Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kinana: Tukishindwa wapinzani hawastahili lawama

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana amesema chama hicho kikishindwa uchaguzi wasilaumiwe wapinzani bali wajilaumu wanachama kutokana na matendo yao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kinana abeza maandamano ya wapinzani

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana amevishangaa vyama vya upinzani kwa kuendekeza maandamano na malumbano na Jeshi la Polisi badala ya kufanya kazi za kuwaletea maendeleo wananchi.

 

10 years ago

Vijimambo

ZIARA YA KINANA JIMBO LA LULINDI YAZOA WAPINZANI


 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasalimu wananchi wa kijiji cha Machombe ambapo alipita kukagua ujenzi wa Bwawa la maji litakalo saidia kaya 150 kata ya Marika jimbo la Lulindi wilaya ya Masasi mkoani Mtwara.
 Wananchi wa Kijiji cha Machombe wilaya ya Masasi mkoa wa Mtwara wakishangilia wakati wa mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana anayetembea nchi nzima kukagua miradi mbali mbali ambayo zilikuwa ahadi za CCM.
 Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman...

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA AZOA WAPINZANI KILA ANAPOTIA MGUU



 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa Jimbo la Newala Kepteni Goerge Mkuchika wakati wa mapokezi wilayani Newala.
 Wafanyakazi wakibangua korosho kwenye kiwanda cha Micronix Newala ambacho kilitembelewa na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ambaye yupo kwenye ziara ya kujenga na kuimarisha chama mkoani Mtwara
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kuchagua korosho na kuzitenga kutokana na ubora wa madaraja kwenye kiwanda cha Micronix...

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA : WAPINZANI WAMEKOSA SERA MBADALA NCHINI

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wananchi wa Milola jimbo la Mchinga ambapo aliwaambia wapinzani wamekosa sera mbadala matokeo yake wamekuwa wakitumia muda mwingi kuishambulia CCM Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Milola, wilaya ya Lindi Vijijini ambapo aliwaambia CCM imejipanga vizuri kuwashinda Upinzani kuanzi Serikali za mitaa
  Mbunge wa Jimbo la Mchinga Ndugu Said Mtanda akihutubia wakazi wa Milola ambapo aliwaambia asilimia kubwa...

 

10 years ago

Vijimambo

WAPINZANI WAKABIDHI KADI KWA KINANA TANGA MJINI


 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akivuka na kivuko cha MV.Pangani kuelekea Wilaya ya Tanga mjini ambapo anatazamiwa kukagua miradi mbali mbali na kushiriki ujenzi wa maendeleo,wengine pichani ni Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye (kushoto) na Mwenyekiti wa CCM Pangani Ndugu Hamis Mnegero.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na wananchi wa Pangani baada ya kuvuka na MV.Pangani
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wananchi...

 

10 years ago

Mwananchi

Wapinzani wakimdharau Kinana, CCM itashinda kirahisi 2015

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), amekamilisha awamu nyingine ya ziara zake mikoani. Katika awamu hii, alitumia siku 28 kutembelea mikoa ya Pwani, Tanga na Iringa.

 

10 years ago

Vijimambo

SIKU YA 29 YA ZIARA YA KINANA WAPINZANI WAZIDI KURUDI CCM


 Vitalu vya miche ya miti vinavyomilikiwa na Umoja wa Vikundi vya Kijamii wilaya ya Mufindi (UVIKIMU)
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kumwagia maji vitalu vya miche ya miti vinavyomilikiwa na Umoja wa Vikundi vya Kijamii wilaya ya Mufindi (UVIKIMU)
 Shamba la chai Ngwazi
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kuchuma chai pamoja na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye kwenye shamba la chai Ngwazi wilaya ya Mufindi.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu...

 

10 years ago

Mwananchi

Wapinzani wamuone Kinana kama Okwi anayepiga mashuti

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi, Abdulrahman Kinana ameishika nafasi hiyo tangu Novemba 2012. Kuanzia hapo hajapumzika wala kulala usingizi.

 

10 years ago

Dewji Blog

Komredi Kinana asababisha wapinzani lukuki kuhamia CCM Magu

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akipokea kadi za vyma vya upinzani kutoka kwa watu waliovihama vyama hivyo na kujiunga na CCM, katika mkutano wa hadhara akatika Mji wa Kisesa, wilayani Magu, mkoani Mwanza leo,wakati wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi pamoja na kusikiliza  kero za Wananchi na kuzitafutia ufumbuzi.Kushoto ni Katibu wa CCM Mkoa wa Mwanza, Miraji Mtaturu. Zaidi ya wapinzani 50 walijiunga papo hapo.

  Katibu Mkuu wa CCM,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani