Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kinana ataja kiini migogoro ya ardhi nchini

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman KinanaKATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amesema matatizo ya migogoro ya ardhi katika ya hifadhi za wanyama na wananchi, yanatokana na sheria zake nyingi kupitwa na wakati na ndio chanzo kikubwa cha migogoro.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Kamati ya Bunge yaeleza kiini cha migogoro ya ardhi

Lembeli JamesKAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira imesema ni vijiji 1,000 tu kati ya 11,000 vilivyopo nchini ndivyo vyenye mpango wa matumizi bora ya ardhi jambo linalosababisha kuwapo kwa migogoro ya ardhi.

 

10 years ago

Habarileo

Kinana aibana serikali vifo migogoro ya ardhi

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman KinanaKATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana ametaka viongozi wote wa serikali waliozembea na kusababisha kuendelea kutokea kwa mauji baina ya wakulima na wafugaji wilayani Kiteto kuwajibika haraka.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Migogoro ya ardhi nchini itamalizika lini?

NI ukweli ulio wazi kabisa kuwa ardhi ndiyo rasilimali mama. Bila ardhi shughuli zote za maendeleo za mwanadamu na hata uhai wake pamoja na viumbe hai vingine vyote haviwezi kuishi....

 

5 years ago

CCM Blog

OFISI ZA ARDHI ZA MIKOA ZATAKIWA KUWA NA DAFTARI LA MIGOGORO YA ARDHI

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akikata utepe ikiwa ni ishara ya kuzindua ofisi ya ardhi ya mkoa wa Manyara jana. Kulia ni Mkuu wa mkoa wa Manyara Alexzander Mnyeti na kushoto ni Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Mary Makondo. Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akioongozwa na Kamishna Msaidizi wa Ofisi ya Ardhi mkoa wa Manyara Leonard Msafiri (kushoto) wakati wa uzinduzi wa ofisi ya ardhi ya mkoa huo jana. Kulia ni Mkuu wa mkoa wa Manyara...

 

5 years ago

Michuzi

Migogoro ya ardhi kaa la Moto,Kufunguliwa ofisi za ardhi mikoani kuleta ahueni

Na Amiri kilagalila,Njombe Wananchi mkoani Njombe wamelalamikia kuchelewa kusikilizwa kwa Mashauri ya migogoro ya ardhi na kupelekea kuwaathiri kiuchumi wakati wakiendelea kufuatilia mashauri yanayosikilizwa na baraza ya ardhi. Hayo yamebainishwa na baadhi ya wananchi wanaofika katika mabaraza ya ardhi yanayosuluhisha migogoro ya ardhi mkoani Njombe ambapo miongoni mwao akiwemo Remigius Ilomo na Geofrey Msambwa wamezungumzia kero wanayoipata na Kwamba Kumekuwa Kukiwaongezea Gharama kubwa...

 

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI WA ARDHI WILLIAM LUKUVI AFANYA ZIARA MKOANI IRINGA KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI

 Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mh. William Vangimembe Lukuvi akiongea na wananchi waliojitokeza kuwasilisha kero zao katika ukumbi wa Siasa ni Kilimo mkoani Iringa. Alisisitiza kuwa Mkoa wa Iringa uharakishe kupima ardhi ya wananchi ili kupunguza migogoro ya ardhi. Sehemu ya umati wa wananchi wa Mkoa wa Iringa wakimsikiliza Waziri Lukuvi aliposikiliza kero zao katika ukumbi wa Siasa ni Kilimo Manispaa ya Iringa.


...

 

10 years ago

Habarileo

Tibaijuka ataja sababu migogoro wafugaji, wakulima

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka amesema migogoro ya ardhi iliyopo nchini baina ya wakulima na wafugaji, inasababishwa na ufinyu wa mitaji na teknolojia katika kuendeleza ardhi hiyo.

 

10 years ago

Mtanzania

Shilole ataja chanzo cha migogoro na Nuh

shilole-na-nuhu-mziwandaNA ZAINAB IDDY, DAR ES SALAAM
MSANII wa muziki na mwigizaji wa filamu za Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, ameamua kuweka wazi chanzo cha migogoro yake na mumewe mtarajiwa, Nuh Mziwanda kuwa ni marafiki.
Shilole alidai kuwa mara nyingi wamekuwa wakigombana, lakini chanzo kikiwa ni maneno ya uchonganishi kutoka kwa marafiki zao wa karibu ambao wana lengo la kuwatenganisha.
Mwanadada huyo alidai kutokana na hali hiyo, hivi sasa ameamua kutowahusisha suala lolote linalohusu maisha yake ili...

 

10 years ago

Bongo Movies

Shilole Ataja Chanzo cha Migogoro na Nuh Mziwanda

Mwanamziki na mwigizaji wa filamu za Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, ameamua kuweka wazi chanzo cha migogoro yake na mumewe mtarajiwa, Nuh Mziwanda kuwa ni marafiki.

Shilole alidai kuwa mara nyingi wamekuwa wakigombana, lakini chanzo kikiwa ni maneno ya uchonganishi kutoka kwa marafiki zao wa karibu ambao wana lengo la kuwatenganisha.
Mwanadada huyo alidai kutokana na hali hiyo, hivi sasa ameamua kutowahusisha suala lolote linalohusu maisha yake ili kupunguza migogoro ya mara kwa mara...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani