Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kilimo cha alizeti na faida zake

ALIZETI ni miongoni mwa mazao yanayotoa mbegu za mafuta. Kwa matumizi mengine, hutumika kama chakula cha mifugo. Mashuddu yake yanarutubisha sana kiafya mifugo, ikilinganishwa na utengenezaji wa mafuta ya kula...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Wakulima Zanzibar furahia kilimo cha Alizeti.

Na Abdalla Pandu, Zanzibar.

 

 

Wakulima visiwani Zanzibar wameonesha furaha yao baada ya kufanikiwa katika kilimo kipya cha Alizeti ambacho kinaaminika kitakuwa mkombozi kwao na Taifa kwa ujumla kutokana na muda mrefu kutegemea zaidi zao la Karafuu na Nazi kama mazao makuu ya biashara.

 

Zao la Alizeti kwa Zanzibar limeonekana likinawiri kwa kiwango kikubwa hatua inayowajengea matumaini ya kuinua kipato cha wakulima hali ambayo itawawezesha kukabiliana na umasikini.

 

Licha ya faraja...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI KAIRUKI ARIDHISHWA NA UWEKEZAJI WA KIWANDA CHA MAFUTA YA ALIZETI CHA MAGID – KONDOA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe. Angellah Kairuki akitoa maelekezo ya ufuatiliaji kwa Meneja wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania Kanda ya Kati Bw. Revocatus Rasheli wakati wa ziara ya kukagua kiwanda hicho cha kuzalisha mafuta ya alizeti cha MAGIN Ltd Kilichopo Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma iliyofanyika Mei 21, 2020. Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe. Angellah Kairuki akitoa majumuisho wakati akihitimisha ziara yake leo Mei 21, 2020...

 

5 years ago

Michuzi

WANANCHI WASHAURIWA KULIMA KILIMO CHA MATONE BADALA YA KILIMO CHA MAZOEA KINACHOHARIBU MAZINGIRA


 Na Pamela Mollel, Arusha.

KUELEKEA kilele Cha maadhimisho ya siku ya Mazingira Duniani ambayo hufanyika Juni 5  ya kila mwaka wananchi wameshauriwa kulima kilimo cha matone badala ya kilimo cha mazoea ambacho kimekuwa kikiharibu mmomonyoko wa ardhi na kusabisha uharibifu wa mazingira

Hayo yameelezwa leo Juni 4,2020 na Meneja wa NEMC Kanda ya Kaskazini Lweis Nzali alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari ambapo amewaomba kutumia vyombo vya habari kuelimisha wananchi kuhusu matumizi ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Matunda na faida zake mwilini

AFRIKA imejaaliwa mimea, madini, rutuba na hali ya hewa safi, ikiwa ni urithi tangu enzi na enzi. Pamoja na bara hili kujaa vyakula vyote vinavyohitajika na wanadamu, bado uhai wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tamasha la Pasaka na faida zake 10

KAMPUNI ya Msama Promotions imeanza harakati za maandalizi ya Tamasha la Pasaka la mwaka huu, likifanyika kwa mara ya 14 tangu kuasisiwa kwake mwaka 2000, likibeba malengo 10, kubwa likiwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Yajue mazoezi ya kutembea na faida zake

Mtindo wa maisha unawafanya wengi kutumia magari au usafiri wa aina nyingine hata katika eneo la umbali mfupi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Apple kidedea katika faida zake

Kampuni ya kutengeza vifaa vya elektroniki, Apple, imetangaza kupata faida ya dola bilioni 18.8 katika kipindi cha miezi minne ya mwisho mwaka jana na kuifanya kuwa kampuni ya umma iliyopata faida kubwa zaidi duniani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Urasimishaji biashara na faida zake kiuchumi

UCHUMI wa Tanzania umeelezwa kuimarika huku pato laifa likikuwa kwa asilimia 7, lakini ukuaji huo hauna matokeo chanya kwa mwananchi. Moja ya sababu kubwa ni kwamba watu wengi hawajarasimisha rasilimali...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Uwekezaji UTT AMIS na faida zake

WATANZANIA wengi wamepata mwamko wa kuwekeza fedha zao katika biashara mbalimbali lengo likiwa ni kujiongezea kipato na pia kuiongezea thamani fedha yao katika mzunguko. Katika makala haya, Mwandishi Wetu amefanya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani