Zuberi amesema hakuna Mtanzania yoyote aliyesadikiwa kufariki dunia wala kujeruhiwa kwenye tukio lililohusisha vifo vya watu 107 baada ya Winchi kuangukia msikiti mtukufu wa Makka nchini Saud Arabia.

Akitoa Taarifa hiyo jijini Dar es Salaam, Sheikh Zuberi, amesema tangu kutolewa kwa taarifa hiyo kumekuwepo na wasiwasi mkubwa kutoka kwa wananchi wanaotaka kujua usalama wa...

 

10 years ago

Michuzi

NEWZZ ALERT:AJALI YA BASI BWAWANI LIKIELEKEA MKOANI MBEYA,HAKUNA ALIYEPOTEZA MAISHA.

 Pichani ni basi aina ya Costa likitoka Dar es Salaam kuelekea Mbeya limepata ajali na kupinduka kama lionekavyo pichani juu baada ya kuyumba na kuacha njia eneo la Bwawani muda wa saa 12.30 jana jioni . Kuna majeruhi kadhaa ambao wanapatiwa matibabu katika kituo cha Afya cha Magereza ya Bwawani. Chanzo cha ajali kinasadikiwa kuwa ni mwendo kasi na utelezi kutokana na mvua iliyokuwa inanyesha wakati huo.Chanzo Mdau wa Blog ya Jamii.

 

11 years ago

GPL

UKICHEPUKA MARA MOJA, INAWEZA KUYAGHARIMU MAISHA YAKO HAKIKISHAHUBANDUKI NJIA KUU

Jumanne iliyopita (Aprili 22), niliandika ujumbe katika akaunti zangu za mitandao ya kijamii, Facebook (Luqman Maloto), Twitter (@luqmanmaloto) na instagram (@LuqmanMaloto) wenye lengo la kushauri marafiki zangu kuheshimu mapenzi wanayopata kutoka kwa wenzi wao. Niliandika: “Kabla hujamfanyia vitimbi mwenzi wako. Kabla hujachepuka, ukamsaliti na kumsababishia maumivu makali ya moyo pamoja na usumbufu usiomithilika katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani