Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KINANA AWAAMBIA VIJANA ZANZIBAR TUNATEGEMEANA


Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

KINANA AWASHA MOTO IGUNGA,AWAMWAGIA SIFA LUKUKI VIONGOZI VIJANA WA WILAYA HIYO KWA UBUNIFU WA MIRADI YA VIJANA YA KUJIKWAMUA NA UMASKINI


Katibu MKuu wa CCM,Ndugu Kinana akikata utepe kuashiria uzinduzi wa wakala wa uuzaji wa matrekta kwa wanavikundi,yanayouzwa na Vijana SACCOS LTD,ya Igunga,inayojumuisha vikundi mbalimbali vya wilaya hiyo,wakati wa ziara yake ya kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa na serikali pamoja na wananchi wilayani humo,Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Igunga,Mh.Elibariki Kingu. Ndugu Kinana akiwasha moja ya trekta mara baada ya kuuzindua uwakala wa zana za kilimo wa Vijana SACCOS LTD wilayani...

 

11 years ago

Mwananchi

Tunategemeana, tuache vita

Dunia sasa imegeuka kijiji, utandawazi ndiyo sera inayoendesha ulimwengu. Soko huria ndilo linalotamba dunia nzima kuanzia Marekani, Uingereza, Tanzania mpaka China na kote duniani, kila mtu anapigania kuwa na mtandao wa marafiki, na marafiki wengi wa biashara, wengi wanapigania kujifunza tamaduni za wengine kwa kasi ili waweze kudumu katika hii dunia maana ndiyo sera inavyosema.

 

10 years ago

Vijimambo

Vijana wa CCM Zanzibar Waunga mkono hotuba ya Rais wa Zanzibar Dk Shein

Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar, Shaka Hamdu Shaka akiwahutubia mamia ya vijana baada ya kupokea matembezi ya mshikamano na kufanya mkutano wa hadhara kwenye vianja vya Magogoni Kwa Mabata mjini Zanzibar leo kwa ajili ya kupongeza hotuba ya Rais wa Zanzibar na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibr Dr. Ali Mohamed Shein aliyoitoa tarehe 12/1/2015 katika viwanja vya Amani mjini Zanzibar.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-ZANZIBAR) Umati wa vijana ukiwa kwenye mkutano huo uliofanyika kwenye...

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA ATAKA VIJANA WAPEWE FURSA

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasili kwenye uwanja wa Ruangwa Likangara tayari kuhutubia wakazi wa wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi. Wananchi wa Ruangwa wakionyesha furaha yao wakati wa kumkaribisha Katibu Mkuu wa CCM kwenye uwanja wa mkutano Ruangwa Likangara. Wananchi wa Ruangwa wakiwa na mabango yaliyobeba ujumbe wakati wa mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ambaye amekuwa mstari wa mbele katika kujenga na kukiimarisha chama,Katibu Mkuu wa CCM...

 

11 years ago

GPL

MKUTANO WA KINANA ZANZIBAR

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia mamia ya wananchi kwenye Viwanja vya Kibanda Maiti, mjini Zanzibar, Mei 4, 2014 kueleza kwa nini CCM inawataka Watanzania kuiunga mkono kuhusu msimamo wake wa kutaka Tanzania iendelee kuwa katika mfumo wa serikali mbili ndani ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar baada ya mchakato wa Katiba mpya. Mjane wa Muasisi wa Mapinduzi ya Zanzibar,… ...

 

10 years ago

Michuzi

KINANA NA NAPE WAONGOZA MAKUNDI YA VIJANA KUSHIRIKI JOGGING JIJINI MWANZA ASUBUHI HII.

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana pamoja na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wameongoza makundi ya vijana kutoka Shirikisho la Vyuo Vikuu pamoja na Machinga wa mjini Mwanza kukimbia mchakamchaka (jogging) kwa umbali wa zaidi ya kilometa 2,kuanzia Barabara ya Stesheni,kupitia barabara ya Posta,Kenyatta, Karuta,Lumumba maeneo ya Soko Kuu mpaka Stendi ya zamani Tanganyika.
Viongozi mbali mbali walishiriki mchakamchaka huo akiwemo Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Magessa...

 

10 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AWATAKA VIJANA WACHAPE KAZI NA SI KUKAA VIJIWENI.


 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiswaga Ng'ombe kuingia kwenye josho katika kijiji cha Nyakwasi, Nyang'hwale mkoani Geita.Kinana aliwapongeza wana kikundi cha Songambele kwa kupambana na magonjwa ya mifugo kwa kujenga josho la kisasa,Pia Ndugu Kinana aliwaasa Vijana kufanya kazi kwa bidii n,a kuacha kukaa vijiweni kupiga sogakwani hakuna njia ya mkato ya maisha,badala yake ni kufanya kazi kwa bidii ikiwemo suala zima la kujiletea maendeleo kama vile kujishughulisha na...

 

10 years ago

Mwananchi

Ziara ya Kinana Zanzibar yairejeshea CCM uhai

Ziara ya Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Abdulrahman Kinana akifuatana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye kisiwani Zanzibar imefufua matumaini ya wanachama wa chama hicho tawala.

 

11 years ago

Mwananchi

Jussa amjibu Kinana kuhusu Katiba ya Zanzibar

Siku chache baada ya Katibu Mkuu wa CCM Bara, Abdulrahman Kinana kutaka watu wajilaumu kwa Katiba ya Zanzibar, Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Ismail Jussa, amefananisha kauli hiyo na kuzika kichwa mchangani wakati mwili uko nje.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani