Kiongozi wa Uamsho kizimbani
Ahoji kushitakiwa Bara badala ya Z’bar
NA MWANDISHI WETU
KIONGOZI wa Jumuia ya Uamsho Zanzibar, Sheikh Farid Hadi Ahmed, anayetuhumiwa kuhifadhi wahusika wa ugaidi, amesomewa mashitaka upya katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam.
Wakati hatua hiyo ya kisheria ikichuliwa dhidi yake, Sheikh Farid alihoji mahakamani hapo juu ya uhalali wa yeye na wenzake 20 kufikishwa katika mahakama ya Bara, wakati wamekamatwa Zanzibar, ambako ni nchi kamili.
“Tunashangaa kushitakiwa hapa, labda...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi20 Aug
Kiongozi wa Uamsho kortini kesi ya ugaidi
11 years ago
Habarileo07 Aug
Kiongozi wa Uamsho aunganishwa kesi ugaidi
KIONGOZI wa Jumuiya ya Uamsho Zanzibar, Shekhe Farid Hadi Ahmed (45) ameunganishwa na washitakiwa 19 wa kesi ya kujihusisha na vitendo vya kigaidi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
10 years ago
Mwananchi04 Sep
Kiongozi wa Uamsho aomba msaada wa Rais
11 years ago
Habarileo07 Aug
Kiongozi wa Uamsho aunganishwa na washtakiwa 19 kesi ugaidi
KIONGOZI wa Jumuiya ya Uamsho Zanzibar, Shekhe Farid Hadi Ahmed (45) ameunganishwa na washitakiwa 19 wa kesi ya kujihusisha na vitendo vya kigaidi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
9 years ago
StarTV12 Nov
KESI YA UGAIDI: Mahakama ya rufaa yasikiliza rufani ya kiongozi wa Uamsho.
Mahakama ya Rufaa ya Tanzania imesikiliza Rufaa iliyofunguliwa na Wakili wa Kiongozi wa Jumuiya ya Taasisi ya Kiislam ya uamsho na Mihadhara Zanzibar, Sheikh Farid Ahmed na wenzake dhidi ya uamuzi wa mahakama kuu kuwa mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ina uwezo wa kusikiliza kesi yao.
Wakati rufaa hiyo ikiwasilishwa Mahakama ya Rufaa, Upande wa Serikali ukaandika kusudio la kutaka kukata rufaa kupinga kusikilizwa kwa kesi hiyo kwamba shauri limewasilishwa kabla ya muda.
Kwa kuwa Kesi hiyo...
11 years ago
GPL![](http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2014/02/leadtheway_21x16-5.jpg?width=600)
MAMBO 6 YANAYOMFANYA MTU AWE KIONGOZI BORA NA SIO BORA KIONGOZI
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-opVqv1B_rKA/UxDQOLryiNI/AAAAAAAFQU0/SsDr1lsr3y0/s72-c/leadtheway_21x16-5.jpg)
MAMBO 6 YANAYOMFANYA MTU AWE KIONGOZI BORA NA SIO BORA KIONGOZI
![](http://3.bp.blogspot.com/-opVqv1B_rKA/UxDQOLryiNI/AAAAAAAFQU0/SsDr1lsr3y0/s1600/leadtheway_21x16-5.jpg)
11 years ago
TheCitizen28 Feb
Uamsho leaders out on bail
11 years ago
Mwananchi25 Apr
Uamsho yalia na Lukuvi