Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kilimanjaro Marathon Tanzania kumekucha

Wanariadha kutoka za Kenya na Uganda wanategemewa kuwasili Moshi Kaskazini mwa Tanzania kushiriki mbio za Kili Marathon.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Njia za Kilimanjaro Marathon Tanzania zapimwa

Shirikisho la Riadha duniani na Chama Cha kimataifa cha mbio ndefu na fupi wamepima na kupitisha njia kwa mbio za Kilimanjaro Marathon.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kilimanjaro Marathon yavutia watalii Tanzania

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama amesema michuano ya kimataifa ya Kilimanjaro Marathon inasaidia kunyanyua uchumi wa mkoa huo uliopo Kaskazini mwa Tanzania

 

9 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya simu ya Tigo Tanzania yatoa TSH. Milioni 200 kudhamini Kilimanjaro Marathon 2016!

 Meneja Mawasiliano wa  Kampuni ya Tigo, John Wanyancha akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani), katika hafla ya kuzindua msimu mpya wa mbio za Kilimanjaro Marathon 2016. Tigo wametoa zaidi ya shilingi milioni 200 kwa ajili ya mbio hizo.  Mkurugenzi Msaidizi wa Michezo Wizara ya Habari Vijana, Utamaduni na Michezo, Alex Nkenyenge (wa tatu kulia), pamoja na wadhamini wa Kilimanjaro Marathon 2016, wakifyatua fataki za karatasi ikiwa ni ishara ya kuzindua maandalizi ya mbio hizo Dar...

 

10 years ago

Michuzi

KUMEKUCHA MISS KILIMANJARO AMBASSADOR 2015

Shindano la Miss Kilimanjoro Ambassador 2015 limepamba moto kwa kuchukua sura mpya kwenye vyombo vya habari likiwa na mvuto wa aina yake.

Warembo wanaowania taji hilo wako kambini kwa sasa wakinolewa vilivyo ikiwa ni maandalizi ya fainali za shindano hilo litakalofanyika julai 24 katika ukumbi Kili Home mjini Moshi.

Habari za kuamianika toka kamati ya maandalizi imesema kuwa kamati imejipanga kisawasawa kuhakikisha wanakidhi kiu ya wapenzi wa tasnia ya urembo katika mikoa ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kilimanjaro Marathon yanukia

Wakimbiaji mashuhuri kutoka Kenya, Uganda na kwingine barani Afrika, Ulaya, America na Asia wanategemewa kuchuana katika mbio za kimataifa za Kili Marathon Kaskazini mwa Tanzani.

 

9 years ago

TheCitizen

Gapco ventures again in Kilimanjaro Marathon

Preparations for the prestigious Kilimanjaro Marathon 2016 are in full swing as local and foreign runners are gearing up for the event to be held under the wings of Mount Kilimanjaro, the highest free-standing mountain.

 

5 years ago

CCM Blog

KILIMANJARO MARATHON YAWAONYA WADANGANYIFU

 Wakazi wa Dar es Salaam wakichukua namba za kukimbilia kwa ajili yam bio za KM 42 za Kilimanjaro Premium Lager na Km 21 za Tigo na kujiandikisha kwa mbio za Km 5 za Grand Malt katika viwanja vya Mlimani City mwishoni mwa wiki. Zoezi hilo litahamia Arusha kesho Jumanne na Jumatano.





 Waandaaji wa mbio za Kilimanjaro Premium Lager Marathon 2020 wametoa onyo kalikwa washiriki wanaopanga kutumia njia za udanganyifu kushiriki mbio hizo kwa lengo la kujipatia medali na zawadi nyingine.

Taarifa...

 

10 years ago

TheCitizen

Chikawe to flag off Kilimanjaro Marathon

Minister for Home Affairs Mathias Chikawe will flag off the 13th edition of the Kilimanjaro Marathon expected to take place in Moshi on March 1.

 

11 years ago

Michuzi

WAKENYA WAENDELEA KUTESA KILIMANJARO MARATHON

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii, Moshi.   MWANARIADHA wa Kitanzania, Jackline Sakilu jana aliibuka shujaa katika mashindano ya mbio ndefu za kimataifa za Kilimanjaro Premium Lager Marathon 2014, baada ya kuibuka mshindi katika mashindano ya kilomita 21, (nusu marathon), kwa upande wa wanawake.   Katika mbio hizo zilizofanyika mjini Moshi,Sakilu ambaye ni afisa wa jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ) amefanikiwa kuvunja rekodi iliyowekwa na mshindi wa kwanza wa mwaka jana ,Sara Ramadhan ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani