Tazama sehemu ya pili ya kipindi cha ‘UBISHI’
![](http://img.youtube.com/vi/PY-QUloAZXY/default.jpg)
Katika mwendelezo wa kipindi cha ‘Ubishi - Komaa Upate Pesa’, wiki hii Bwana Costantine Magavilla anakuletea sehemu ya pili iitwayo ‘Kazi ni Tabia’. Kazi ni gumzo kwa vijana wengi wa mjini ila ni kitu gani kinacho wachochea vijana kufanya kazi haswa na je madhara yake ni nini kwao. Pata majibu kwa kutembelea www.magavilla.com
Usikose kufuatilia vipindi hivi vinavyolenga kuelimisha, kukuhamasisha utazame upya maisha yako upateujasiri wa kubadili fikra na kufanya yako kila wiki siku ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/PY-QUloAZXY/default.jpg)
kipindi cha Ubishi - Komaa Upate Pesa sehemu ya pili na Costantine Magavilla
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/_af3DgSp7nA/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/_af3DgSp7nA/default.jpg)
sehemu ya tatu ya kipindi cha ‘UBISHI’ na Costantine Magavilla
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/sMfIhrXOGf4/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog02 Nov
Kama ulikosa kipindi cha Mkasi cha Salama Jabir na MO Dewji tazama hapa
@MkasiTV : Kipindi extended na @moodewji bonyeza play hapa chini
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cOsJN32WjWQ/XkWCMLTIW7I/AAAAAAALdTw/eHlF1leSStkY5cYhOHSKe75oolccjdBMwCLcBGAsYHQ/s72-c/7b7b2725-e07b-4e68-911a-4824982ce4e8.jpg)
RAIS MAGUFULI KUZINDUA KIPINDI CHA PILI CHA AWAMU YA TATU YA TASAF
![](https://1.bp.blogspot.com/-cOsJN32WjWQ/XkWCMLTIW7I/AAAAAAALdTw/eHlF1leSStkY5cYhOHSKe75oolccjdBMwCLcBGAsYHQ/s640/7b7b2725-e07b-4e68-911a-4824982ce4e8.jpg)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt (Mst) Mhe. George Mkuchika (Mb) akisisitiza jambo kwa Waandishi wa Habari leo alipokuwa akizungumza nao kuhusu uzinduzi wa Kipindi cha Pili cha Awamu ya Tatu ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) utakaofanyika siku ya Jumatatu tarehe 17Februari, 2020 kwenye...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ST0P_GFGOqU/Xs5BmLnKRfI/AAAAAAALrsU/CxmCbcudBPAAzDX66yJgqNazYiCEm699gCLcBGAsYHQ/s72-c/New%2BPicture.png)
TASAF KUANZA UTEKELEZAJI WA KIPINDI CHA PILI CHA AWAMU YAKE YA TATU NCHINI KOTE.
Mfuko wa Maendeleo ya Jamii- TASAF umekamilisha mipango itakayowezesha kuanza kwa utekelezaji wa Kipindi cha Pili cha Awamu yake ya TATU kufuatia uzinduzi uliofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.
Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF ,Ladislaus Mwamanga amekutana na Wandishi wa Habari jijini Dar es salaam na kuwajulisha kuwa mipango ya kuanza utekelezaji wa kipindi cha pili ambayo imezingatia maelekezo ya Serikali inaelekea kukamilika.
Mkurugenzi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rGEMXD7NWqI/XkqbpusF9yI/AAAAAAALdvk/Mgd4NOeY6GEutgHarwHyfNmY7kDAzQsvACLcBGAsYHQ/s72-c/c71793d9-4f31-4596-b823-50f2ed7faf20.jpg)
Rais Dkt. Magufuli azindua Kipindi cha Pili cha Awamu ya tatu ya Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini kupitia Mfuko wa TASAF III
![](https://1.bp.blogspot.com/-rGEMXD7NWqI/XkqbpusF9yI/AAAAAAALdvk/Mgd4NOeY6GEutgHarwHyfNmY7kDAzQsvACLcBGAsYHQ/s640/c71793d9-4f31-4596-b823-50f2ed7faf20.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/58507fab-bb46-4bcf-8f07-b80dd518011e.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/a8c0aa49-06d2-4e46-8612-2a5b7a6a76aa.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Ali Hassan Mwinyi, Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Benjamin Mkapa, Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Kikwete, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati akikata utepe kuzindua Kipindi cha awamu...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wLBsx3KE8x0/Ux8w3LePDrI/AAAAAAAFS7s/4YUPf-Aheck/s72-c/RPC+MSANGI+KALU+BLOG.jpg)
TATHIMINI YA HALI YA UHALIFU MKOA WA MBEYA KWA KIPINDI CHA FEB- 2014 IKILINGANISHWA NA KIPINDI CHA MWEZI JAN- 2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-wLBsx3KE8x0/Ux8w3LePDrI/AAAAAAAFS7s/4YUPf-Aheck/s1600/RPC+MSANGI+KALU+BLOG.jpg)