Kilimo cha alizeti na faida zake
ALIZETI ni miongoni mwa mazao yanayotoa mbegu za mafuta. Kwa matumizi mengine, hutumika kama chakula cha mifugo. Mashuddu yake yanarutubisha sana kiafya mifugo, ikilinganishwa na utengenezaji wa mafuta ya kula...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV02 Dec
Wakulima Zanzibar furahia kilimo cha Alizeti.
Na Abdalla Pandu, Zanzibar.
Wakulima visiwani Zanzibar wameonesha furaha yao baada ya kufanikiwa katika kilimo kipya cha Alizeti ambacho kinaaminika kitakuwa mkombozi kwao na Taifa kwa ujumla kutokana na muda mrefu kutegemea zaidi zao la Karafuu na Nazi kama mazao makuu ya biashara.
Zao la Alizeti kwa Zanzibar limeonekana likinawiri kwa kiwango kikubwa hatua inayowajengea matumaini ya kuinua kipato cha wakulima hali ambayo itawawezesha kukabiliana na umasikini.
Licha ya faraja...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yA8POHFdISI/XsdrCHaEeSI/AAAAAAALrPM/dC7MnS-t2AQL-XMel4WzVuuUEKHjd5oYACLcBGAsYHQ/s72-c/N2.jpg)
WAZIRI KAIRUKI ARIDHISHWA NA UWEKEZAJI WA KIWANDA CHA MAFUTA YA ALIZETI CHA MAGID – KONDOA
![](https://1.bp.blogspot.com/-yA8POHFdISI/XsdrCHaEeSI/AAAAAAALrPM/dC7MnS-t2AQL-XMel4WzVuuUEKHjd5oYACLcBGAsYHQ/s1600/N2.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/N5.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-A9JNWBLu2bc/XtjetbaDUTI/AAAAAAALsms/oPT1AWznw0csjjgGVQ_aXzjQ6BtxpeknwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200604-WA0078.jpg)
WANANCHI WASHAURIWA KULIMA KILIMO CHA MATONE BADALA YA KILIMO CHA MAZOEA KINACHOHARIBU MAZINGIRA
Na Pamela Mollel, Arusha.
KUELEKEA kilele Cha maadhimisho ya siku ya Mazingira Duniani ambayo hufanyika Juni 5 ya kila mwaka wananchi wameshauriwa kulima kilimo cha matone badala ya kilimo cha mazoea ambacho kimekuwa kikiharibu mmomonyoko wa ardhi na kusabisha uharibifu wa mazingira
Hayo yameelezwa leo Juni 4,2020 na Meneja wa NEMC Kanda ya Kaskazini Lweis Nzali alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari ambapo amewaomba kutumia vyombo vya habari kuelimisha wananchi kuhusu matumizi ya...
11 years ago
Tanzania Daima03 Apr
Matunda na faida zake mwilini
AFRIKA imejaaliwa mimea, madini, rutuba na hali ya hewa safi, ikiwa ni urithi tangu enzi na enzi. Pamoja na bara hili kujaa vyakula vyote vinavyohitajika na wanadamu, bado uhai wa...
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
Tamasha la Pasaka na faida zake 10
KAMPUNI ya Msama Promotions imeanza harakati za maandalizi ya Tamasha la Pasaka la mwaka huu, likifanyika kwa mara ya 14 tangu kuasisiwa kwake mwaka 2000, likibeba malengo 10, kubwa likiwa...
11 years ago
Mwananchi13 Dec
Yajue mazoezi ya kutembea na faida zake
10 years ago
BBCSwahili28 Jan
Apple kidedea katika faida zake
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Urasimishaji biashara na faida zake kiuchumi
UCHUMI wa Tanzania umeelezwa kuimarika huku pato laifa likikuwa kwa asilimia 7, lakini ukuaji huo hauna matokeo chanya kwa mwananchi. Moja ya sababu kubwa ni kwamba watu wengi hawajarasimisha rasilimali...
10 years ago
Tanzania Daima07 Oct
Uwekezaji UTT AMIS na faida zake
WATANZANIA wengi wamepata mwamko wa kuwekeza fedha zao katika biashara mbalimbali lengo likiwa ni kujiongezea kipato na pia kuiongezea thamani fedha yao katika mzunguko. Katika makala haya, Mwandishi Wetu amefanya...