kipindi cha Ubishi - Komaa Upate Pesa sehemu ya pili na Costantine Magavilla
![](http://img.youtube.com/vi/PY-QUloAZXY/default.jpg)
Katika mwendelezo wa kipindi cha ‘Ubishi - Komaa Upate Pesa’, wiki hii Bwana Costantine Magavilla anakuletea sehemu ya pili iitwayo ‘Kazi ni Tabia’. Kazi ni gumzo kwa vijana wengi wa mjini ila ni kitu gani kinacho wachochea vijana kufanya kazi haswa na je madhara yake ni nini kwako kama kijana. Pata majibu kwa kutembelea www.magavilla.com
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/_af3DgSp7nA/default.jpg)
sehemu ya tatu ya kipindi cha ‘UBISHI’ na Costantine Magavilla
Wiki hii bwana Costantine Magavilla anaongelea maana nyingine ya shule. Je unajua maana nyingine ya shule zaidi ya kusoma. Bofya hapo kati tuendelee...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/PY-QUloAZXY/default.jpg)
Tazama sehemu ya pili ya kipindi cha ‘UBISHI’
Katika mwendelezo wa kipindi cha ‘Ubishi - Komaa Upate Pesa’, wiki hii Bwana Costantine Magavilla anakuletea sehemu ya pili iitwayo ‘Kazi ni Tabia’. Kazi ni gumzo kwa vijana wengi wa mjini ila ni kitu gani kinacho wachochea vijana kufanya kazi haswa na je madhara yake ni nini kwao. Pata majibu kwa kutembelea www.magavilla.com
Usikose kufuatilia vipindi hivi vinavyolenga kuelimisha, kukuhamasisha utazame upya maisha yako upateujasiri wa kubadili fikra na kufanya yako kila wiki siku ya...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/sMfIhrXOGf4/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/_af3DgSp7nA/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/fo7Jm2KpkZ4/default.jpg)
Magavilla on UBISHI Episode 4 - Mwananchi/ The Composition Challenge
One of the great opportunities that we have in accelerating the fortunes of this great country is addressing, what I like to refer to as, our ‘composition’ challenge; what kind of people make up our populous, in particular our youth, in terms of skills, competencies and values.
If you are making strides in life and form part of the top echelons of society, the plight of the bottom of the food chain may not be of particular interest to you – think again!
Irrespective of its composition, the...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cOsJN32WjWQ/XkWCMLTIW7I/AAAAAAALdTw/eHlF1leSStkY5cYhOHSKe75oolccjdBMwCLcBGAsYHQ/s72-c/7b7b2725-e07b-4e68-911a-4824982ce4e8.jpg)
RAIS MAGUFULI KUZINDUA KIPINDI CHA PILI CHA AWAMU YA TATU YA TASAF
![](https://1.bp.blogspot.com/-cOsJN32WjWQ/XkWCMLTIW7I/AAAAAAALdTw/eHlF1leSStkY5cYhOHSKe75oolccjdBMwCLcBGAsYHQ/s640/7b7b2725-e07b-4e68-911a-4824982ce4e8.jpg)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt (Mst) Mhe. George Mkuchika (Mb) akisisitiza jambo kwa Waandishi wa Habari leo alipokuwa akizungumza nao kuhusu uzinduzi wa Kipindi cha Pili cha Awamu ya Tatu ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) utakaofanyika siku ya Jumatatu tarehe 17Februari, 2020 kwenye...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ST0P_GFGOqU/Xs5BmLnKRfI/AAAAAAALrsU/CxmCbcudBPAAzDX66yJgqNazYiCEm699gCLcBGAsYHQ/s72-c/New%2BPicture.png)
TASAF KUANZA UTEKELEZAJI WA KIPINDI CHA PILI CHA AWAMU YAKE YA TATU NCHINI KOTE.
Mfuko wa Maendeleo ya Jamii- TASAF umekamilisha mipango itakayowezesha kuanza kwa utekelezaji wa Kipindi cha Pili cha Awamu yake ya TATU kufuatia uzinduzi uliofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.
Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF ,Ladislaus Mwamanga amekutana na Wandishi wa Habari jijini Dar es salaam na kuwajulisha kuwa mipango ya kuanza utekelezaji wa kipindi cha pili ambayo imezingatia maelekezo ya Serikali inaelekea kukamilika.
Mkurugenzi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rGEMXD7NWqI/XkqbpusF9yI/AAAAAAALdvk/Mgd4NOeY6GEutgHarwHyfNmY7kDAzQsvACLcBGAsYHQ/s72-c/c71793d9-4f31-4596-b823-50f2ed7faf20.jpg)
Rais Dkt. Magufuli azindua Kipindi cha Pili cha Awamu ya tatu ya Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini kupitia Mfuko wa TASAF III
![](https://1.bp.blogspot.com/-rGEMXD7NWqI/XkqbpusF9yI/AAAAAAALdvk/Mgd4NOeY6GEutgHarwHyfNmY7kDAzQsvACLcBGAsYHQ/s640/c71793d9-4f31-4596-b823-50f2ed7faf20.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/58507fab-bb46-4bcf-8f07-b80dd518011e.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/a8c0aa49-06d2-4e46-8612-2a5b7a6a76aa.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Ali Hassan Mwinyi, Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Benjamin Mkapa, Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Kikwete, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati akikata utepe kuzindua Kipindi cha awamu...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XgSa81S57LY/VGCJrNr75zI/AAAAAAAGwWs/M13dGQ9kOD0/s72-c/unnamedb5.jpg)
KIKUNDI CHA COSTANTINE LUSALAGE MABINGWA MBIO ZA BALIMI MITUMBWI MWANZA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-XgSa81S57LY/VGCJrNr75zI/AAAAAAAGwWs/M13dGQ9kOD0/s1600/unnamedb5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zlQTHP9zpeE/VGCJqEV2QbI/AAAAAAAGwWY/RkF3Q2otk78/s1600/unnamedb2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5Xdd0nvX7w8/VGCJrQSosDI/AAAAAAAGwWw/KXqrG3BzRdA/s1600/unnamedb6.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania