Kilimanjaro Marathon Tanzania kumekucha
Wanariadha kutoka za Kenya na Uganda wanategemewa kuwasili Moshi Kaskazini mwa Tanzania kushiriki mbio za Kili Marathon.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili16 Feb
Njia za Kilimanjaro Marathon Tanzania zapimwa
Shirikisho la Riadha duniani na Chama Cha kimataifa cha mbio ndefu na fupi wamepima na kupitisha njia kwa mbio za Kilimanjaro Marathon.
10 years ago
BBCSwahili01 Feb
Kilimanjaro Marathon yavutia watalii Tanzania
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama amesema michuano ya kimataifa ya Kilimanjaro Marathon inasaidia kunyanyua uchumi wa mkoa huo uliopo Kaskazini mwa Tanzania
9 years ago
Dewji Blog19 Nov
Kampuni ya simu ya Tigo Tanzania yatoa TSH. Milioni 200 kudhamini Kilimanjaro Marathon 2016!
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-onLCYNUgrQg/VaPH7Io5R8I/AAAAAAAANwM/Y1tFwFZbMbw/s72-c/DSC_0032.jpg)
KUMEKUCHA MISS KILIMANJARO AMBASSADOR 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-onLCYNUgrQg/VaPH7Io5R8I/AAAAAAAANwM/Y1tFwFZbMbw/s640/DSC_0032.jpg)
Warembo wanaowania taji hilo wako kambini kwa sasa wakinolewa vilivyo ikiwa ni maandalizi ya fainali za shindano hilo litakalofanyika julai 24 katika ukumbi Kili Home mjini Moshi.
Habari za kuamianika toka kamati ya maandalizi imesema kuwa kamati imejipanga kisawasawa kuhakikisha wanakidhi kiu ya wapenzi wa tasnia ya urembo katika mikoa ya...
10 years ago
BBCSwahili24 Feb
Kilimanjaro Marathon yanukia
Wakimbiaji mashuhuri kutoka Kenya, Uganda na kwingine barani Afrika, Ulaya, America na Asia wanategemewa kuchuana katika mbio za kimataifa za Kili Marathon Kaskazini mwa Tanzani.
9 years ago
TheCitizen14 Dec
Gapco ventures again in Kilimanjaro Marathon
Preparations for the prestigious Kilimanjaro Marathon 2016 are in full swing as local and foreign runners are gearing up for the event to be held under the wings of Mount Kilimanjaro, the highest free-standing mountain.
5 years ago
CCM BlogKILIMANJARO MARATHON YAWAONYA WADANGANYIFU
Waandaaji wa mbio za Kilimanjaro Premium Lager Marathon 2020 wametoa onyo kalikwa washiriki wanaopanga kutumia njia za udanganyifu kushiriki mbio hizo kwa lengo la kujipatia medali na zawadi nyingine.
Taarifa...
10 years ago
TheCitizen19 Feb
Chikawe to flag off Kilimanjaro Marathon
Minister for Home Affairs Mathias Chikawe will flag off the 13th edition of the Kilimanjaro Marathon expected to take place in Moshi on March 1.
11 years ago
MichuziWAKENYA WAENDELEA KUTESA KILIMANJARO MARATHON
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii, Moshi.
MWANARIADHA wa Kitanzania, Jackline Sakilu jana aliibuka shujaa katika mashindano ya mbio ndefu za kimataifa za Kilimanjaro Premium Lager Marathon 2014, baada ya kuibuka mshindi katika mashindano ya kilomita 21, (nusu marathon), kwa upande wa wanawake.
Katika mbio hizo zilizofanyika mjini Moshi,Sakilu ambaye ni afisa wa jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ) amefanikiwa kuvunja rekodi iliyowekwa na mshindi wa kwanza wa mwaka jana ,Sara Ramadhan ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania