Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kiongozi wa dhehebu la Shia ajiuzulu

Kiongozi wa Dhehebu la Shia nchini Iraq Mogtada al-Sadr ametoa taarifa akitangaza kujiuzulu kwake katika ulingo wa kisiasa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

DHEHEBU LA SHIA LATOA SEMINA KWA WANAHABARI

Imam wa msikiti wa Ghadir uliopo Kigogo Post, Hemed Jalala akiongea na wanahabari (hawapo pichani). VIONGOZI wa dhehebu la Shia wa Msikiti wa Ghadir uliopo Kigogo Post jijini Dar, leo wametoa semina kwa wanahabari kuhusu umuhimu na wajibu wao katika kuielimisha jamii. Akizungumza na wanahabari pamoja na baadhi ya wadau waliohudhuria katika semina hiyo, Imam wa msikiti huo, Hemed Jalala, amewataka wanahabari nchini kutotumika...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa Taleban huko Qatar ajiuzulu

Kiongozi wa ofisi ya kisiasa ya kundi la wapiganaji wa Taliban huko Qatar, amejiuzulu jambo linalothibitisha mgawanyiko ndani ya kundi hilo , kufuatia kifo cha kiongozi wao Mullah Omar.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wafuasi wa dhehebu wauawa Angola

Wanachama kadha wa dhebu moja lililojihami wameuawa kwenye mapigano na vikosi vya usalama nchini Angola.

 

11 years ago

Michuzi

WAUMINI WA DHEHEBU YA ORTHODOX WASHEREHEKEA SIKUKUU YA PASAKA.

Balozi wa Urusi anayefanyakazi hapa nchini  Alexander Rannikh  akiwa  na waumini wenzake wakipewa Baraka na Askofu  wa Dhehebu ya Orthodox  Askofu Dimitrios  wakati wa   Ibada ya Kusherehekea Sikukuu ya Pasaka iliyowashirikisha  Waumini mbalimbali  wakiwemo Watanzania,Wagiriki na Warusi.Ibada hiyo iliafanyika jijini Dar es Salaam.
Balozi wa Urusi anayefanyakazi hapa nchini  Alexander Rannikh akipewa Baraka na Askofu  wa Dhehebu ya Orthodox  Askofu Dimitrios  wakati wa   Ibada ya...

 

9 years ago

BBC

Mass graves for '300 Shia Nigerians'

Nigeria's military killed and quickly buried the bodies of at least 300 Shia Muslims in an unjustified attack in the northern Zaria city, Human Rights Watch says.

 

9 years ago

BBC

Nigerian Shia leader's wife 'killed'

Nigeria's main pro-Iranian Shia Muslim sect, the Islamic Movement in Nigeria, says its leader's wife has been killed in clashes with the military.

 

10 years ago

GPL

WAISLAMU WA MADHEHEBU YA SHIA WAFANYA MAANDAMANO LEO

Imam wa Masjidi Ghadir, Hemed Jalala, akihutubia waumini (hawako pichani)
Baadhi ya waumini wakisikiliza jambo. Sehemu ya bango la maadhimisho hayo.…

 

9 years ago

BBC

Suicide attack hits Nigeria Shia march

A suicide bomber has killed at least 21 people in attack on a Shia Muslim procession in Nigeria's Kano state, eyewitnesses say.

 

10 years ago

GPL

SHIA WATUMA SALAM ZA KRISMASI, MWAKA MPYA KWA WAKRISTO

Imam wa Msikiti wa Kigogo Post uliopo Kigogo, Dar, Hemed Jalala,  akizungumza na waandishi wa habari katika tukio hilo. Bango la kuwatakia Wakristo heri ya Krismasi na Mwaka Mpya kutoka kwa Waislam.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani